Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Paulo na mitume wenye kujiona kuwa wazuri zaidi (1-15)

      • Shida zenye Paulo alipambana nazo akiwa mutume (16-33)

2 Wakorinto 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “bidii ya Mungu.”

  • *

    Ao “bikira safi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mk 2:19; Efe 5:23; Ufu 21:2, 9

2 Wakorinto 11:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “usafi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 3:4, 5; Yoh 8:44
  • +1 Tim. 6:3-5; Ebr 13:9; 2 Pe. 3:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 192

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2002, uku. 8

2 Wakorinto 11:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 1:7, 8

2 Wakorinto 11:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 11:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 216

2 Wakorinto 11:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 10:10

2 Wakorinto 11:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 18:3; 1 Kor. 9:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 148-150

2 Wakorinto 11:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Niliiba.”

  • *

    Ao “musaada.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 4:10

2 Wakorinto 11:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 4:15, 16
  • +1 Tes. 2:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 151

2 Wakorinto 11:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:14, 15

2 Wakorinto 11:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kisingizio cha.”

  • *

    Ao “cheo chenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:11, 12

2 Wakorinto 11:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:17, 18; 2 Pe. 2:1

2 Wakorinto 11:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 1:8; 2 Tes. 2:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2004, uku. 4-5

    1/3/2002, uku. 11

2 Wakorinto 11:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 16:27; Flp 3:18, 19; 2 Tim. 4:14

2 Wakorinto 11:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, kulingana na mawazo ya wanadamu.

2 Wakorinto 11:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 22:3
  • +Rom. 11:1; Flp 3:4, 5

2 Wakorinto 11:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 11:13; 1 Kor. 15:10
  • +Mdo 16:23, 24
  • +Mdo 9:15, 16; 2 Kor. 6:4, 5; 1 Pe. 2:20, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 26-27

2 Wakorinto 11:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 25:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 26-27

2 Wakorinto 11:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua ya maji; bateau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:22
  • +Mdo 14:19
  • +Mdo 27:41

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 26-27

2 Wakorinto 11:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:3; 23:10
  • +Mdo 14:5, 6
  • +Mdo 13:50

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 26-27

2 Wakorinto 11:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na katika uchi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 20:31
  • +1 Kor. 4:11
  • +2 Kor. 6:4, 5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 26-27

2 Wakorinto 11:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kila siku kuko mambo yenye kunikaza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 2:4; Kol 2:1

2 Wakorinto 11:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

2 Wakorinto 11:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:24, 25

Maandiko ingine

2 Wakorintho 11:2Mk 2:19; Efe 5:23; Ufu 21:2, 9
2 Wakorintho 11:3Mwa 3:4, 5; Yoh 8:44
2 Wakorintho 11:31 Tim. 6:3-5; Ebr 13:9; 2 Pe. 3:17
2 Wakorintho 11:4Gal 1:7, 8
2 Wakorintho 11:52 Kor. 11:23
2 Wakorintho 11:62 Kor. 10:10
2 Wakorintho 11:7Mdo 18:3; 1 Kor. 9:18
2 Wakorintho 11:8Flp 4:10
2 Wakorintho 11:9Flp 4:15, 16
2 Wakorintho 11:91 Tes. 2:9
2 Wakorintho 11:101 Kor. 9:14, 15
2 Wakorintho 11:121 Kor. 9:11, 12
2 Wakorintho 11:13Rom. 16:17, 18; 2 Pe. 2:1
2 Wakorintho 11:14Gal 1:8; 2 Tes. 2:9
2 Wakorintho 11:15Mt 16:27; Flp 3:18, 19; 2 Tim. 4:14
2 Wakorintho 11:22Mdo 22:3
2 Wakorintho 11:22Rom. 11:1; Flp 3:4, 5
2 Wakorintho 11:23Rom. 11:13; 1 Kor. 15:10
2 Wakorintho 11:23Mdo 16:23, 24
2 Wakorintho 11:23Mdo 9:15, 16; 2 Kor. 6:4, 5; 1 Pe. 2:20, 21
2 Wakorintho 11:24Kum 25:3
2 Wakorintho 11:25Mdo 16:22
2 Wakorintho 11:25Mdo 14:19
2 Wakorintho 11:25Mdo 27:41
2 Wakorintho 11:26Mdo 20:3; 23:10
2 Wakorintho 11:26Mdo 14:5, 6
2 Wakorintho 11:26Mdo 13:50
2 Wakorintho 11:27Mdo 20:31
2 Wakorintho 11:271 Kor. 4:11
2 Wakorintho 11:272 Kor. 6:4, 5
2 Wakorintho 11:282 Kor. 2:4; Kol 2:1
2 Wakorintho 11:33Mdo 9:24, 25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 11:1-33

