Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Wazao wa Daudi (1-9)

      • Ukoo wa kifalme wa Daudi (10-24)

1 Mambo ya Nyakati 3:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:2-5
  • +2 Sa. 13:32
  • +1 Sa. 25:43
  • +1 Sa. 25:2, 39

1 Mambo ya Nyakati 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 13:28, 37; 15:10; 18:14
  • +1 Fal. 1:5, 11; 2:24

1 Mambo ya Nyakati 3:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:5

1 Mambo ya Nyakati 3:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:13-16; 1Nya 14:3-7
  • +Lu 3:23, 31
  • +Mt 1:7
  • +2 Sa. 11:3, 27

1 Mambo ya Nyakati 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 13:1

1 Mambo ya Nyakati 3:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:43
  • +2Nya 13:1
  • +2Nya 14:1
  • +2Nya 20:31

1 Mambo ya Nyakati 3:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 21:5
  • +2Nya 22:2
  • +2Nya 24:1

1 Mambo ya Nyakati 3:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 25:1
  • +2 Fal. 14:21
  • +2Nya 27:1

1 Mambo ya Nyakati 3:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:1
  • +2Nya 29:1
  • +2 Fal. 21:1

1 Mambo ya Nyakati 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:19
  • +2 Fal. 22:1

1 Mambo ya Nyakati 3:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:34; 2Nya 36:5
  • +2 Fal. 24:17; 2Nya 36:11

1 Mambo ya Nyakati 3:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:6, 8; 25:27; Est 2:6

1 Mambo ya Nyakati 3:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 9

1 Mambo ya Nyakati 3:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 5:2; Mt 1:12; Lu 3:23, 27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 9

1 Mambo ya Nyakati 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

Maandiko ingine

1 Nya. 3:12 Sa. 3:2-5
1 Nya. 3:12 Sa. 13:32
1 Nya. 3:11 Sa. 25:43
1 Nya. 3:11 Sa. 25:2, 39
1 Nya. 3:22 Sa. 13:28, 37; 15:10; 18:14
1 Nya. 3:21 Fal. 1:5, 11; 2:24
1 Nya. 3:42 Sa. 5:5
1 Nya. 3:52 Sa. 5:13-16; 1Nya 14:3-7
1 Nya. 3:5Lu 3:23, 31
1 Nya. 3:5Mt 1:7
1 Nya. 3:52 Sa. 11:3, 27
1 Nya. 3:92 Sa. 13:1
1 Nya. 3:101 Fal. 11:43
1 Nya. 3:102Nya 13:1
1 Nya. 3:102Nya 14:1
1 Nya. 3:102Nya 20:31
1 Nya. 3:112Nya 21:5
1 Nya. 3:112Nya 22:2
1 Nya. 3:112Nya 24:1
1 Nya. 3:122Nya 25:1
1 Nya. 3:122 Fal. 14:21
1 Nya. 3:122Nya 27:1
1 Nya. 3:132Nya 28:1
1 Nya. 3:132Nya 29:1
1 Nya. 3:132 Fal. 21:1
1 Nya. 3:142 Fal. 21:19
1 Nya. 3:142 Fal. 22:1
1 Nya. 3:152 Fal. 23:34; 2Nya 36:5
1 Nya. 3:152 Fal. 24:17; 2Nya 36:11
1 Nya. 3:162 Fal. 24:6, 8; 25:27; Est 2:6
1 Nya. 3:19Ezr 5:2; Mt 1:12; Lu 3:23, 27
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 3:1-24

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

3 Hawa ndio walikuwa wana wa Daudi wenye alizaa katika Hebroni:+ Amnoni muzaliwa wa kwanza,+ mama yake alikuwa Ahinoamu+ wa Yezreeli; wa pili, Danieli, mama yake alikuwa Abigaili+ Mukarmeli; 2 wa tatu (3), Absalomu,+ mwana wa Maaka binti ya Talmai mufalme wa Geshuri; wa ine (4), Adoniya+ mwana wa Hagiti; 3 wa tano (5), Shefatia, mama yake alikuwa Abitali; na wa sita (6), Itreamu, mama yake alikuwa Egla bibi ya Daudi. 4 Hao sita (6) aliwazaa katika Hebroni; alitawala kule kwa miaka saba (7) na miezi sita, na alitawala katika Yerusalemu kwa miaka makumi tatu na tatu (33).+

5 Hawa aliwazaa katika Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Natani,+ na Sulemani;+ mama ya hao ine (4) alikuwa Bat-sheba+ binti ya Amieli. 6 Na wana wengine kenda (9) walikuwa Ibhari, Elishama, Elifeleti, 7 Noga, Nefegi, Yafia, 8 Elishama, Eliada, na Elifeleti. 9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, zaidi ya wana wa masuria,* na Tamari+ alikuwa dada yao.

10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ Abiya+ alikuwa mwana wake, Asa+ mwana wake, Yehoshafati+ mwana wake, 11 Yehoramu+ mwana wake, Ahazia+ mwana wake, Yehoashi+ mwana wake, 12 Amazia+ mwana wake, Azaria+ mwana wake, Yotamu+ mwana wake, 13 Ahazi+ mwana wake, Hezekia+ mwana wake, Manase+ mwana wake, 14 Amoni+ mwana wake, Yosia+ mwana wake. 15 Wana wa Yosia walikuwa Yohanani muzaliwa wa kwanza, wa pili, Yehoyakimu,+ wa tatu (3), Sedekia,+ wa ine (4), Shalumu. 16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yekonia+ mwana wake na Sedekia mwana wake. 17 Wana wa Yekonia mwenye alikuwa mufungwa walikuwa Shealtieli, 18 Malkiramu, Pedaya, Shenazari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia. 19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli+ na Shimei; na wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania (na Shelomiti alikuwa dada yao); 20 na wana wengine tano (5) walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushab-hesedi. 21 Na wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya; mwana* wa Yeshaya alikuwa Refaya; mwana* wa Refaya alikuwa Arnani; mwana* wa Arnani alikuwa Obadia; mwana* wa Obadia alikuwa Shekania; 22 na wana wa Shekania walikuwa Shemaya na wana wa Shemaya: Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati⁠—​wote walikuwa sita (6). 23 Na wana wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizkia, na Azrikamu, watatu (3). 24 Na wana wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya, na Anani, saba (7).

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine