- Habari za Kufanana na Zile
 
			         
     
	    
            
			        
        
			
	
KUTOKA
HABARI ZENYE KUWA NDANI
-  1  - 
- Waisraeli wanaongezeka katika Misri (1-7) 
- Farao anakandamiza Waisraeli (8-14) 
- Wanamuke wa kuzalisha wenye kumuogopa Mungu wanaokoa uzima wa watoto (15-22) 
 
-  2  - 
- Musa anazaliwa (1-4) 
- Binti ya Farao anamuchukua Musa kuwa mutoto wake (5-10) 
- Musa anakimbilia Midiani na anamuoa Sipora (11-22) 
- Mungu anasikia kilio cha maumivu cha Waisraeli (23-25) 
 
-  3  - 
- Musa na muti mudogo wa miiba wenye kuwaka moto (1-12) 
- Yehova anaeleza maana ya jina Lake (13-15) 
- Yehova anamupatia Musa maagizo (16-22) 
 
-  4  - 
- Alama tatu zenye Musa alipaswa kufanya (1-9) 
- Musa anajisikia kuwa hastahili (10-17) 
- Musa anarudia Misri (18-26) 
- Musa anakutana tena na Haruni (27-31) 
 
-  5  - 
- Musa na Haruni mbele ya Farao (1-5) 
- Ukandamizaji unaongezeka (6-18) 
- Israeli wanamulaumu Musa na Haruni (19-23) 
 
-  6  - 
- Ahadi ya kuwekwa huru inarudiliwa (1-13) 
- Ukoo wa Musa na Haruni (14-27) 
- Musa anapaswa kufika tena mbele ya Farao (28-30) 
 
-  7  - 
- Yehova anamutia Musa nguvu (1-7) 
- Fimbo ya Haruni inageuka kuwa nyoka mukubwa (8-13) 
- Pigo la 1: maji yanageuka kuwa damu (14-25) 
 
-  8  
-  9  - 
- Pigo la 5: mifugo inakufa (1-7) 
- Pigo la 6: majipu yanakuwa juu ya wanadamu na wanyama (8-12) 
- Pigo la 7: mvua ya majiwe (13-35) 
 
- 10  - 
- Pigo la 8: nzige (1-20) 
- Pigo la 9: giza (21-29) 
 
- 11  
- 12  - 
- Kuanzishwa kwa Pasaka (1-28) 
- Pigo la 10: wazaliwa wa kwanza wanauawa (29-32) 
- Israeli wanatoka Misri (33-42) 
- Maagizo juu ya kula Pasaka (43-51) 
 
- 13  - 
- Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume ni wa Yehova (1, 2) 
- Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (3-10) 
- Kila muzaliwa wa kwanza wa kiume anapaswa kutolewa kwa Mungu (11-16) 
- Israeli wanaelekezwa kwenye Bahari Nyekundu (17-20) 
- Nguzo ya wingu na ya moto (21, 22) 
 
- 14  - 
- Israeli wanafika kwenye bahari (1-4) 
- Farao anafuatilia Israeli (5-14) 
- Israeli wanavuka Bahari Nyekundu (15-25) 
- Wamisri wanazama katika bahari (26-28) 
- Israeli wanamuamini Yehova (29-31) 
 
- 15  - 
- Wimbo wa ushindi wa Musa na Israeli (1-19) 
- Miriamu anaimba kwa kuitikia wanaume (20, 21) 
- Maji machungu yanageuzwa kuwa matamu (22-27) 
 
- 16  - 
- Watu wananungunika juu ya chakula (1-3) 
- Yehova anasikia manunguniko hayo (4-12) 
- Wanapewa mana na ndege kware (13-21) 
- Hakuna mana siku ya Sabato (22-30) 
- Mana inawekwa ili kuwa kikumbusho (31-36) 
 
- 17  - 
- Malalamiko juu ya kukosa maji kule Horebu (1-4) 
- Maji yanatoka katika mwamba (5-7) 
- Waamaleki wanashambulia na kupata ushindi (8-16) 
 
- 18  
- 19  
- 20  
- 21  
- 22  
- 23  - 
- Maamuzi ya hukumu kwa ajili ya Israeli (1-19) 
- Malaika anaongoza Israeli (20-26) 
- Kukamata inchi na mipaka ya inchi hiyo (27-33) 
 
- 24  
- 25  
- 26  
- 27  
- 28  - 
- Nguo za kikuhani (1-5) 
- Efodi (6-14) 
- Kifuko cha kifua (15-30) 
- Koti yenye haina mikono (31-35) 
- Kilemba chenye bamba la zahabu (36-39) 
- Nguo zingine za kikuhani (40-43) 
 
- 29  
- 30  - 
- Mazabahu ya uvumba (1-10) 
- Kuhesabiwa kwa watu na feza za zabihu kwa ajili ya kufunika zambi (11-16) 
- Beseni ya shaba ya kunawia (17-21) 
- Muchanganyiko wa pekee wa mafuta ya kutia mafuta (22-33) 
- Vitu vya kutumia ili kutengeneza uvumba mutakatifu (34-38) 
 
- 31  - 
- Mafundi wanajazwa roho ya Mungu (1-11) 
- Sabato, alama kati ya Mungu na Israeli (12-17) 
- Mabamba mbili ya majiwe (18) 
 
- 32  
- 33  - 
- Ujumbe wa Mungu wa kukaripia Israeli (1-6) 
- Hema ya mukutano inje ya kambi (7-11) 
- Musa anaomba aone utukufu wa Yehova (12-23) 
 
- 34  - 
- Mabamba mapya ya majiwe yanatengenezwa (1-4) 
- Musa anaona utukufu wa Yehova (5-9) 
- Maagizo ya agano yanarudiliwa (10-28) 
- Uso wa Musa unatoa miali (29-35) 
 
- 35  - 
- Maagizo juu ya Sabato (1-3) 
- Michango kwa ajili ya tabenakulo (4-29) 
- Bezaleli na Oholiabu wanajazwa roho (30-35) 
 
- 36  
- 37  
- 38  
- 39  - 
- Kutengeneza nguo za kikuhani (1) 
- Efodi (2-7) 
- Kifuko cha kifua (8-21) 
- Koti yenye haina mikono (22-26) 
- Nguo zingine za kikuhani (27-29) 
- Bamba la zahabu (30, 31) 
- Musa anachunguza tabenakulo (32-43) 
 
- 40