Habari Zenye Kuwa Ndani
Mashahidi Wa Yehova
SISI NI NANI?
Somo la 1-4
Mashahidi wa Yehova wanapatikana mu inchi 240 na wanatoka mu makabila yote na desturi zote. Ni nini imewasaidia wakuwe na umoja? Mashahidi wa Yehova ni watu wa namna gani?
KAZI ZETU
Somo la 5-14
Kazi yetu ya kuhubiri inajulikana sana. Tena, tunakutana ku Majumba yetu ya Ufalme ili kujifunza Biblia na kumuabudu Mungu. Mikutano hiyo inafanywa namna gani, na ni nani anaweza kuja ku mikutano hiyo?
TENGENEZO LETU
Somo la 15-28
Ni tengenezo lenye kufanyizwa na watu kutoka mu dunia yote wenye wanamutumikia Mungu kwa kujipendea. Ni tengenezo la kidini lenye halifanye mambo ya biashara. Tengenezo hilo linapangwa na kuongozwa namna gani? Na feza za kusaidia liendelee zinatokaka wapi? Ni nini inaonyesha kama tengenezo hilo linafanya kabisa mapenzi ya Yehova leo?