Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Kupendezwa na neno la Mungu lenye samani

        • ‘Namna gani vijana wanaweza kufanya njia yao iendelee kuwa safi?’ (9)

        • “Ninapenda sana vikumbusho vyako” (24)

        • “Neno lako ni tumaini langu” (74, 81, 114)

        • “Ninapenda sana sheria yako!” (97)

        • “Ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote” (99)

        • “Neno lako ni taa ya muguu wangu” (105)

        • ‘Chanzo kabisa cha neno lako ni kweli’ (160)

        • Wenye kupenda sheria ya Mungu wako na amani (165)

Zaburi 119:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye wanashika uaminifu-mushikamanifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 20:3; Yak 1:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 10

    Amuka!,

    8/6/2001, uku. 21

Zaburi 119:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:7
  • +2Nya 31:20, 21

Zaburi 119:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 38:3

Zaburi 119:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 5:33; Yer 7:23; Yak 2:10

Zaburi 119:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ingekuwa muzuri kama njia zangu zingekuwa zimefanywa imara kabisa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 51:10

Zaburi 119:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:80

Zaburi 119:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 10-11

Zaburi 119:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 10-11

Zaburi 119:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 6:20, 22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 11-12

    1/10/2002, uku. 9

Zaburi 119:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:5

Zaburi 119:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 112:1
  • +Zab 19:13; 37:31

Zaburi 119:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:16
  • +Zab 19:8, 10; 119:72

Zaburi 119:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitajifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:93, 100
  • +Zab 25:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2000, uku. 15

Zaburi 119:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 1:23-25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2000, uku. 14-15

Zaburi 119:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 38:20

Zaburi 119:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:15

Zaburi 119:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu inaungua kwa kutamani sana.”

Zaburi 119:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:15

Zaburi 119:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Uviringishie mbali na mimi.”

Zaburi 119:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anajifunza.”

Zaburi 119:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:14, 168
  • +Kum 17:18-20; Zab 119:105; 2 Tim. 3:16, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2006, uku. 25

    15/4/2005, uku. 12

Zaburi 119:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu inalala.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:15
  • +Zab 119:154; 143:11

Zaburi 119:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 86:11

Zaburi 119:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “njia.”

  • *

    Ao “kujifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 145:5

Zaburi 119:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu imekosa.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 12-13

Zaburi 119:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 141:4; Mez. 30:8

Zaburi 119:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 24:15

Zaburi 119:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nipatishwe haya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:7
  • +Zab 25:20; 119:80

Zaburi 119:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nitakimbia katika.”

  • *

    Ao pengine, “unafanya moyo wangu ukuwe na uhakika.”

Zaburi 119:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 48:17; Yoh 6:45; Yak 1:5
  • +Zab 119:112

Zaburi 119:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Unitembeze.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 23:3

Zaburi 119:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 12:15; 1 Tim. 6:10; Ebr 13:5

Zaburi 119:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 15:39; Mez. 4:25; 23:4, 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2010, uku. 20-24

    15/4/2005, uku. 13

Zaburi 119:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neno lako.”

  • *

    Ao pengine, “Yenye imetolewa kwa wale wenye kukuogopa.”

Zaburi 119:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:9; 119:75

Zaburi 119:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neno lako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 51:1; 90:14
  • +Zab 119:76

Zaburi 119:43

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ninangojea.”

Zaburi 119:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:33

Zaburi 119:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mahali penye nafasi kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 118:5

Zaburi 119:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 1:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 13

Zaburi 119:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 23:12; Zab 119:174; Rom. 7:22

Zaburi 119:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitajifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:127
  • +Zab 119:23, 71

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2000, uku. 15

Zaburi 119:49

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ahadi yako yenye ulimupatia.”

  • *

    Ao “Lenye ulinifanya ningojee.”

Zaburi 119:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 94:19; Rom. 15:4

Zaburi 119:51

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:157

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 13-14

Zaburi 119:52

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:5; Kum 1:35, 36; 4:3
  • +Rom. 15:4

Zaburi 119:53

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:158; 139:21; Mez. 28:4

Zaburi 119:54

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Katika nyumba kwenye ninaishi nikiwa mugeni.”

Zaburi 119:55

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 63:6; Isa 26:9

Zaburi 119:57

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 16:5
  • +Kut 19:8

Zaburi 119:58

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ninatuliza (ninatafuta kicheko cha) uso wako.”

  • *

    Ao “neno lako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 51:17
  • +Zab 57:1

Zaburi 119:59

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:101; Efe 5:15

Zaburi 119:60

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 29:1, 3

Zaburi 119:61

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:8, 9; 2Nya 29:1, 2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2000, uku. 14

Zaburi 119:62

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 42:8

Zaburi 119:63

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 13:20

Zaburi 119:64

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:5; 104:13

Zaburi 119:66

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 3:9; Zab 94:10; Da. 2:21; Flp 1:9

Zaburi 119:67

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nilikuwa ninatenda zambi bila kujua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:11

Zaburi 119:68

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 86:5; Mk 10:18
  • +Isa 48:17

Zaburi 119:70

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hauna hisia, kama mafuta.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:10
  • +Zab 40:8; Rom. 7:22

Zaburi 119:71

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 11:32; Ebr 12:9-11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

    15/4/2005, uku. 14

Zaburi 119:72

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:18, 19
  • +Zab 19:7, 10; Mez. 3:13-15

Zaburi 119:73

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 22:12; Yob 32:8

Zaburi 119:74

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ninangojea neno lako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:147

Zaburi 119:75

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:160
  • +Kum 32:4; Ebr 12:11

Zaburi 119:76

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neno lenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:6; Zab 86:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2010, uku. 24

Zaburi 119:77

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 51:1; 103:13; 119:116; Da. 9:18; Lu 1:50
  • +Rom. 7:22

Zaburi 119:78

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kwa kusema uongo.”

  • *

    Ao “nitajifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:45

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 14-15

Zaburi 119:80

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:58
  • +Zab 119:5, 6; 1 Yo. 2:28

Zaburi 119:81

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu inatamani sana.”

  • *

    Ao “ninangojea neno lako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 7:7

Zaburi 119:82

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 69:3
  • +Zab 86:17; 102:2

Zaburi 119:83

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:61, 176

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 15

Zaburi 119:84

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 7:6; Ufu 6:9, 10

Zaburi 119:86

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 142:6

Zaburi 119:89

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:2; 119:152

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 15-16

Zaburi 119:90

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:9
  • +Zab 104:5; Mhu. 1:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 15-16

Zaburi 119:91

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, kazi zake zote za uumbaji.

Zaburi 119:92

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 6:23; Mt 4:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 16

Zaburi 119:93

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 18:5; Kum 30:16; Yoh 6:63; Rom. 10:5

Zaburi 119:94

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 86:2; Isa 41:10
  • +Zab 119:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 16

Zaburi 119:96

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ni pana sana.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

Zaburi 119:97

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ninajifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:8
  • +Zab 1:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2006, uku. 20

    15/4/2002, uku. 13-14

    15/3/2001, uku. 16-17

    1/10/2000, uku. 15

Zaburi 119:98

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:7; Mez. 2:6; 10:8

Zaburi 119:99

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ninajifunza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 11:25; Lu 2:46, 47

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2000, uku. 15

Zaburi 119:101

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:23; 119:59

Zaburi 119:103

Maelezo ya Chini

  • *

    Kaakaa ni sehemu ya juu ndani ya kinywa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:7, 10; Mez. 24:13, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    5/2017, uku. 20

Zaburi 119:104

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:100
  • +Zab 97:10; 101:3; Mez. 8:13; 13:5; Rom. 12:9

Zaburi 119:105

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 43:3; Mez. 6:23; Isa 51:4; Rom. 15:4; 2 Tim. 3:16, 17; 2 Pe. 1:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/5/2007, uku. 14-18

    1/9/2006, uku. 14-15

    15/4/2005, uku. 16-17

    15/9/2002, uku. 12

    1/3/2002, uku. 12

    Amuka!,

    7/2007, uku. 6

Zaburi 119:107

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:19
  • +Zab 119:88; 143:11

Zaburi 119:108

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “matoleo ya kujipendea ya kinywa changu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 50:23; Ho 14:2; Ebr 13:15
  • +Kum 33:10; Isa 48:17

Zaburi 119:109

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu iko katika mukono wangu kila wakati.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:61

Zaburi 119:110

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:87

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 17

Zaburi 119:111

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uriti wangu wa milele.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:8; 119:129; Yer 15:16

Zaburi 119:112

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nimeelekeza moyo wangu.”

Zaburi 119:113

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “moyo wenye kugawanyika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:21; Ufu 3:16
  • +Zab 40:8; 119:97

Zaburi 119:114

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ninangojea neno lako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 32:7; 91:2
  • +Zab 130:5

Zaburi 119:115

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 26:5

Zaburi 119:116

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kulingana na neno lako.”

  • *

    Ao “lipatishwe haya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:10
  • +Zab 25:2; Rom. 10:11

Zaburi 119:117

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:13
  • +Yosh. 1:8; Zab 119:48

Zaburi 119:118

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 28:9; Zab 95:10

Zaburi 119:119

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 2:22; 25:4, 5; Eze 22:18

Zaburi 119:120

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nyama yangu inatetemeka.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 18

Zaburi 119:121

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Zaburi 119:122

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Zaburi 119:123

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neno lako la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 69:3; 143:7
  • +Zab 119:81

Zaburi 119:124

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 69:16
  • +Zab 143:10

Zaburi 119:125

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:34; 2 Tim. 2:7; Yak 1:5

Zaburi 119:126

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 9:19; Yer 18:23

Zaburi 119:127

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “yenye kusafishwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:9, 10; 119:72; Mez. 3:13, 14

Zaburi 119:128

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “agizo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:8
  • +Zab 119:104

Zaburi 119:129

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu inavishika.”

Zaburi 119:130

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:105; Mez. 6:23; 2 Kor. 4:6; 2 Pe. 1:19
  • +Zab 19:7; Mez. 1:1, 4; 2 Tim. 3:15

Zaburi 119:131

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuhemahema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 42:1; 1 Pe. 2:2

Zaburi 119:132

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 1:10, 11; 2 Sa. 16:11, 12; Isa 38:9, 20
  • +Ebr 6:10

Zaburi 119:133

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Fanya hatua zangu zikuwe imara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:13; Rom. 6:12

Zaburi 119:134

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Unikomboe.”

Zaburi 119:135

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Uonyeshe mutumishi wako kicheko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:25; Zab 4:6

Zaburi 119:136

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 9:4; 2 Pe. 2:7, 8

Zaburi 119:137

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:4
  • +Ufu 16:5, 7

Zaburi 119:139

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 10:16; Zab 69:9; Yoh 2:17

Zaburi 119:140

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 12:6; 119:160
  • +Zab 119:97

Zaburi 119:141

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:6, 7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 19

Zaburi 119:142

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 36:6
  • +Kut 34:6; Zab 119:160; Yoh 17:17

Zaburi 119:144

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:34

Zaburi 119:147

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakati wa gizagiza la asubui.”

  • *

    Ao “ninangojea maneno yako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 5:3; 88:13; Mk 1:35

Zaburi 119:148

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nijifunze.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 63:6; Lu 6:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/8/2012, uku. 29-30

Zaburi 119:149

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 51:1; Isa 63:7

Zaburi 119:150

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenendo muchafu.”

Zaburi 119:151

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:7; Zab 46:1; 145:18
  • +Zab 19:9; Yoh 17:17

Zaburi 119:152

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:144; Mhu. 3:14

Zaburi 119:153

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 9:13

Zaburi 119:154

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Uendeshe kesi yangu ya hukumu.”

  • *

    Ao “neno lako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:15; Zab 43:1

Zaburi 119:155

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:15, 18; Zab 73:27; Mez. 15:29

Zaburi 119:156

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 21:13; Zab 86:15; Isa 55:7; 2 Kor. 1:3; Yak 5:11

Zaburi 119:157

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:19

Zaburi 119:158

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 139:21

Zaburi 119:159

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:40, 88; Omb 3:22

Zaburi 119:160

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:28; Zab 12:6; Yoh 17:17

Zaburi 119:161

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 119:23
  • +2 Fal. 22:19

Zaburi 119:162

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:16

Zaburi 119:163

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 101:7; 119:29, 104
  • +Zab 1:2

Zaburi 119:164

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

Zaburi 119:165

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Kwao hakuna kikwazo chochote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 1:2, 3; Mez. 3:1, 2; Isa 32:17; 48:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2013, uku. 4-5

    15/4/2005, uku. 19-20

Zaburi 119:167

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yangu inashika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 1:2; 40:8; Rom. 7:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2000, uku. 14-19

Zaburi 119:168

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 139:3; Mez. 5:21; 15:11; Ebr 4:13

Zaburi 119:169

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:6
  • +1Nya 22:12; Mez. 2:3, 5

Zaburi 119:170

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kulingana na neno lako.”

Zaburi 119:171

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 63:5; 71:17; 145:7

Zaburi 119:172

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:9

Zaburi 119:173

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 60:5
  • +Kum 30:19; Yosh. 24:15, 22

Zaburi 119:174

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 1:2

Zaburi 119:175

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu iishi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 9:13, 14; Isa 38:19

Zaburi 119:176

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 95:7; Lu 15:4; 1 Pe. 2:25
  • +Mhu. 12:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2005, uku. 20

Maandiko ingine

Zb. 119:12 Fal. 20:3; Yak 1:25
Zb. 119:2Zab 19:7
Zb. 119:22Nya 31:20, 21
Zb. 119:3Isa 38:3
Zb. 119:4Kum 5:33; Yer 7:23; Yak 2:10
Zb. 119:5Zab 51:10
Zb. 119:6Zab 119:80
Zb. 119:9Mez. 6:20, 22
Zb. 119:10Zab 25:5
Zb. 119:11Zab 112:1
Zb. 119:11Zab 19:13; 37:31
Zb. 119:14Yer 15:16
Zb. 119:14Zab 19:8, 10; 119:72
Zb. 119:15Zab 119:93, 100
Zb. 119:15Zab 25:10
Zb. 119:16Yak 1:23-25
Zb. 119:17Isa 38:20
Zb. 119:191Nya 29:15
Zb. 119:21Kum 28:15
Zb. 119:24Zab 119:14, 168
Zb. 119:24Kum 17:18-20; Zab 119:105; 2 Tim. 3:16, 17
Zb. 119:25Zab 22:15
Zb. 119:25Zab 119:154; 143:11
Zb. 119:26Zab 86:11
Zb. 119:27Zab 145:5
Zb. 119:29Zab 141:4; Mez. 30:8
Zb. 119:30Yosh. 24:15
Zb. 119:31Zab 19:7
Zb. 119:31Zab 25:20; 119:80
Zb. 119:33Isa 48:17; Yoh 6:45; Yak 1:5
Zb. 119:33Zab 119:112
Zb. 119:35Zab 23:3
Zb. 119:36Lu 12:15; 1 Tim. 6:10; Ebr 13:5
Zb. 119:37Hes 15:39; Mez. 4:25; 23:4, 5
Zb. 119:39Zab 19:9; 119:75
Zb. 119:41Zab 51:1; 90:14
Zb. 119:41Zab 119:76
Zb. 119:44Zab 119:33
Zb. 119:45Zab 118:5
Zb. 119:46Rom. 1:16
Zb. 119:47Yob 23:12; Zab 119:174; Rom. 7:22
Zb. 119:48Zab 119:127
Zb. 119:48Zab 119:23, 71
Zb. 119:50Zab 94:19; Rom. 15:4
Zb. 119:51Zab 119:157
Zb. 119:52Hes 16:5; Kum 1:35, 36; 4:3
Zb. 119:52Rom. 15:4
Zb. 119:53Zab 119:158; 139:21; Mez. 28:4
Zb. 119:55Zab 63:6; Isa 26:9
Zb. 119:57Zab 16:5
Zb. 119:57Kut 19:8
Zb. 119:58Zab 51:17
Zb. 119:58Zab 57:1
Zb. 119:59Zab 119:101; Efe 5:15
Zb. 119:602Nya 29:1, 3
Zb. 119:611 Sa. 26:8, 9; 2Nya 29:1, 2
Zb. 119:62Zab 42:8
Zb. 119:63Mez. 13:20
Zb. 119:64Zab 33:5; 104:13
Zb. 119:661 Fal. 3:9; Zab 94:10; Da. 2:21; Flp 1:9
Zb. 119:67Zab 119:11
Zb. 119:68Zab 86:5; Mk 10:18
Zb. 119:68Isa 48:17
Zb. 119:70Isa 6:10
Zb. 119:70Zab 40:8; Rom. 7:22
Zb. 119:711 Kor. 11:32; Ebr 12:9-11
Zb. 119:72Kum 17:18, 19
Zb. 119:72Zab 19:7, 10; Mez. 3:13-15
Zb. 119:731Nya 22:12; Yob 32:8
Zb. 119:74Zab 119:147
Zb. 119:75Zab 119:160
Zb. 119:75Kum 32:4; Ebr 12:11
Zb. 119:76Kut 34:6; Zab 86:5
Zb. 119:77Zab 51:1; 103:13; 119:116; Da. 9:18; Lu 1:50
Zb. 119:77Rom. 7:22
Zb. 119:78Zab 119:45
Zb. 119:801 Fal. 8:58
Zb. 119:80Zab 119:5, 6; 1 Yo. 2:28
Zb. 119:81Mik 7:7
Zb. 119:82Zab 69:3
Zb. 119:82Zab 86:17; 102:2
Zb. 119:83Zab 119:61, 176
Zb. 119:84Zab 7:6; Ufu 6:9, 10
Zb. 119:86Zab 142:6
Zb. 119:89Zab 89:2; 119:152
Zb. 119:90Kum 7:9
Zb. 119:90Zab 104:5; Mhu. 1:4
Zb. 119:92Mez. 6:23; Mt 4:4
Zb. 119:93Law. 18:5; Kum 30:16; Yoh 6:63; Rom. 10:5
Zb. 119:94Zab 86:2; Isa 41:10
Zb. 119:94Zab 119:15
Zb. 119:97Zab 40:8
Zb. 119:97Zab 1:2
Zb. 119:98Zab 19:7; Mez. 2:6; 10:8
Zb. 119:99Mt 11:25; Lu 2:46, 47
Zb. 119:101Zab 18:23; 119:59
Zb. 119:103Zab 19:7, 10; Mez. 24:13, 14
Zb. 119:104Zab 119:100
Zb. 119:104Zab 97:10; 101:3; Mez. 8:13; 13:5; Rom. 12:9
Zb. 119:105Zab 43:3; Mez. 6:23; Isa 51:4; Rom. 15:4; 2 Tim. 3:16, 17; 2 Pe. 1:19
Zb. 119:107Zab 34:19
Zb. 119:107Zab 119:88; 143:11
Zb. 119:108Zab 50:23; Ho 14:2; Ebr 13:15
Zb. 119:108Kum 33:10; Isa 48:17
Zb. 119:109Zab 119:61
Zb. 119:110Zab 119:87
Zb. 119:111Zab 19:8; 119:129; Yer 15:16
Zb. 119:1131 Fal. 18:21; Ufu 3:16
Zb. 119:113Zab 40:8; 119:97
Zb. 119:114Zab 32:7; 91:2
Zb. 119:114Zab 130:5
Zb. 119:115Zab 26:5
Zb. 119:116Isa 41:10
Zb. 119:116Zab 25:2; Rom. 10:11
Zb. 119:117Isa 41:13
Zb. 119:117Yosh. 1:8; Zab 119:48
Zb. 119:1181Nya 28:9; Zab 95:10
Zb. 119:119Mez. 2:22; 25:4, 5; Eze 22:18
Zb. 119:123Zab 69:3; 143:7
Zb. 119:123Zab 119:81
Zb. 119:124Zab 69:16
Zb. 119:124Zab 143:10
Zb. 119:125Zab 119:34; 2 Tim. 2:7; Yak 1:5
Zb. 119:126Zab 9:19; Yer 18:23
Zb. 119:127Zab 19:9, 10; 119:72; Mez. 3:13, 14
Zb. 119:128Zab 19:8
Zb. 119:128Zab 119:104
Zb. 119:130Zab 119:105; Mez. 6:23; 2 Kor. 4:6; 2 Pe. 1:19
Zb. 119:130Zab 19:7; Mez. 1:1, 4; 2 Tim. 3:15
Zb. 119:131Zab 42:1; 1 Pe. 2:2
Zb. 119:1321 Sa. 1:10, 11; 2 Sa. 16:11, 12; Isa 38:9, 20
Zb. 119:132Ebr 6:10
Zb. 119:133Zab 19:13; Rom. 6:12
Zb. 119:135Hes 6:25; Zab 4:6
Zb. 119:136Eze 9:4; 2 Pe. 2:7, 8
Zb. 119:137Kum 32:4
Zb. 119:137Ufu 16:5, 7
Zb. 119:1392 Fal. 10:16; Zab 69:9; Yoh 2:17
Zb. 119:140Zab 12:6; 119:160
Zb. 119:140Zab 119:97
Zb. 119:141Zab 22:6, 7
Zb. 119:142Zab 36:6
Zb. 119:142Kut 34:6; Zab 119:160; Yoh 17:17
Zb. 119:144Zab 119:34
Zb. 119:147Zab 5:3; 88:13; Mk 1:35
Zb. 119:148Zab 63:6; Lu 6:12
Zb. 119:149Zab 51:1; Isa 63:7
Zb. 119:151Kum 4:7; Zab 46:1; 145:18
Zb. 119:151Zab 19:9; Yoh 17:17
Zb. 119:152Zab 119:144; Mhu. 3:14
Zb. 119:153Zab 9:13
Zb. 119:1541 Sa. 24:15; Zab 43:1
Zb. 119:1552 Fal. 17:15, 18; Zab 73:27; Mez. 15:29
Zb. 119:1561Nya 21:13; Zab 86:15; Isa 55:7; 2 Kor. 1:3; Yak 5:11
Zb. 119:157Zab 25:19
Zb. 119:158Zab 139:21
Zb. 119:159Zab 119:40, 88; Omb 3:22
Zb. 119:1602 Sa. 7:28; Zab 12:6; Yoh 17:17
Zb. 119:161Zab 119:23
Zb. 119:1612 Fal. 22:19
Zb. 119:162Yer 15:16
Zb. 119:163Zab 101:7; 119:29, 104
Zb. 119:163Zab 1:2
Zb. 119:165Zab 1:2, 3; Mez. 3:1, 2; Isa 32:17; 48:18
Zb. 119:167Zab 1:2; 40:8; Rom. 7:22
Zb. 119:168Zab 139:3; Mez. 5:21; 15:11; Ebr 4:13
Zb. 119:169Zab 18:6
Zb. 119:1691Nya 22:12; Mez. 2:3, 5
Zb. 119:171Zab 63:5; 71:17; 145:7
Zb. 119:172Zab 40:9
Zb. 119:173Zab 60:5
Zb. 119:173Kum 30:19; Yosh. 24:15, 22
Zb. 119:174Zab 1:2
Zb. 119:175Zab 9:13, 14; Isa 38:19
Zb. 119:176Zab 95:7; Lu 15:4; 1 Pe. 2:25
Zb. 119:176Mhu. 12:13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • 95
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • 100
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • 105
  • 106
  • 107
  • 108
  • 109
  • 110
  • 111
  • 112
  • 113
  • 114
  • 115
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129
  • 130
  • 131
  • 132
  • 133
  • 134
  • 135
  • 136
  • 137
  • 138
  • 139
  • 140
  • 141
  • 142
  • 143
  • 144
  • 145
  • 146
  • 147
  • 148
  • 149
  • 150
  • 151
  • 152
  • 153
  • 154
  • 155
  • 156
  • 157
  • 158
  • 159
  • 160
  • 161
  • 162
  • 163
  • 164
  • 165
  • 166
  • 167
  • 168
  • 169
  • 170
  • 171
  • 172
  • 173
  • 174
  • 175
  • 176
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 119:1-176

Zaburi

א [Aleph]

119 Wenye furaha ni wale wenye hawana lawama* katika njia yao,

Wenye wanatembea katika sheria ya Yehova.+

 2 Wenye furaha ni wale wenye wanashika vikumbusho vyake,+

Wenye wanamutafuta kwa moyo wao wote.+

 3 Hawatende ukosefu wowote wa haki;

Wanatembea katika njia zake.+

 4 Umeamuru

Kwamba maagizo yako yafuatwe kwa uangalifu.+

 5 Ingekuwa muzuri kama ningeweza kubakia imara kabisa*+

Ili nishike masharti yako!

 6 Halafu singepatishwa haya+

Wakati ninafikiria amri zako zote.

 7 Nitakusifu kwa moyo munyoofu

Wakati ninajifunza hukumu zako za haki.

 8 Nitashika masharti yako.

Usiniache kabisa hata siku moja.

ב [Beth]

 9 Namna gani kijana anaweza kufanya njia yake iendelee kuwa safi?

Kwa kujilinda kulingana na neno lako.+

10 Ninakutafuta kwa moyo wangu wote.

Usiache nikengeuke na kuacha amri zako.+

11 Ninaweka neno lako katika moyo wangu kama hazina+

Ili nisikutendee zambi.+

12 Usifiwe, Ee Yehova;

Unifundishe masharti yako.

13 Kwa midomo yangu ninatangaza

Hukumu zote zenye umesema.

14 Ninashangilia kwa sababu ya vikumbusho vyako+

Kuliko vitu vingine vyote vya maana.+

15 Nitafikiri sana juu ya* maagizo yako+

Na kukaza macho yangu juu ya njia zako.+

16 Ninapenda sana sheria zako.

Sitasahau neno lako.+

ג [Gimel]

17 Tendea mutumishi wako kwa fazili,

Ili niishi na kushika neno lako.+

18 Fungua macho yangu ili nione waziwazi

Mambo ya ajabu katika sheria yako.

19 Niko mugeni tu katika inchi.+

Usinifiche amri zako.

20 Ninaungua kwa kutamani sana*

Hukumu zako nyakati zote.

21 Unakemea wenye kimbelembele,

Watu wenye kulaaniwa wenye wanakengeuka na kuacha amri zako.+

22 Uniondolee* zarau na zihaka,

Kwa maana nimeshika vikumbusho vyako.

23 Hata wakati wakubwa wanakaa pamoja na kusema mambo ya mubaya juu yangu,

Mutumishi wako anafikiri sana juu ya* masharti yako.

24 Ninapenda sana vikumbusho vyako;+

Vikumbusho hivyo ni washauri wangu.+

ד [Daleth]

25 Ninalala* uso chini katika mavumbi.+

Linda uzima wangu kulingana na neno lako.+

26 Nilikuambia kuhusu njia zangu, na ukanijibu;

Unifundishe masharti yako.+

27 Unifanye nielewe maana* ya maagizo yako,

Ili niweze kufikiri sana juu ya* kazi zako za ajabu.+

28 Nimekosa* usingizi kwa sababu ya huzuni.

Unitie nguvu kulingana na neno lako.

29 Uniondolee njia ya udanganyifu,+

Na unionyeshe wema kupitia sheria yako.

30 Nimechagua njia ya uaminifu.+

Ninatambua kwamba hukumu zako ziko sawa.

31 Ninashikamana na vikumbusho vyako.+

Ee Yehova, usiniache nikatishwe tumaini.*+

32 Nitafuata kwa bidii* njia ya amri zako

Kwa sababu unaifanyia nafasi katika moyo wangu.*

ה [He]

33 Unifundishe, Ee Yehova,+ njia ya masharti yako,

Na nitaifuata mupaka mwisho.+

34 Unipatie uelewaji,

Ili niweze kushika sheria yako

Na kuifuata kwa moyo wangu wote.

35 Uniongoze* katika njia ya amri zako,+

Kwa maana ninaifurahia.

36 Elekeza moyo wangu kwenye vikumbusho vyako,

Hapana kwenye faida ya uchoyo.+

37 Geuzia mbali macho yangu ili yasiangalie mambo yenye hayana mafaa yoyote;+

Linda uzima wangu katika njia yako.

38 Timizia mutumishi wako ahadi yako,*

Ili wakuogope.*

39 Uniondolee haya yenye ninaogopa sana,

Kwa maana hukumu zako ziko muzuri.+

40 Angalia namna ninatamani sana maagizo yako!

Linda uzima wangu katika haki.

ו [Waw]

41 Acha nijionee upendo wako mushikamanifu, Ee Yehova,+

Wokovu wako kulingana na ahadi yako;*+

42 Kisha nitamujibu ule mwenye kunichokoza,

Kwa maana ninaweka tegemeo langu katika neno lako.

43 Usiondoe kabisa neno la kweli katika kinywa changu,

Kwa maana nimetumainia* hukumu yako.

44 Nitashika sheria yako kila wakati,

Milele na milele.+

45 Na nitatembea-tembea mahali salama,*+

Kwa maana ninatafuta maagizo yako.

46 Nitaongea kuhusu vikumbusho vyako mbele ya wafalme,

Na sitasikia haya.+

47 Ninapenda sana amri zako,

Ndiyo, ninazipenda.+

48 Nitainua mikono yangu kuelekea amri zako, zenye ninapenda,+

Na nitafikiri sana juu ya* masharti yako.+

ז [Zayin]

49 Kumbuka neno lako lenye ulimuambia* mutumishi wako,

Lenye kupitia hilo unanipatia tumaini.*

50 Hiyo ndiyo faraja yangu katika mateso yangu,+

Kwa maana neno lako limelinda uzima wangu.

51 Wenye kimbelembele wananizarau kabisa,

Lakini sikengeuke na kuacha sheria yako.+

52 Ninakumbuka hukumu zako za tangu zamani,+ Ee Yehova,

Na zinanifariji.+

53 Nimeshikwa na kasirani yenye kuwaka kwa sababu ya waovu,

Wenye kuacha sheria yako.+

54 Masharti yako ni nyimbo kwangu

Mahali popote kwenye ninaishi.*

55 Wakati wa usiku ninakumbuka jina lako, Ee Yehova,+

Ili niweze kushika sheria yako.

56 Nimezoea kufanya vile

Kwa sababu nimeshika maagizo yako.

ח [Heth]

57 Yehova ni fungu langu;+

Nimeahidi kushika maneno yako.+

58 Ninakulilia* kwa moyo wangu wote;+

Unionyeshe wema+ kulingana na ahadi yako.*

59 Nimechunguza njia zangu,

Ili nirudishe miguu yangu kwenye vikumbusho vyako.+

60 Ninafanya haraka na sikawie

Kushika amri zako.+

61 Kamba za waovu zinanizunguka,

Lakini sisahau sheria yako.+

62 Katikati ya usiku ninaamuka ili kukushukuru+

Kwa sababu ya hukumu zako za haki.

63 Niko rafiki ya wote wenye kukuogopa

Na ya wale wenye kushika maagizo yako.+

64 Upendo wako mushikamanifu, Ee Yehova, umejaza dunia;+

Unifundishe masharti yako.

ט [Teth]

65 Umemutendea muzuri mutumishi wako,

Ee Yehova, kulingana na neno lako.

66 Unifundishe akili ya muzuri na ujuzi,+

Kwa maana nimeweka tegemeo langu katika amri zako.

67 Mbele niteswe, nilizoea kufuata njia yenye kupotoka,*

Lakini sasa ninashika neno lako.+

68 Wewe ni mwema+ na kazi zako ni za muzuri.

Unifundishe masharti yako.+

69 Wenye kimbelembele wananipakaa uongo,

Lakini ninashika maagizo yako kwa moyo wangu wote.

70 Moyo wao umekufa ganzi,*+

Lakini mimi ninapenda sana sheria yako.+

71 Ni muzuri kwamba nimeteswa,+

Ili nijifunze masharti yako.

72 Sheria yenye ulitangaza ni ya muzuri kwangu,+

Kuliko maelfu ya vipande vya zahabu na feza.+

י [Yod]

73 Mikono yako ilinifanya na kuniumba.

Unipatie uelewaji,

Ili nijifunze amri zako.+

74 Wale wenye kukuogopa wananiona na kushangilia,

Kwa maana neno lako ni tumaini langu.*+

75 Ninajua, Ee Yehova, kwamba hukumu zako ni za haki+

Na kwamba umenitesa katika uaminifu wako.+

76 Tafazali acha upendo wako mushikamanifu+ unifariji,

Kulingana na ahadi yenye* ulimupatia mutumishi wako.

77 Unionyeshe rehema, ili niendelee kuishi,+

Kwa maana ninapenda sana sheria yako.+

78 Wenye kimbelembele wapatishwe haya,

Kwa maana wananikosea bila sababu.*

Lakini nitafikiri sana juu ya* maagizo yako.+

79 Wale wenye kukuogopa warudie kwangu,

Wale wenye kujua vikumbusho vyako.

80 Moyo wangu ukuwe bila lawama katika kufuata masharti yako,+

Ili nisipatishwe haya.+

כ [Kaph]

81 Ninatamani sana* wokovu wako,+

Kwa maana neno lako ni tumaini langu.*

82 Macho yangu yanatamani sana neno lako,+

Wakati ninasema: “Utanifariji wakati gani?”+

83 Kwa maana niko kama chupa ya ngozi yenye kukaushwa katika moshi,

Lakini siyasahau masharti yako.+

84 Mutumishi wako atangojea kwa siku ngapi?

Ni wakati gani utaleta hukumu juu ya wale wenye kunitesa?+

85 Wenye kimbelembele wananichimbia mashimo,

Wale wenye kuasi sheria yako.

86 Amri zako zote ni zenye kutegemeka.

Watu wananitesa bila sababu; unisaidie!+

87 Karibu waniharibu kutoka katika dunia,

Lakini sikuacha maagizo yako.

88 Linda uzima wangu kwa sababu ya upendo wako mushikamanifu,

Ili nishike vikumbusho vyenye umesema.

ל [Lamed]

89 Milele, Ee Yehova,

Neno lako litadumu mbinguni.+

90 Uaminifu wako ni katika vizazi vyote.+

Umeweka dunia imara kabisa, ili iendelee kusimama.+

91 Kwa hukumu zako vinadumu* mupaka leo,

Kwa maana vyote hivyo ni watumishi wako.

92 Kama singependa sana sheria yako,

Ningekuwa nimeangamia katika mateso yangu.+

93 Sitasahau hata kidogo maagizo yako,

Kwa sababu kupitia hayo umelinda uzima wangu.+

94 Mimi ni wako; uniokoe,+

Kwa sababu nimetafuta maagizo yako.+

95 Waovu wanangojea kuniharibu,

Lakini ninakazia uangalifu vikumbusho vyako.

96 Nimeona mupaka wa ukamilifu wote,

Lakini amri yako haina mupaka.*

מ [Mem]

97 Ninapenda sana sheria yako!+

Ninafikiri sana* juu yake muchana wote.+

98 Amri yako inanifanya kuwa na hekima kuliko maadui wangu,+

Kwa sababu niko nayo milele.

99 Niko na ufahamu mwingi kuliko walimu wangu wote,+

Kwa sababu ninafikiri sana juu ya* vikumbusho vyako.

100 Ninatenda kwa uelewaji mwingi kuliko wanaume wazee,

Kwa sababu ninashika maagizo yako.

101 Ninakataa kutembea kwenye njia yoyote ya uovu,+

Ili nishike neno lako.

102 Sigeuke pembeni na kuacha hukumu zako,

Kwa maana umenifundisha.

103 Maneno yako ni matamu sana kwenye kaakaa* langu,

Kuliko asali katika kinywa changu!+

104 Kwa sababu ya maagizo yako ninatenda kwa uelewaji.+

Ndiyo sababu ninachukia kila njia ya uongo.+

נ [Nun]

105 Neno lako ni taa ya muguu wangu,

Na mwangaza wa njia yangu.+

106 Nimeapa kiapo, na nitakitimiza,

Kwamba nitashika hukumu zako za haki.

107 Nimeteswa sana.+

Ee Yehova, linda uzima wangu kulingana na neno lako.+

108 Tafazali furahia matoleo yangu ya kujipendea ya sifa,*+ Ee Yehova,

Na unifundishe hukumu zako.+

109 Uzima wangu uko katika hatari kila wakati,*

Lakini sijasahau sheria yako.+

110 Waovu wamenitegea mutego,

Lakini sijakengeuka na kuacha maagizo yako.+

111 Ninakamata vikumbusho vyako kuwa mali yangu ya kudumu,*

Kwa maana hivyo ni shangwe ya moyo wangu.+

112 Nimeazimia* kutii masharti yako

Nyakati zote, mupaka mwisho.

ס [Samekh]

113 Ninachukia watu wenye moyo nusu-nusu,*+

Lakini ninapenda sheria yako.+

114 Wewe ni mahali pangu pa kujificha na ngao yangu,+

Kwa maana neno lako ni tumaini langu.*+

115 Mukae mbali na mimi, ninyi waovu,+

Ili nishike amri za Mungu wangu.

116 Unitegemeze kama vile uliahidi,*+

Ili niendelee kuishi;

Usiache tumaini langu ligeuke kuwa kupoteza tumaini.*+

117 Unitegemeze ili niokolewe;+

Kisha nitakazia uangalifu masharti yako sikuzote.+

118 Unakataa wale wote wenye kukengeuka na kuacha masharti yako,+

Kwa maana ni waongo na wadanganyifu.

119 Unatupilia mbali waovu wote wa dunia kama vile ni takataka yenye haina mafaa yoyote.+

Ndiyo sababu ninapenda vikumbusho vyako.

120 Mwili wangu unatetemeka* kwa sababu ya kukuogopa;

Ninaogopa hukumu zako.

ע [Ayin]

121 Nimetenda mambo ya haki na ya uadilifu.*

Usiniache katika mukono wa wakandamizaji wangu!

122 Uhakikishe kama mutumishi wako iko* katika hali ya muzuri;

Wenye kimbelembele wasinikandamize.

123 Macho yangu yamechoka kungojea wokovu wako+

Na ahadi yako ya* haki.+

124 Onyesha mutumishi wako upendo wako mushikamanifu,+

Na unifundishe masharti yako.+

125 Mimi ni mutumishi wako; unipatie uelewaji,+

Ili nijue vikumbusho vyako.

126 Wakati umefika wa Yehova kutenda,+

Kwa maana wamevunja sheria yako.

127 Ndiyo sababu ninapenda amri zako

Kuliko zahabu, hata zahabu safi.*+

128 Kwa hiyo, ninaona kila fundisho* kutoka kwako kuwa lenye kufaa;+

Ninachukia kila njia ya uongo.+

פ [Pe]

129 Vikumbusho vyako ni vya muzuri sana.

Ndiyo sababu ninavishika.*

130 Kufunuliwa kwa maneno yako kunaleta mwangaza,+

Na kunamupatia uelewaji mutu mwenye hana uzoefu.+

131 Ninafungua wazi kinywa changu na kushusha pumuzi,*

Kwa sababu ninatamani sana amri zako.+

132 Geuka kunielekea na unionyeshe wema,+

Kulingana na hukumu yako kuelekea wale wenye kupenda jina lako.+

133 Ongoza hatua zangu kwa usalama* kupitia neno lako;

Jambo lolote lenye uovu lisinitawale.+

134 Uniokoe* kutoka kwa wanadamu wenye kukandamiza,

Na nitashika maagizo yako.

135 Fanya uso wako uangazie mutumishi wako,*+

Na unifundishe masharti yako.

136 Machozi yanatiririka kutoka katika macho yangu

Kwa sababu watu hawashike sheria yako.+

צ [Tsade]

137 Wewe ni mwenye haki, Ee Yehova,+

Na hukumu zako ni za haki.+

138 Vikumbusho vyenye unatoa ni vya haki

Na vinategemeka kabisa.

139 Bidii yangu inanikula,+

Kwa sababu wapinzani wangu wamesahau maneno yako.

140 Neno lako ni safi kabisa,+

Na mutumishi wako analipenda.+

141 Mimi ni mutu wa hali ya chini na mwenye kuzarauliwa;+

Lakini, sijasahau maagizo yako.

142 Haki yako ni haki ya milele,+

Na sheria yako ni kweli.+

143 Hata kama ninapatwa na taabu na magumu,

Nitaendelea kupenda sana amri zako.

144 Haki ya vikumbusho vyako ni ya milele.

Unipatie uelewaji,+ ili niendelee kuishi.

ק [Qoph]

145 Ninakuita kwa moyo wangu wote. Unijibu, Ee Yehova.

Nitashika masharti yako.

146 Ninakuitia; uniokoe!

Nitashika vikumbusho vyako.

147 Nimeamuka mbele ya mapambazuko* ili nililie musaada,+

Kwa maana maneno yako ni tumaini langu.*

148 Macho yangu yanafunguka mbele ya makesha ya usiku,

Ili nifikiri sana juu ya* neno lako.+

149 Sikiliza sauti yangu kwa sababu ya upendo wako mushikamanifu.+

Ee Yehova, linda uzima wangu kulingana na haki yako.

150 Watu wenye kujiingiza katika mwenendo wa haya* wananikaribia;

Wako mbali sana na sheria yako.

151 Wewe uko karibu, Ee Yehova,+

Na amri zako zote ni kweli.+

152 Zamani sana nilijifunza kuhusu vikumbusho vyako,

Kwamba umeviweka ili vidumu milele.+

ר [Resh]

153 Angalia mateso yangu na uniokoe,+

Kwa maana sijasahau sheria yako.

154 Unitetee* na uniokoe;+

Linda uzima wangu kulingana na ahadi yako.*

155 Wokovu uko mbali sana na waovu,

Kwa maana hawajatafuta masharti yako.+

156 Rehema yako ni kubwa, Ee Yehova.+

Linda uzima wangu kulingana na haki yako.

157 Wenye kunitesa na pia wapinzani wangu ni wengi;+

Lakini sijakengeuka na kuacha vikumbusho vyako.

158 Ninaangalia watu wadanganyifu kwa chuki kali,

Kwa sababu hawashike neno lako.+

159 Ona namna ninapenda sana maagizo yako!

Ee Yehova, linda uzima wangu kwa sababu ya upendo wako mushikamanifu.+

160 Chanzo kabisa cha neno lako ni kweli,+

Na hukumu zako zote za haki zinadumu milele.

ש [Sin] ao [Shin]

161 Wakubwa wananitesa+ bila sababu,

Lakini moyo wangu unaogopa sana maneno yako.+

162 Ninashangilia kwa sababu ya neno lako+

Kama mutu mwenye anapata vitu vingi katika vita.

163 Ninachukia uongo​—⁠ninauchukia sana+⁠—

Ninapenda sheria yako.+

164 Mara saba (7) kwa siku ninakusifu wewe

Kwa sababu ya hukumu zako za haki.

165 Wale wenye kupenda sheria yako wako na amani nyingi;+

Hakuna kitu chochote chenye kinaweza kuwafanya wajikwae.*

166 Ninatumainia matendo yako ya wokovu, Ee Yehova,

Na ninashika amri zako.

167 Ninashika* vikumbusho vyako,

Na ninavipenda sana.+

168 Ninashika maagizo yako na vikumbusho vyako,

Kwa maana unajua mambo yote yenye ninafanya.+

ת [Taw]

169 Kilio changu cha kuomba musaada kikufikie, Ee Yehova.+

Unifanye nielewe, kulingana na neno lako.+

170 Ombi langu la kuomba rehema lifike mbele yako.

Uniokoe, kama vile umeahidi.*

171 Midomo yangu itoe sifa nyingi,+

Kwa maana wewe unanifundisha masharti yako.

172 Ulimi wangu uimbe kuhusu neno lako,+

Kwa maana amri zako zote ni za haki.

173 Mukono wako ukuwe tayari kunisaidia,+

Kwa sababu ninachagua kutii maagizo yako.+

174 Ninatamani sana wokovu wako, Ee Yehova,

Na ninapenda sana sheria yako.+

175 Acha niishi* ili nikusifu;+

Hukumu zako zikuwe musaada wangu.

176 Nimetanga-tanga kama kondoo mwenye amepotea.+ Tafuta mutumishi wako,

Kwa maana sijasahau amri zako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine