Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Salamu (1, 2)

      • Faraja kutoka kwa Mungu katika taabu yote (3-11)

      • Mabadiliko katika mipango ya safari za Paulo (12-24)

2 Wakorinto 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
  • +1 Tes. 1:8

2 Wakorinto 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “rehema nyororo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 20:17
  • +Kut 34:6; Zab 86:5; Mik 7:18
  • +Isa 51:3; Rom. 15:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    7/2017,

    uku. 13, 16

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2011, uku. 23-24

    1/6/2009, uku. 28

    1/9/2008, uku. 18

    1/7/2008, uku. 7

    15/3/2008, uku. 15

    15/12/2007, uku. 5

    “Kila Andiko,”

    uku. 217

2 Wakorinto 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anatutia moyo.”

  • *

    Ao “taabu.”

  • *

    Ao “taabu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 23:4; 2 Kor. 7:6
  • +Efe 6:21, 22; 1 Tes. 4:18
  • +Rom. 15:4; 2 Tes. 2:16, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2011, uku. 23-24

    1/9/2008, uku. 18

    15/3/2008, uku. 15

2 Wakorinto 1:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 4:11-13; Kol 1:24

2 Wakorinto 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “taabu.”

2 Wakorinto 1:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:18; 2 Tim. 2:11, 12

2 Wakorinto 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:18, 19
  • +1 Kor. 15:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2014, uku. 23

    Kutoa Ushahidi, uku. 163

2 Wakorinto 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 12:10

2 Wakorinto 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:7, 19; 2 Tim. 4:18; 2 Pe. 2:9

2 Wakorinto 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa kuomba dua.”

  • *

    Ao “kwa sababu ya nyuso nyingi zenye zinasali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 1:19; Flm 22
  • +Mdo 12:5; Rom. 15:30-32

2 Wakorinto 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 2:4, 5

2 Wakorinto 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “mambo yenye tayari munajua muzuri.”

  • *

    Tnn., “mupaka mwisho.”

2 Wakorinto 1:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine,“ili mupate faida mara mbili.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 30-31

2 Wakorinto 1:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 16:5, 6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 30-31

    15/10/2012,

    uku. 29

2 Wakorinto 1:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 31

2 Wakorinto 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Sila.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 31

2 Wakorinto 1:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:8
  • +Ufu 3:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2014, uku. 31

    15/12/2008, uku. 13

2 Wakorinto 1:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 2:20, 27

2 Wakorinto 1:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “malipo ya kwanza; uhakikisho wa kile chenye kitakuja.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:30
  • +Rom. 8:23; 2 Kor. 5:5; Efe 1:13, 14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 15-16

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/1/2007, uku. 30-31

2 Wakorinto 1:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “juu ya nafsi yangu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012, uku. 29

2 Wakorinto 1:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 13:17; 1 Pe. 5:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2013, uku. 27-28

    15/1/2003, uku. 15-16

    Kitabu cha Mwaka 2013, uku. 5-6

Maandiko ingine

2 Wakorintho 1:1Mdo 16:1, 2; Flp 2:19, 20
2 Wakorintho 1:11 Tes. 1:8
2 Wakorintho 1:3Yoh 20:17
2 Wakorintho 1:3Kut 34:6; Zab 86:5; Mik 7:18
2 Wakorintho 1:3Isa 51:3; Rom. 15:5
2 Wakorintho 1:4Zab 23:4; 2 Kor. 7:6
2 Wakorintho 1:4Efe 6:21, 22; 1 Tes. 4:18
2 Wakorintho 1:4Rom. 15:4; 2 Tes. 2:16, 17
2 Wakorintho 1:51 Kor. 4:11-13; Kol 1:24
2 Wakorintho 1:7Rom. 8:18; 2 Tim. 2:11, 12
2 Wakorintho 1:8Mdo 20:18, 19
2 Wakorintho 1:81 Kor. 15:32
2 Wakorintho 1:92 Kor. 12:10
2 Wakorintho 1:10Zab 34:7, 19; 2 Tim. 4:18; 2 Pe. 2:9
2 Wakorintho 1:11Flp 1:19; Flm 22
2 Wakorintho 1:11Mdo 12:5; Rom. 15:30-32
2 Wakorintho 1:121 Kor. 2:4, 5
2 Wakorintho 1:161 Kor. 16:5, 6
2 Wakorintho 1:19Mdo 18:5
2 Wakorintho 1:20Rom. 15:8
2 Wakorintho 1:20Ufu 3:14
2 Wakorintho 1:211 Yo. 2:20, 27
2 Wakorintho 1:22Efe 4:30
2 Wakorintho 1:22Rom. 8:23; 2 Kor. 5:5; Efe 1:13, 14
2 Wakorintho 1:24Ebr 13:17; 1 Pe. 5:2, 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 1:1-24

Ya Pili kwa Wakorinto

1 Paulo, mutume wa Kristo Yesu kupitia mapenzi ya Mungu, na Timoteo+ ndugu yetu, kwa kutaniko la Mungu lenye kuwa katika Korinto, kutia ndani watakatifu wote wenye kuwa katika Akaya yote:+

2 Mukuwe na fazili zenye hazistahiliwe na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.

3 Mungu na Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo asifiwe,+ Baba wa rehema nyingi*+ na Mungu wa faraja yote,+ 4 mwenye anatufariji* katika majaribu* yetu yote+ ili tuweze kufariji wengine+ wenye kuwa katika jaribu la* namna yoyote kupitia faraja yenye tunapokea kutoka kwa Mungu.+ 5 Kwa maana kama vile mateso kwa ajili ya Kristo ni mengi ndani yetu,+ ni vile pia faraja yenye tunapokea kupitia Kristo ni nyingi. 6 Sasa kama tunapambana na majaribu,* ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; na kama tunafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, yenye inatenda ili kuwasaidia ninyi muvumilie mateso yaleyale yenye sisi pia tunapata. 7 Na tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbe-yumbe, tukijua kwamba, kama vile munashiriki katika mateso, ni vile pia mutashiriki katika faraja.+

8 Kwa maana hatutaki mukose kujua, ndugu, juu ya taabu yenye tulipata katika jimbo la Asia.+ Tulikuwa chini ya mukazo mukubwa sana kupita nguvu yetu wenyewe, mupaka hatukukuwa na uhakika kabisa hata juu ya uzima wetu.+ 9 Kwa kweli, tulijisikia kwamba tumepokea hukumu ya kifo. Ilikuwa vile ili tuweke tegemeo letu, hapana katika sisi wenyewe, lakini katika Mungu+ mwenye anafufua wafu. 10 Alituokoa katika hatari hiyo kubwa ya kifo na atatuokoa, na tumaini letu liko katika yeye kwamba ataendelea pia kutuokoa.+ 11 Ninyi pia munaweza kutusaidia kwa kumulilia Mungu* kwa ajili yetu,+ ili wengi watoe shukrani kwa ajili yetu kwa sababu ya wema wenye tunapokea kutokana na majibu ya sala za wengi.*+

12 Kwa maana jambo lenye tunajisifia ni hili, zamiri yetu inatoa ushahidi kwamba tumejiendesha katika ulimwengu, na zaidi sana kuwaelekea ninyi, kwa utakatifu na unyoofu wenye kutoka kwa Mungu, haiko kwa hekima ya kimwili,+ lakini kwa fazili zenye hazistahiliwe za Mungu. 13 Kwa maana kwa kweli hatuwaandikie juu ya jambo lolote isipokuwa mambo yenye munaweza kusoma* na kuelewa, na ninatumaini kuwa mutaendelea kuelewa mambo haya kikamili,* 14 kama vile pia mumeelewa kwa kadiri fulani kwamba sisi ni sababu yenu ya kujisifu, kama vile ninyi mutakuwa kwetu pia katika siku ya Bwana wetu Yesu.

15 Basi nikiwa na uhakika huu, nilikusudia kuja kwenu kwanza, ili mukuwe na nafasi ya pili ya kuwa na furaha;* 16 kwa maana nilikusudia kuwatembelea ninyi wakati nilikuwa katika safari ya kuenda Makedonia, ili nirudie kwenu kisha kutoka Makedonia, na kisha munisindikize umbali fulani kuenda Yudea.+ 17 Basi, wakati nilikuwa na nia hiyo, je, nilikuwa ninachukua mambo hayo kijuujuu tu? Ao je, mimi ninapanga mambo kwa njia ya kimwili, hivi kwamba ninasema “Ndiyo, ndiyo” na kisha “Hapana, hapana”? 18 Lakini Mungu anaweza kutegemewa kwamba mambo yenye tunawaambia ninyi hayako “ndiyo” na wakati uleule “hapana.” 19 Kwa maana Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, mwenye alihubiriwa katikati yenu kupitia sisi, ni kusema, kupitia mimi na Silvano* na Timoteo,+ hakukuwa “ndiyo” na wakati uleule “hapana,” lakini “ndiyo” imekuwa “ndiyo” kuhusiana naye. 20 Kwa maana hata ahadi za Mungu zikuwe nyingi namna gani, zimekuwa “ndiyo” kupitia yeye.+ Kwa hiyo, kupitia yeye pia “Amina” inasemwa kwa Mungu,+ na inamuletea utukufu kupitia sisi. 21 Lakini ule mwenye anatoa uhakikisho kama ninyi na sisi ni wa Kristo na ule mwenye alitutia mafuta ni Mungu.+ 22 Yeye pia ametia muhuri wake juu yetu+ na ametupatia alama yenye kuhakikisha kile chenye kitakuja,* ni kusema, roho,+ katika mioyo yetu.

23 Sasa ninamuitia Mungu akuwe shahidi juu yangu* kwamba ni kwa kuwasikilia ninyi huruma ndiyo maana sijakuja bado Korinto. 24 Haiko kusema sisi tuko mabwana juu ya imani yenu,+ lakini sisi tuko wafanyakazi wenzenu kwa ajili ya furaha yenu, kwa maana munasimama imara kwa sababu ya imani yenu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine