Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 121
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Yehova analinda watu wake

        • “Musaada wangu unatoka kwa Yehova” (2)

        • Yehova halale usingizi hata kidogo (3, 4)

Zaburi 121:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 125:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2004, uku. 12

Zaburi 121:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 46:1; Isa 41:13; Yer 20:11; Ebr 13:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2004, uku. 12

Zaburi 121:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utikisike.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 91:11, 12; Mez. 3:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2004, uku. 13

Zaburi 121:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 27:3; 40:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2004, uku. 13

Zaburi 121:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 91:1; Isa 25:4
  • +Zab 16:8; 109:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2009, uku. 14

    15/12/2004,

    uku. 13

Zaburi 121:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 49:10; Ufu 7:16
  • +Zab 91:5, 6

Zaburi 121:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 91:10; Mez. 12:21
  • +Zab 97:10; 145:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2004, uku. 13

Zaburi 121:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakati unatoka inje na wakati unaingia ndani.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2004, uku. 13

Maandiko ingine

Zb. 121:1Zab 125:2
Zb. 121:2Zab 46:1; Isa 41:13; Yer 20:11; Ebr 13:6
Zb. 121:3Zab 91:11, 12; Mez. 3:26
Zb. 121:4Isa 27:3; 40:28
Zb. 121:5Zab 91:1; Isa 25:4
Zb. 121:5Zab 16:8; 109:31
Zb. 121:6Isa 49:10; Ufu 7:16
Zb. 121:6Zab 91:5, 6
Zb. 121:7Zab 91:10; Mez. 12:21
Zb. 121:7Zab 97:10; 145:20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 121:1-8

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

121 Ninainua macho yangu kuelekea milima.+

Musaada wangu utatoka wapi?

 2 Musaada wangu unatoka kwa Yehova,+

Mutengenezaji wa mbingu na dunia.

 3 Hataruhusu hata kidogo muguu wako utereze.*+

Yeye mwenye kukulinda hatasinzia hata kidogo.

 4 Angalia! Hatasinzia hata kidogo wala kulala usingizi,

Yeye mwenye kulinda Israeli.+

 5 Yehova anakulinda.

Yehova ni kivuli+ kwenye mukono wako wa kuume.+

 6 Muchana, jua halitakupiga,+

Wala mwezi usiku.+

 7 Yehova atakulinda na mambo yote yenye kuumiza.+

Atalinda uzima wako.*+

 8 Yehova atakulinda katika mambo yote yenye unafanya*

Kuanzia sasa na milele.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine