Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wakorinto

      • Upendo​—njia ya muzuri zaidi (1-13)

1 Wakorinto 13:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Upatu ni chombo cha muziki chenye umbo ya sahani kubwa.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2015, uku. 3

    Mkaribie Yehova, uku. 301

1 Wakorinto 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sina faida yoyote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 12:8
  • +1 Yo. 4:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 301

1 Wakorinto 13:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 6:2
  • +2 Kor. 9:7

1 Wakorinto 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ustahimilivu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:8
  • +1 Tes. 5:14
  • +Rom. 13:10; Efe 4:32
  • +Gal 5:26
  • +1 Pe. 5:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2014, uku. 20

    15/10/2002, uku. 28

    1/11/2001, uku. 15-16

    Mkaribie Yehova,

    uku. 302-303, 305-306

    ‘Mfuasi Wangu’, uku. 162-163

1 Wakorinto 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makosa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 13:13; 1 Kor. 14:40
  • +1 Kor. 10:24; Flp 2:4
  • +Mt 5:39; Yak 1:19
  • +Efe 4:32; Kol 3:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 21-26

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2014, uku. 20

    1/8/2008, uku. 15

    Mkaribie Yehova,

    uku. 306-307

    ‘Mfuasi Wangu’, uku. 163-169

1 Wakorinto 13:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2014, uku. 20

    Mkaribie Yehova,

    uku. 303, 307-308

    Amuka!,

    11/2008, uku. 8-9

1 Wakorinto 13:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 4:8
  • +Mdo 17:11
  • +Rom. 8:25; 12:12
  • +1 Tes. 1:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2014, uku. 20

    15/12/2009, uku. 27-28

    15/7/2000, uku. 23

    Mkaribie Yehova,

    uku. 303-305

    ‘Mfuasi Wangu’, uku. 169-171

1 Wakorinto 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, kuzungumuza kwa njia ya muujiza katika luga zingine.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2014, uku. 20

    15/12/2009, uku. 27-28

    1/7/2003, uku. 7

    Mkaribie Yehova,

    uku. 308-309

1 Wakorinto 13:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 4:18

1 Wakorinto 13:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    10/2011, uku. 4-5

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/9/2007, uku. 22

1 Wakorinto 13:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa ukamili.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2015, uku. 15

    15/3/2000, uku. 12

1 Wakorinto 13:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 22:37; Rom. 13:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 30

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2008, uku. 27

    Furaha ya Familia,

    uku. 28-29

Maandiko ingine

1 Wakorintho 13:21 Kor. 12:8
1 Wakorintho 13:21 Yo. 4:20
1 Wakorintho 13:3Mt 6:2
1 Wakorintho 13:32 Kor. 9:7
1 Wakorintho 13:41 Yo. 4:8
1 Wakorintho 13:41 Tes. 5:14
1 Wakorintho 13:4Rom. 13:10; Efe 4:32
1 Wakorintho 13:4Gal 5:26
1 Wakorintho 13:41 Pe. 5:5
1 Wakorintho 13:5Rom. 13:13; 1 Kor. 14:40
1 Wakorintho 13:51 Kor. 10:24; Flp 2:4
1 Wakorintho 13:5Mt 5:39; Yak 1:19
1 Wakorintho 13:5Efe 4:32; Kol 3:13
1 Wakorintho 13:6Rom. 12:9
1 Wakorintho 13:71 Pe. 4:8
1 Wakorintho 13:7Mdo 17:11
1 Wakorintho 13:7Rom. 8:25; 12:12
1 Wakorintho 13:71 Tes. 1:3
1 Wakorintho 13:9Mez. 4:18
1 Wakorintho 13:13Mt 22:37; Rom. 13:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wakorinto 13:1-13

Ya Kwanza kwa Wakorinto

13 Kama ninasema katika luga za wanadamu na za malaika lakini sina upendo, nimekuwa upatu* wenye unafanya makelele ao toazi lenye linalia kwa fujo. 2 Na kama niko na zawadi ya kutoa unabii na ninaelewa siri zote takatifu na ujuzi wote,+ na kama niko na imani yote ya kuweza kuhamisha milima, lakini sina upendo, mimi ni bure.*+ 3 Na kama ninatoa vitu vyangu vyote ili kukulisha wengine,+ na kama ninatoa mwili wangu ili nijisifu, lakini sina upendo,+ sipate faida yoyote.

4 Upendo+ ni wenye uvumilivu*+ na wenye fazili.+ Upendo hauna wivu.+ Haujisifu, haujivune,+ 5 haujiendeshe bila adabu,+ hautafute faida zake wenyewe,+ haukasirike haraka.+ Hauweke hesabu ya ubaya.*+ 6 Haufurahie ukosefu wa haki,+ lakini unafurahi pamoja na kweli. 7 Unafunika mambo yote,+ unaamini mambo yote,+ unatumaini mambo yote,+ unavumilia mambo yote.+

8 Upendo haushindwe hata kidogo. Lakini kama kuko zawadi za unabii, zitaondolewa; kama kuko luga,* zitaisha; kama kuko ujuzi, utaondolewa. 9 Kwa maana tunajua kwa sehemu tu+ na tunatoa unabii kwa sehemu tu, 10 lakini wakati kile chenye kuenea kitakuja, kile chenye kuwa cha sehemu tu kitaondolewa. 11 Wakati nilikuwa mutoto, nilikuwa ninasema kama mutoto, nilikuwa ninawaza kama mutoto, nilikuwa ninafikiri kama mutoto; lakini sasa kwa kuwa nimekuwa mwanaume, nimeacha tabia za mutoto. 12 Kwa maana sasa tunaona kwa njia yenye haiko ya waziwazi kupitia kioo cha metali, lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso. Kwa sasa ninajua kwa sehemu tu, lakini wakati huo nitajua kwa njia yenye haina makosa,* kama vile ninajulikana kwa njia yenye haina makosa. 13 Hata hivyo, sasa kunabakia mambo haya tatu (3): imani, tumaini, upendo; lakini jambo la mukubwa zaidi kati ya mambo hayo ni upendo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine