Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 13
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Waebrania

      • Vitia-moyo vya kumalizia, na salamu (1-25)

        • Musisahau ukaribishaji-wageni (2)

        • Ndoa iheshimiwe (4)

        • Mutii wale wenye wanaongoza (7, 17)

        • Kutoa zabihu ya sifa (15, 16)

Waebrania 13:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 4:9; 1 Pe. 1:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 4-6

    Kitabu cha Mwaka 2016, uku. 2-3

Waebrania 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuonyesha wageni fazili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:13; 1 Tim. 3:2
  • +Mwa 18:2, 3; 19:1-3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2016, uku. 8-12

    1/2016, uku. 6

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2012, uku. 18-19

    “Kila Andiko,” uku. 18

Waebrania 13:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wenye kufungwa; wenye kuwa katika vifungo.”

  • *

    Ao pengine, “kama vile munateseka pamoja nao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 4:18
  • +Rom. 12:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 6-7

Waebrania 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno, “Uasherati.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 5:16, 20; Mt 5:28
  • +Mez. 6:32; 1 Kor. 6:9, 10, 18; Gal 5:19, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 7

    “Upendo wa Mungu,” uku. 123-132

    Amuka!,

    8/5/2004, uku. 20

    8/1/2001, uku. 10

Waebrania 13:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 6:10
  • +Mez. 30:8, 9; 1 Tim. 6:8
  • +Kum 31:6, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 7

    Amuka!,

    9/2015, uku. 5

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2014, uku. 26

    1/10/2006, uku. 29

    15/10/2005, uku. 8-11

    1/6/2001, uku. 8

Waebrania 13:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 118:6; Da. 3:17; Lu 12:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 7-8

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/6/2001, uku. 8

Waebrania 13:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 5:17; Ebr 13:17
  • +1 Kor. 11:1; 2 Tes. 3:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    2/2017, uku. 28

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 8

    Tengenezo, uku. 17, 20-22

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/4/2007, uku. 28

Waebrania 13:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, sheria juu ya chakula.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 14:17; 1 Kor. 8:8; Kol 2:16

Waebrania 13:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:13; 10:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2003, uku. 29-30

Waebrania 13:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 16:27

Waebrania 13:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 19:17
  • +Ebr 9:13, 14

Waebrania 13:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:3; 2 Kor. 12:10; 1 Pe. 4:14

Waebrania 13:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:10; 12:22

Waebrania 13:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:12; Zab 50:14, 23
  • +Zab 69:30, 31; Ho 14:2
  • +Rom. 10:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/4/2007, uku. 20

    1/12/2003, uku. 17

    1/5/2003, uku. 28-29

    15/8/2000, uku. 20-21

    Siku ya Yehova,

    uku. 167-168, 178

    “Kila Andiko,” uku. 247

Waebrania 13:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:13
  • +Flp 4:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2012, uku. 23

    1/11/2005, uku. 7

    Huduma ya Ufalme,

    4/2005, uku. 1

Waebrania 13:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kulinda nafsi zenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tes. 5:12
  • +Efe 5:21; 1 Pe. 5:5
  • +Mdo 20:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 48-49

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2013, uku. 21-25

    15/6/2011, uku. 25-26

    1/4/2007, uku. 28-30

    15/6/2001, uku. 20-21

Waebrania 13:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ya muzuri.”

  • *

    Ao “kwa uaminifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 1:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 1 2016 uku. 6-7

    Mkaribie Yehova, uku. 207

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2005,

    uku. 28-29

    1/2/2004, uku. 32

Waebrania 13:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 207

Waebrania 13:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 5:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2008, uku. 32

Waebrania 13:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 27:1

Maandiko ingine

Ebr. 13:11 Tes. 4:9; 1 Pe. 1:22
Ebr. 13:2Rom. 12:13; 1 Tim. 3:2
Ebr. 13:2Mwa 18:2, 3; 19:1-3
Ebr. 13:3Kol 4:18
Ebr. 13:3Rom. 12:15
Ebr. 13:4Mez. 5:16, 20; Mt 5:28
Ebr. 13:4Mez. 6:32; 1 Kor. 6:9, 10, 18; Gal 5:19, 21
Ebr. 13:51 Tim. 6:10
Ebr. 13:5Mez. 30:8, 9; 1 Tim. 6:8
Ebr. 13:5Kum 31:6, 8
Ebr. 13:6Zab 118:6; Da. 3:17; Lu 12:4
Ebr. 13:71 Tim. 5:17; Ebr 13:17
Ebr. 13:71 Kor. 11:1; 2 Tes. 3:7
Ebr. 13:9Rom. 14:17; 1 Kor. 8:8; Kol 2:16
Ebr. 13:101 Kor. 9:13; 10:18
Ebr. 13:11Law. 16:27
Ebr. 13:12Yoh 19:17
Ebr. 13:12Ebr 9:13, 14
Ebr. 13:13Rom. 15:3; 2 Kor. 12:10; 1 Pe. 4:14
Ebr. 13:14Ebr 11:10; 12:22
Ebr. 13:15Law. 7:12; Zab 50:14, 23
Ebr. 13:15Zab 69:30, 31; Ho 14:2
Ebr. 13:15Rom. 10:9
Ebr. 13:16Rom. 12:13
Ebr. 13:16Flp 4:18
Ebr. 13:171 Tes. 5:12
Ebr. 13:17Efe 5:21; 1 Pe. 5:5
Ebr. 13:17Mdo 20:28
Ebr. 13:182 Kor. 1:12
Ebr. 13:201 Pe. 5:4
Ebr. 13:24Mdo 27:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Waebrania 13:1-25

Kwa Waebrania

13 Upendo wenu wa kindugu uendelee.+ 2 Musisahau ukaribishaji-wageni,*+ kwa maana kupitia huo wengine bila kujua walikaribisha malaika.+ 3 Mukumbuke wale wenye kuwa katika gereza,*+ kama vile mumefungwa pamoja nao,+ na wale wenye wanatendewa mubaya, kwa kuwa ninyi pia muko katika mwili.* 4 Ndoa iheshimiwe kati ya watu wote, na kitanda cha ndoa kikuwe bila uchafu,+ kwa maana Mungu atahukumu waasherati* na wazinifu.+ 5 Njia yenu ya maisha ikuwe bila upendo wa feza,+ wakati munatosheka na vitu vya sasa.+ Kwa maana amesema: “Sitakuacha hata kidogo, na sitakutupa hata kidogo.”+ 6 Ili tukuwe hodari na kusema: “Yehova* ni musaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunifanya nini?”+

7 Mukumbuke wale wenye wanaongoza kati yenu,+ wenye wamewafundisha neno la Mungu, na wakati munaona matokeo ya mwenendo wao, muige imani yao.+

8 Yesu Kristo ni uleule jana, leo, na milele.

9 Musipotoshwe na mafundisho mbalimbali na yenye kuwa mageni, kwa maana ni muzuri zaidi moyo utiwe nguvu kwa fazili zenye hazistahiliwe kuliko kutiwa nguvu na vyakula,* vyenye haviletee faida wale wenye wanajishugulisha navyo.+

10 Sisi tuko na mazabahu yenye wale wenye wanatoa utumishi mutakatifu katika hema hawana mamlaka ya kula vitu vyenye kuwa juu yake.+ 11 Kwa maana miili ya wanyama wenye kuhani mukubwa anapeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kama toleo la zambi linateketezwa kwa moto inje ya kambi.+ 12 Kwa hiyo, Yesu pia aliteseka inje ya mulango mukubwa wa muji+ ili atakase watu kupitia damu yake mwenyewe.+ 13 Basi, tuende kwake inje ya kambi, tukiwa wenye kubeba lawama yenye alibeba,+ 14 kwa maana hapa hatuna muji wenye kudumu, lakini tunatafuta kwa bidii ule wenye utakuja.+ 15 Kupitia yeye sikuzote tumutolee Mungu zabihu ya sifa,+ ni kusema, tunda la midomo yetu+ yenye inatangaza jina lake mbele ya watu wote.+ 16 Zaidi ya hayo, musisahau kutenda mema na kushiriki pamoja na wengine vile vyenye muko navyo,+ kwa maana Mungu anapendezwa na zabihu za namna hiyo.+

17 Mutii wale wenye wanaongoza kati yenu+ na munyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale wenye watatoa hesabu,+ ili wafanye vile kwa furaha, hapana kwa kusumbuka, kwa maana jambo hilo lingewaumiza ninyi.

18 Muendelee kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuko hakika kwamba tuko na zamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu* katika mambo yote.+ 19 Lakini sasa ninawatia ninyi moyo zaidi musali kwamba nirudie kwenu mbio sana.

20 Basi Mungu wa amani, mwenye alirudisha kutoka kwa wafu muchungaji mukubwa+ wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano lenye linadumu milele, 21 awapatie ninyi kila kifaa kizuri ili mufanye mapenzi yake, na atende ndani yetu kupitia Yesu Kristo mambo yenye yanapendeza mbele ya macho yake, kwake yeye kukuwe utukufu milele na milele. Amina.

22 Sasa ninawatia ninyi moyo, ndugu, musikilize kwa uvumilivu neno hili la kutia moyo, kwa maana nimewaandikia ninyi barua fupi. 23 Ningependa kuwajulisha kwamba ndugu yetu Timoteo ameachiliwa huru. Kama anakuja mbio, nitakuja pamoja naye kuwaona.

24 Muwapatie salamu zangu wale wote wenye wanaongoza katikati yenu na watakatifu wote. Wale wenye kuwa katika Italia+ wanawatumia ninyi salamu zao.

25 Fazili zenye hazistahiliwe zikuwe pamoja na ninyi wote.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine