Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Maombolezo MAOMBOLEZO HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Yerusalemu anatajwa kuwa mujane Anakaa peke yake na ameachwa (1) Zambi kubwa za Sayuni (8, 9) Mungu anakataa Sayuni (12-15) Hakuna wa kufariji Sayuni (17) 2 Kasirani ya Yehova juu ya Yerusalemu Hakuna huruma yenye ilionyeshwa (2) Yehova amekuwa kama adui kwa Yerusalemu (5) Machozi juu ya Sayuni (11-13) Wapita-njia wanachekelea muji wenye ulikuwa unapendeza zamani (15) Maadui wanafurahi juu ya kuanguka kwa Sayuni (17) 3 Yeremia anaonyesha hisia zake na tumaini lake “Nitaonyesha mutazamo wa kungojea” (21) Rehema za Mungu ni mupya kila asubui (22, 23) Mungu ni mwema kwa wale wenye wanamutumainia (25) Ni muzuri kwa vijana kubeba nira (27) Mungu ameweka kizuizi cha wingu ili asifikiwe (43, 44) 4 Matokeo ya mubaya ya kuzungukwa kwa Yerusalemu kwa ajili ya vita Ukosefu wa chakula (4, 5, 9) Wanamuke wanatokotesha watoto wao (10) Yehova amemwanga kasirani yake (11) 5 Sala ya watu ya kuomba kurudishwa ‘Kumbuka mambo yenye yalitupata’ (1) ‘Ole wetu; tumefanya zambi’ (16) ‘Uturudishe, Ee Yehova’ (21) “Fanya siku zetu zikuwe mupya” (21)