Ya Pili kwa Wakorinto

11 Ningependa munivumilie katika kukosa akili kidogo. Lakini kwa kweli, munanivumilia! 2 Kwa maana niko na wivu juu yenu kwa wivu wenye kutoka kwa Mungu,* kwa maana mimi mwenyewe niliwaahidi ninyi katika ndoa kwa bwana mumoja ili niwatoe kwa Kristo,+ mukiwa bikira mwenye kuwa na mwenendo safi.* 3 Lakini ninaogopa kwamba kwa njia fulani, kama vile nyoka alimushawishi Eva kwa werevu wake,+ pengine akili zenu zinaweza kuharibiwa kutoka kwenye unyoofu wa moyo na mwenendo safi* wenye unamufaa Kristo.+ 4 Kwa maana, kwa kweli, kama mutu fulani anakuja na kuhubiri Yesu mwingine tofauti na ule mwenye tulihubiri, ao kama munapokea roho ingine tofauti na ile yenye mulipokea, ao habari njema ingine tofauti na ile yenye mulikubali,+ munamuvumilia kwa vyepesi. 5 Kwa maana ninaona kama sijakuwa mudogo kuliko mitume wenu wenye kujiona kuwa wazuri zaidi, hata katika jambo moja.+ 6 Lakini hata kama sina ufundi wa kusema,+ hakika siko vile katika ujuzi; kwa kweli tuliwaonyesha wazi jambo hilo katika kila njia na katika kila jambo.

7 Ao je, nilifanya zambi kwa kujinyenyekeza ili ninyi muinuliwe, kwa sababu niliwatangazia ninyi habari njema ya Mungu kwa furaha bila kuwaomba kitu?+ 8 Nilinyanganya* makutaniko mengine kwa kupokea vitu* kutoka kwao ili niwatumikie ninyi.+ 9 Na bado, wakati nilikuwa pamoja na ninyi na kuwa katika uhitaji, sikukuwa muzigo kwa mutu yeyote, kwa maana ndugu wenye walitoka Makedonia walinipatia kwa wingi vitu vyenye nilikuwa navyo lazima.+ Ndiyo, katika kila njia nilijizuia nisikuwe muzigo kwenu na nitaendelea kufanya vile.+ 10 Kama vile hakika kweli ya Kristo iko ndani yangu, sitaacha kujisifu+ hivi katika maeneo ya Akaya. 11 Sababu gani? Je, ni kwa sababu siwapendi ninyi? Mungu anajua ninawapenda.

12 Lakini kile chenye ninafanya nitaendelea kukifanya,+ ili niondoe kisingizio cha wale wenye wanatafuta sababu ya* kuonekana kuwa sawa na sisi katika mambo yenye* wanajisifia. 13 Kwa maana watu wa namna hiyo ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu, wenye kujifanya wenyewe kuwa mitume wa Kristo.+ 14 Na haishangaze, kwa maana Shetani mwenyewe anaendelea kujifanya kuwa malaika wa mwangaza.+ 15 Kwa hiyo haiko jambo la ajabu kwamba watumishi wake pia wanaendelea kujifanya kuwa watumishi wa haki. Lakini mwisho wao utakuwa kulingana na matendo yao.+

16 Ninasema tena: Mutu yeyote asiwaze kama mimi sina akili. Lakini hata kama munafikiri vile, basi munikubali kama mutu mwenye hana akili, ili mimi pia nijisifu kidogo. 17 Sasa ninasema, haiko kwa kufuata mufano wa Bwana, lakini kama mutu mwenye hana akili, kwa kujiaminia mwenyewe na kujisifu. 18 Kwa kuwa watu wengi wanajisifu kulingana na mwili,* mimi pia nitajisifu. 19 Kwa kuwa ninyi ni “wenye akili,” munavumilia kwa furaha watu wenye hawana akili. 20 Kwa kweli, munavumilia mutu yeyote mwenye anawafanya ninyi kuwa watumwa, mutu yeyote mwenye anakula vitu vyenu, mutu yeyote mwenye anakamata kwa nguvu kile chenye muko nacho, mutu yeyote mwenye anajitukuza juu yenu, na mutu yeyote mwenye anawapiga ninyi kwenye uso.

21 Ni jambo la haya kwetu kwamba ninasema hivi, kwa kuwa pengine inaweza kuonekana tumetenda kwa uzaifu.

Lakini kama wengine wanatenda bila woga⁠—⁠ninasema kwa kukosa akili⁠—⁠mimi pia ninatenda bila woga. 22 Je, wao ni Waebrania? Mimi pia.+ Je, wao ni Waisraeli? Mimi pia. Je, wao ni uzao wa* Abrahamu? Mimi pia.+ 23 Je, wao ni watumishi wa Kristo? Ninajibu kama mwenda-wazimu, mimi ni mutumishi kwa njia kubwa hata zaidi: Nimefanya kazi nyingi zaidi,+ nimefungwa katika gereza mara nyingi zaidi,+ nimepigwa mara nyingi sana, na kukaribia kufa mara nyingi.+ 24 Mara tano (5) nilipigwa na Wayahudi viboko makumi ine (40) kutosha kimoja,+ 25 mara tatu (3) nilipigwa kwa fimbo,+ mara moja nilipigwa majiwe,+ mara tatu nilivunjikiwa mashua,*+ usiku mumoja na muchana mumoja nimekaa katika bahari kubwa; 26 mara nyingi katika safari, katika hatari kutokana na mito, katika hatari kutoka kwa wanyanganyi, katika hatari kutoka kwa watu wangu mwenyewe,+ katika hatari kutoka kwa mataifa,+ katika hatari za ndani ya muji,+ katika hatari za ndani ya jangwa, katika hatari za bahari, katika hatari kati ya ndugu wa uongo, 27 katika kazi ya jasho na ya taabu, mara nyingi katika kukosa usingizi usiku,+ katika njaa na kiu,+ kukosa chakula mara kwa mara,+ katika baridi na kukosa nguo.*

28 Zaidi ya mambo hayo ya inje, kuko kile chenye kunikaza pia siku kwa siku:* mahangaiko juu ya makutaniko yote.+ 29 Ni nani mwenye iko* muzaifu, na mimi siko muzaifu? Ni nani mwenye amekwazika, na mimi siwake kasirani?

30 Kama ninapaswa kujisifu, nitajisifu juu ya mambo yenye yanaonyesha uzaifu wangu. 31 Mungu na Baba ya Bwana Yesu, Ule mwenye anastahili kusifiwa milele, anajua siseme uongo. 32 Katika Damasko gavana mwenye kuwa chini ya mufalme Areta alikuwa analinda muji wa Wadamasko ili kunikamata, 33 lakini nilishushwa katika kitunga kupitia dirisha kwenye ukuta wa muji,+ na nikaponyoka mikono yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine