Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya Habari Zenye Kuwa Katika Zekaria ZEKARIA HABARI ZENYE KUWA NDANI 1 Mwito wa kumurudilia kwa Yehova (1-6) ‘Murudie kwangu na mimi nitarudia kwenu’ (3) Maono ya 1: Wapanda-farasi kati ya miti ya mihadasi (7-17) “Yehova atafariji tena Sayuni” (17) Maono ya 2: Pembe ine na mafundi ine (18-21) 2 Maono ya 3: Mutu mwenye kamba ya kupimia (1-13) Yerusalemu itapimwa (2) Yehova, ‘ukuta wa moto kuzunguka pande zote’ (5) Kugusa mboni ya jicho la Mungu (8) Mataifa mengi yatajiunga na Yehova (11) 3 Maono ya 4: Nguo za kuhani mukubwa zinabadilishwa (1-10) Shetani anamupinga Yoshua Kuhani Mukubwa (1) ‘Nitamuleta ndani mutumishi wangu Chipukizi!’ (8) 4 Maono ya 5: Kinara cha taa na mizeituni mbili (1-14) ‘Hapana kwa nguvu, lakini kwa roho yangu’ (6) Usizarau siku ya mianzo midogo (10) 5 Maono ya 6: Kitabu cha kukunjwa chenye kuruka (1-4) Maono ya 7: Chombo cha efa (5-11) Mwanamuke mwenye kuwa ndani anaitwa Uovu (8) Chombo kinapelekwa Shinari (9-11) 6 Maono ya 8: Magari ine (1-8) Chipukizi atakuwa mufalme na kuhani (9-15) 7 Yehova analaumu wenye wanafunga kwa unafiki (1-14) “Je, kweli mulifunga kwa ajili yangu?” (5) ‘Mutendeane kwa haki, upendo mushikamanifu, na rehema’ (9) 8 Yehova anapatia Sayuni amani na ukweli (1-23) Yerusalemu, “muji wa ukweli” (3) “Museme kweli mumoja na mwingine” (16) Kufunga kunageuka kuwa sikukuu (18, 19) ‘Tuende kwa bidii kumutafuta Yehova’ (21) Watu kumi watashika kanzu ya Muyahudi (23) 9 Hukumu ya Mungu juu ya mataifa jirani (1-8) Kuja kwa mufalme wa Sayuni (9, 10) Mufalme munyenyekevu anapanda juu ya punda (9) Watu wa Yehova watawekwa huru (11-17) 10 Mumuombe Yehova awapatie mvua, musiombe miungu ya uongo (1, 2) Yehova anaunganisha watu wake (3-12) Mutu wa maana kutoka katika nyumba ya Yuda (3, 4) 11 Matokeo ya kukataa muchungaji wa kweli wa Mungu (1-17) “Chunga kundi lenye limepangiwa kuchinjwa” (4) Fimbo mbili: Uzuri na Umoja (7) Malipo ya muchungaji: vipande makumi tatu vya feza (12) Feza zinatupwa katika hazina (13) 12 Yehova atalinda Yuda na Yerusalemu (1-9) Yerusalemu, “jiwe nzito” (3) Kuomboleza juu ya ule mwenye alitobolewa (10-14) 13 Kuondolewa kwa sanamu na manabii wa uongo (1-6) Manabii wa uongo watasikia haya (4-6) Muchungaji atapigwa (7-9) Sehemu moja ya tatu itasafishwa (9) 14 Ibada ya kweli inapata ushindi kabisa (1-21) Mulima wa Mizeituni utagawanyika mara mbili (4) Yehova atakuwa mumoja, na jina lake litakuwa moja (9) Pigo kwa wenye kupinga Yerusalemu (12-15) Kufanya Sikukuu ya Vibanda (16-19) Kila chungu kitakuwa kitakatifu kwa Yehova (20, 21)