Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Ongezeko na upinzani kule Ikoniamu (1-7)

      • Wanazaniwa kuwa miungu kule Listra (8-18)

      • Paulo anaokoka kufa kisha kupigwa majiwe (19, 20)

      • Kutia nguvu makutaniko (21-23)

      • Wanarudia Antiokia ya Siria (24-28)

Matendo 14:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 95

Matendo 14:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi za watu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:45

Matendo 14:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:11; Ebr 2:3, 4

Matendo 14:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 14:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 95-96

Matendo 14:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 95-96

Matendo 14:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 9:28

Matendo 14:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 35:6

Matendo 14:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 28:3-6

Matendo 14:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1951

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2008, uku. 32

Matendo 14:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:25, 26
  • +Kut 20:11; Zab 146:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 97-98

Matendo 14:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2013, uku. 11

Matendo 14:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:26, 27; Rom. 1:20
  • +Zab 147:8; Yer 5:24; Mt 5:45
  • +Zab 145:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 272-273

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2013, uku. 11

    Kutoa Ushahidi, uku. 97-98

Matendo 14:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 17:13
  • +2 Kor. 11:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2015, uku. 13

Matendo 14:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2013, uku. 28-29

Matendo 14:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakatia nafsi za wanafunzi nguvu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 11:22, 23
  • +Mt 10:38; Yoh 15:19; Rom. 8:17; 1 Tes. 3:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2015, uku. 13

    15/9/2014, uku. 13

Matendo 14:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Tit 1:5
  • +Mdo 13:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 99

Matendo 14:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:13

Matendo 14:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:1, 2

Matendo 14:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 11:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 101

Matendo 14:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2008, uku. 28

Maandiko ingine

Mdo. 14:2Mdo 13:45
Mdo. 14:3Mdo 19:11; Ebr 2:3, 4
Mdo. 14:5Mdo 14:19
Mdo. 14:6Mt 10:23
Mdo. 14:9Mt 9:28
Mdo. 14:10Isa 35:6
Mdo. 14:11Mdo 28:3-6
Mdo. 14:15Mdo 10:25, 26
Mdo. 14:15Kut 20:11; Zab 146:6
Mdo. 14:16Mdo 17:30
Mdo. 14:17Mdo 17:26, 27; Rom. 1:20
Mdo. 14:17Zab 147:8; Yer 5:24; Mt 5:45
Mdo. 14:17Zab 145:16
Mdo. 14:19Mdo 17:13
Mdo. 14:192 Kor. 11:25
Mdo. 14:20Mdo 16:1
Mdo. 14:22Mdo 11:22, 23
Mdo. 14:22Mt 10:38; Yoh 15:19; Rom. 8:17; 1 Tes. 3:4
Mdo. 14:23Tit 1:5
Mdo. 14:23Mdo 13:2, 3
Mdo. 14:24Mdo 13:13
Mdo. 14:26Mdo 13:1, 2
Mdo. 14:27Mdo 11:18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 14:1-28

Matendo ya Mitume

14 Sasa kule Ikoniamu wakaingia pamoja katika sinagogi la Wayahudi, na wakasema muzuri sana mupaka watu wengi, Wayahudi na pia Wagiriki wakakuwa waamini. 2 Lakini Wayahudi wenye hawakuamini wakachochea mubaya watu* wa mataifa na kuwafanya wapinge ndugu.+ 3 Basi wakatumia wakati murefu wakisema bila woga kwa mamlaka ya Yehova,* mwenye alitoa ushahidi juu ya neno la fazili zake zenye hazistahiliwe kwa kuruhusu alama na maajabu vitokee kupitia wao.+ 4 Hata hivyo, watu katika muji waligawanyika; wamoja walikuwa upande wa Wayahudi lakini wengine upande wa mitume. 5 Wakati watu wa mataifa na pia Wayahudi pamoja na watawala wao walijaribu kuwatendea kwa zarau na kuwapiga majiwe,+ 6 wakajulishwa jambo hilo, na wakakimbilia katika miji ya Likaonia, Listra na Derbe, na katika inchi ya pembeni-pembeni.+ 7 Na kule wakaendelea kutangaza habari njema.

8 Sasa kule Listra kulikuwa mwanaume mumoja mwenye alikuwa amekaa chini, alikuwa kilema wa miguu. Alikuwa kilema wa miguu tangu kuzaliwa kwake na alikuwa hajatembea hata siku moja. 9 Mutu huyo alikuwa anamusikiliza Paulo wakati alikuwa anasema. Wakati Paulo alimukazia macho na kuona kwamba iko* na imani ya kuponyeshwa,+ 10 akamuambia kwa sauti kubwa: “Simama kwa miguu yako.” Basi ule mwanaume akaruka na kuanza kutembea.+ 11 Wakati watu wengi waliona jambo lenye Paulo alifanya, wakasema kwa sauti kubwa katika luga ya Kilikaonia: “Miungu imekuwa kama wanadamu na imeshuka kwetu!”+ 12 Barnaba wakaanza kumuita Zeu, lakini Paulo wakamuita Herme, kwa sababu ni yeye alikuwa anasema sana kuliko wengine. 13 Na kuhani wa Zeu, mwenye hekalu lake lilikuwa kwenye muingilio wa muji, akaleta ngombe-dume na mataji ya maua kwenye milango mikubwa ya muji, na alitaka kutoa zabihu pamoja na wale watu wengi.

14 Lakini, wakati mitume Barnaba na Paulo walisikia jambo hilo, wakapasua nguo zao na wakaruka katikati ya watu wengi na kusema kwa sauti kubwa: 15 “Wanaume, sababu gani munafanya mambo haya? Sisi pia ni wanadamu wenye kuwa na uzaifu uleule kama wenu.+ Na tunawatangazia ninyi habari njema, ili mugeuke na kuacha mambo haya yenye hayana maana na mukuje kwa Mungu mwenye kuishi, mwenye alifanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vyenye kuwa ndani.+ 16 Katika vizazi vyenye vilipita aliruhusu mataifa yote waendelee kutembea katika njia zao,+ 17 hata kama hakukosa kutoa ushahidi+ juu yake mwenyewe kwa kutenda mema, aliwapatia ninyi mvua kutoka mbinguni na vipindi vya kuzaa matunda,+ na kuwapatia chakula kwa wingi na kujaza mioyo yenu furaha.”+ 18 Na hata kama walisema mambo hayo, walizuia kwa shida wale watu wengi wasiwatolee zabihu.

19 Lakini Wayahudi wakafika kutoka Antiokia na Ikoniamu na wakashawishi watu wengi,+ na wakamupiga Paulo majiwe na kumukokota inje ya muji, wakiwaza kwamba amekufa.+ 20 Lakini, wakati wanafunzi walimuzunguka, akasimama na kuingia katika muji. Siku yenye ilifuata akatoka pamoja na Barnaba na kuenda Derbe.+ 21 Kisha kutangazia muji huo habari njema na kufanya watu wengi kuwa wanafunzi, wakarudia Listra, Ikoniamu, na Antiokia. 22 Kule wakatia wanafunzi nguvu,*+ kwa kuwatia moyo wabakie katika imani na kusema: “Lazima tuingie katika Ufalme wa Mungu kupitia taabu nyingi.”+ 23 Zaidi ya hayo, wakaweka wazee kwa ajili yao katika kila kutaniko,+ wakitoa sala na kufunga,+ na wakawatia katika mikono ya Yehova,* mwenye walikuwa wameamini.

24 Kisha wakapita katika Pisidia na kuingia Pamfilia,+ 25 na kisha kutangaza neno katika Perga, wakashuka kuenda Atalia. 26 Kutoka kule wakasafiri kwa mashua* kuenda Antiokia, kwenye walikuwa wamewekwa katika fazili zenye hazistahiliwe za Mungu kwa ajili ya kazi yenye sasa walikuwa wametimiza kabisa.+

27 Wakati walikuwa wamefika na kukusanya kutaniko pamoja, wakaeleza mambo mengi yenye Mungu alikuwa amefanya kupitia wao, na kwamba alikuwa amefungulia mataifa mulango wa kuingia katika imani.+ 28 Basi wakatumia wakati murefu pamoja na wanafunzi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine