Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Watesalonike 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Watesalonike

      • Onyo juu ya uasherati (1-8)

      • Kupendana kikamili zaidi (9-12)

        • “Kuhangaikia mambo yenu wenyewe” (11)

      • Wenye walikufa katika Kristo watafufuliwa kwanza (13-18)

1 Watesalonike 4:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 1:10; 1 Pe. 2:12

1 Watesalonike 4:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Kigiriki, por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 17:19; Efe 5:25-27; 2 Tes. 2:13; 1 Pe. 1:15, 16
  • +Efe 5:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 21

1 Watesalonike 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “chombo chake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 3:5; 2 Tim. 2:22
  • +Rom. 6:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    8/10/2003, uku. 14

1 Watesalonike 4:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 6:18; Efe 5:5
  • +Zab 79:6; Efe 4:17, 19; 1 Pe. 4:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    9/2013, uku. 5

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 21

1 Watesalonike 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    11/2006, uku. 29

    22/4/2000, uku. 14

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2002, uku. 20-21

    15/1/2001, uku. 6-7

1 Watesalonike 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 12:14; 1 Pe. 1:15, 16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 21

1 Watesalonike 4:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 6:18, 19
  • +1 Yo. 3:24

1 Watesalonike 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:10
  • +Yoh 13:34, 35; 1 Pe. 1:22; 1 Yo. 4:21

1 Watesalonike 4:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2003, uku. 13-14

1 Watesalonike 4:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 3:11, 12
  • +1 Pe. 4:15
  • +1 Kor. 4:11, 12; Efe 4:28; 2 Tes. 3:10; 1 Tim. 5:8

1 Watesalonike 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:17

1 Watesalonike 4:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 11:11; Mdo 7:59, 60; 1 Kor. 15:6
  • +1 Kor. 15:32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    8/7/2001, uku. 12-13

1 Watesalonike 4:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:9; 1 Kor. 15:3, 4
  • +1 Kor. 15:22, 23; Flp 3:20, 21; 2 Tes. 2:1; Ufu 20:4

1 Watesalonike 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/1/2007, uku. 28

1 Watesalonike 4:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yud 9
  • +1 Kor. 15:51, 52

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 5 2017 uku. 5

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/1/2007, uku. 28

    Amuka!,

    8/2/2002, uku. 17

1 Watesalonike 4:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 1:9
  • +2 Tes. 2:1
  • +Yoh 14:3; 17:24; 2 Kor. 5:8; Flp 1:23; Ufu 20:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2015, uku. 13-14

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 29

    1/1/2007, uku. 28

Maandiko ingine

1 Te. 4:1Kol 1:10; 1 Pe. 2:12
1 Te. 4:3Yoh 17:19; Efe 5:25-27; 2 Tes. 2:13; 1 Pe. 1:15, 16
1 Te. 4:3Efe 5:3
1 Te. 4:4Kol 3:5; 2 Tim. 2:22
1 Te. 4:4Rom. 6:19
1 Te. 4:51 Kor. 6:18; Efe 5:5
1 Te. 4:5Zab 79:6; Efe 4:17, 19; 1 Pe. 4:3
1 Te. 4:7Ebr 12:14; 1 Pe. 1:15, 16
1 Te. 4:81 Kor. 6:18, 19
1 Te. 4:81 Yo. 3:24
1 Te. 4:9Rom. 12:10
1 Te. 4:9Yoh 13:34, 35; 1 Pe. 1:22; 1 Yo. 4:21
1 Te. 4:112 Tes. 3:11, 12
1 Te. 4:111 Pe. 4:15
1 Te. 4:111 Kor. 4:11, 12; Efe 4:28; 2 Tes. 3:10; 1 Tim. 5:8
1 Te. 4:12Rom. 12:17
1 Te. 4:13Yoh 11:11; Mdo 7:59, 60; 1 Kor. 15:6
1 Te. 4:131 Kor. 15:32
1 Te. 4:14Rom. 14:9; 1 Kor. 15:3, 4
1 Te. 4:141 Kor. 15:22, 23; Flp 3:20, 21; 2 Tes. 2:1; Ufu 20:4
1 Te. 4:16Yud 9
1 Te. 4:161 Kor. 15:51, 52
1 Te. 4:17Mdo 1:9
1 Te. 4:172 Tes. 2:1
1 Te. 4:17Yoh 14:3; 17:24; 2 Kor. 5:8; Flp 1:23; Ufu 20:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Watesalonike 4:1-18

Ya Kwanza kwa Watesalonike

4 Mwishowe, ndugu, kama vile mulipata maagizo kutoka kwetu juu ya namna munapaswa kutembea ili kumupendeza Mungu,+ kama vile kwa kweli munatembea, tunawaomba na kuwatia moyo katika jina la Bwana Yesu, muendelee kufanya vile kwa ukamili zaidi. 2 Kwa maana munajua maagizo yenye tuliwapatia ninyi katika jina la Bwana Yesu.

3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba munapaswa kuwa watakatifu+ na kujiepusha na uasherati.*+ 4 Kila mumoja wenu anapaswa kujua namna ya kuzuia mwili wake*+ katika utakatifu+ na heshima, 5 haiko kwa pupa, tamaa kubwa ya ngono yenye haizuiliwe+ kama ya watu wa mataifa wenye hawamujue Mungu.+ 6 Mutu yeyote hapaswe kuvuka mipaka yenye kufaa na kuumiza ndugu yake katika jambo hili, kwa sababu Yehova* analeta azabu kwa ajili ya mambo haya yote, kama vile tuliwaambia na kuwaonya kwa nguvu wakati wenye ulipita. 7 Kwa maana Mungu hakutuita ili tuishi maisha machafu, lakini alituita ili tukuwe watakatifu.+ 8 Kwa hiyo basi, mutu mwenye anazarau jambo hili, hazarau mwanadamu, lakini anamuzarau Mungu+ mwenye anawapatia ninyi roho yake takatifu.+

9 Lakini, juu ya upendo wa kindugu,+ hamuna lazima sisi tuwaandikie ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mumefundishwa na Mungu kupendana.+ 10 Kwa kweli, munafanya vile kuelekea ndugu wote katika Makedonia yote. Lakini, tunawachochea ninyi, ndugu, muendelee kufanya vile kwa ukamili zaidi. 11 Mufanye kusudi lenu likuwe kuishi kwa utulivu+ na kuhangaikia mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tuliwaagiza, 12 ili mujiendeshe kwa adabu mbele ya macho ya watu wa inje+ na musikose kitu chochote.

13 Zaidi ya hayo, ndugu, hatutaki mukose kujua juu ya wale wenye wanalala usingizi katika kifo,+ ili musikuwe na huzuni kama vile watu wengine wenye hawana tumaini.+ 14 Kwa maana kama tuko na imani kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa,+ vilevile pia, wale wenye wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.+ 15 Kwa maana tunawaambia hivi kupitia neno la Yehova,* kwamba sisi wazima wenye tutabakia mupaka kuwapo kwa Bwana hatutawatangulia hata kidogo wale wenye wamelala usingizi katika kifo; 16 kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni na mwito wenye amri, pamoja na sauti ya malaika mukubwa+ na tarumbeta ya Mungu, na wale wenye walikufa katika umoja na Kristo watafufuliwa kwanza.+ 17 Kisha pale, sisi wazima wenye tulibakia, pamoja nao, tutachukuliwa katika mawingu+ ili kukutana na Bwana+ katika hewa; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+ 18 Kwa hiyo muendelee kufarijiana kupitia maneno hayo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine