Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Ezekieli

      • Yerusalemu kama chungu cha kupikia chenye kutu (1-14)

      • Kifo cha bibi ya Ezekieli ni alama (15-27)

Ezekieli 24:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 135

Ezekieli 24:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “jina la siku.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:1; Yer 39:1; 52:4

Ezekieli 24:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “istiara.”

  • *

    Ao “chungu cha kupikia chenye mudomo mukubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 11:3

Ezekieli 24:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 11:7

Ezekieli 24:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:6

Ezekieli 24:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:16; Mik 7:2; Mt 23:35
  • +Eze 11:7, 9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 14

Ezekieli 24:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:34
  • +Law. 17:13; Kum 12:16

Ezekieli 24:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:3, 4

Ezekieli 24:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 23:37

Ezekieli 24:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:10; 32:29; Eze 22:15

Ezekieli 24:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 5:3; 6:29

Ezekieli 24:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:14; Eze 22:9
  • +Eze 5:12, 13; 8:18

Ezekieli 24:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 13:14; Eze 5:11

Ezekieli 24:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kupiga-piga kifua chako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 24:18, 21

Ezekieli 24:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mudomo wa juu.” Masharubu ni nywele zenye kuota kwenye mudomo wa juu.

  • *

    Tnn., “mukate wa wanadamu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 16:5
  • +Law. 10:6
  • +2 Sa. 15:30
  • +Mik 3:7
  • +Yer 16:7

Ezekieli 24:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kitu chenye nafsi yenu inasikilia huruma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 74:7; 79:1; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Eze 9:7
  • +2Nya 36:17; Yer 6:11

Ezekieli 24:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Masharubu ni nywele zenye kuota kwenye mudomo wa juu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 24:17

Ezekieli 24:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:39; Eze 33:10

Ezekieli 24:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 8:18; 20:3; Eze 4:3

Ezekieli 24:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:32; Yer 11:22

Ezekieli 24:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 33:21

Ezekieli 24:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 3:26; 33:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/7/2007, uku. 13-14

    1/12/2003, uku. 29

Maandiko ingine

Eze. 24:22 Fal. 25:1; Yer 39:1; 52:4
Eze. 24:3Eze 11:3
Eze. 24:4Eze 11:7
Eze. 24:5Yer 39:6
Eze. 24:62 Fal. 21:16; Mik 7:2; Mt 23:35
Eze. 24:6Eze 11:7, 9
Eze. 24:7Yer 2:34
Eze. 24:7Law. 17:13; Kum 12:16
Eze. 24:82 Fal. 24:3, 4
Eze. 24:9Mt 23:37
Eze. 24:11Yer 21:10; 32:29; Eze 22:15
Eze. 24:12Yer 5:3; 6:29
Eze. 24:132Nya 36:14; Eze 22:9
Eze. 24:13Eze 5:12, 13; 8:18
Eze. 24:14Yer 13:14; Eze 5:11
Eze. 24:16Eze 24:18, 21
Eze. 24:17Yer 16:5
Eze. 24:17Law. 10:6
Eze. 24:172 Sa. 15:30
Eze. 24:17Mik 3:7
Eze. 24:17Yer 16:7
Eze. 24:21Zab 74:7; 79:1; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Eze 9:7
Eze. 24:212Nya 36:17; Yer 6:11
Eze. 24:22Eze 24:17
Eze. 24:23Law. 26:39; Eze 33:10
Eze. 24:24Isa 8:18; 20:3; Eze 4:3
Eze. 24:25Kum 28:32; Yer 11:22
Eze. 24:26Eze 33:21
Eze. 24:27Eze 3:26; 33:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Ezekieli 24:1-27

Ezekieli

24 Neno la Yehova likakuja tena kwangu katika mwaka wa kenda (9), katika mwezi wa kumi (10), siku ya kumi ya mwezi huo, na kusema: 2 “Mwana wa binadamu, andika tarehe* hii, siku hii ya leo. Mufalme wa Babiloni ameanza kushambulia Yerusalemu siku hii ya leo.+ 3 Na ueleze mezali* kuhusu nyumba yenye kuasi, na useme kuwahusu:

“‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi:

“Tia chungu cha kupikia* juu ya moto; ukitie juu ya moto na umwange maji ndani yake.+

 4 Tia vipande vya nyama ndani yake,+ kila kipande kizuri,

Paja na bega; ukijaze kwa mifupa ya muzuri sana.

 5 Kamata kondoo wazuri sana wa kundi,+ na urundike kuni chini ya chungu kuzunguka pande zote.

Tokotesha vipande hivyo, na upike mifupa yenye kuwa ndani yake.”’”

6 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi:

‘Ole wa muji wenye kumwanga damu,+ chungu cha kupikia chenye kutu, chenye kutu yake haijaondolewa!

Tosha nyama ndani yake, kipande kwa kipande;+ usipige kura kwa ajili ya vipande hivyo vya nyama.

 7 Kwa maana damu yake iko ndani yake;+ aliimwanga juu ya mwamba wenye kuwa wazi.

Hakuimwanga chini, ili kuifunika kwa mavumbi.+

 8 Ili kuchochea kasirani kali kwa ajili ya kulipiza kisasi,

Nimetia damu yake juu ya mwamba wenye kungaa, wenye kuwa wazi

Ili isifunikwe.’+

9 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi:

‘Ole wa muji wenye kumwanga damu!+

Nitarundika rundo la murefu la kuni.

10 Rundika kuni na uwashe moto.

Tokotesha nyama kabisa, mwanga muchuzi, na uache mifupa iungue.

11 Weka chungu chenye hakina kitu kwenye makaa ili kikuwe moto

Ili shaba yake ikuwe moto sana.

Uchafu wake utayeyuka ndani yake,+ na kutu yake itateketezwa.

12 Inakatisha tamaa na inachokesha,

Kwa maana kutu yake nyingi haitatoka.+

Ukitupe ndani ya moto pamoja na kutu yake!’

13 “‘Uchafu wako ulitokana na mwenendo wako muchafu.+ Nilijaribu kukusafisha lakini haukukuwa safi kutokana na uchafu wako. Hautakuwa safi mupaka wakati kasirani yangu kali juu yako itatulia.+ 14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema. Itatendeka. Nitatenda bila kujizuia, bila huruma, bila kusikitika.+ Watakuhukumu kulingana na njia zako na matendo yako,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”

15 Na neno la Yehova likakuja tena kwangu, na kusema: 16 “Mwana wa binadamu, kwa pigo moja niko karibu kumuondoa mupendwa wako kutoka kwako.+ Haupaswe kuomboleza;* wala haupaswe kulia ao kutoa machozi. 17 Lia kwa maumivu kimya-kimya, na usifanye desturi za kuombolezea wafu.+ Ujifunge kilemba chako,+ na uvae viatu vyako.+ Haupaswe kufunika masharubu,*+ na usikule mukate wenye watu wengine walikuletea.”*+

18 Na mimi nikazungumuza na watu asubui, na bibi yangu akakufa mangaribi. Basi asubui nikafanya kama vile nilikuwa nimeamuriwa. 19 Watu walikuwa wananiambia: “Je, hautatuambia namna mambo haya yenye unafanya yanatuhusu?” 20 Nikawajibu: “Neno la Yehova limekuja kwangu, na kusema, 21 ‘Ambia nyumba ya Israeli: “Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: ‘Niko karibu kuchafua patakatifu pangu,+ chanzo cha majivuno yenu makubwa, kitu chenye munapenda na chenye moyo wenu unatamani.* Watoto wenu wanaume na watoto wenu wanamuke wenye muliacha nyuma wataanguka kwa upanga.+ 22 Halafu mutalazimika kufanya kama vile nimefanya. Hamutafunika masharubu* yenu, na hamutakula mukate wenye watu wengine waliwaletea.+ 23 Vilemba vyenu vitakuwa kwenye vichwa vyenu na viatu vyenu kwenye miguu yenu. Hamutaomboleza wala kulia. Tofauti na hilo, mutaoza katika makosa yenu,+ na ninyi mutalia kwa maumivu kila mutu na mwenzake. 24 Ezekieli amekuwa alama kwenu.+ Mutafanya kama vile amefanya. Wakati jambo hilo litatokea, mutalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova.’”’”

25 “Na sasa wewe, mwana wa binadamu, siku yenye nitaondoa ngome yao kutoka kwao​—⁠kitu kizuri cha furaha yao, kitu chenye wanapenda, tamaa ya moyo wao*​—⁠pamoja na watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke,+ 26 utajulishwa jambo hilo na ule mwenye ameponyoka.+ 27 Siku hiyo utafungua kinywa chako na kuzungumuza na ule mwenye aliponyoka, na hautakuwa bubu tena.+ Utakuwa alama kwao, nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine