Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 56-59
  • Matendo ya mubaya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Matendo ya mubaya
  • Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
Maandiko ya Kutusaidia mu Maisha ya Kikristo
scl uku. 56-59

Matendo ya Mubaya

Wakristo wanapaswa kuepuka matendo gani ya mubaya?

Maneno ya mubaya

Mt 5:22; 1Ko 6:​9, 10; Efe 4:31

Ona pia Kut 22:28; Muh 10:20; Yud 8

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • 2Sa 16:​5-8; 1Fa 2:​8, 9, 44, 46—Shimei anamutukana mufalme mutiwa-mafuta wa Yehova na anapata matokeo ya mubaya

Kupana rushwa (kata midomo) ao kuikubali

Kut 23:8; Zb 26:​9, 10; Mez 17:23

Ona pia Kum 10:17; 16:19; Zb 15:​1, 5

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 1Sa 8:​1-5—Kuliko kufuata mufano muzuri wa baba yao, watoto wa nabii Samweli wanakubali rushwa na wanapotosha haki

    • Ne 6:​10-13—Maadui wa watu wa Mungu wanamulipa Shemaya ili atoe unabii wa uongo juu ya kuogopesha Gavana Nehemia na kuzuia kazi ya Yehova isiendelee

Kujisifu

Ona “Kujisifu”

Mwenendo mupotovu wa bila haya; uchafu; uasherati; uzinifu

Ona “Uasherati”

Mashindano

Muh 4:4; Gal 5:26

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mk 9:​33-37; 10:​35-45—Mara mingi Yesu anarekebisha mitume wake juu ya mwelekeo wao wa kubishana juu ya kuwa wa kwanza

    • 3Yo 9, 10—Diotrefe anapenda kuwa “wa kwanza” kati ya ndugu

Kuleta migawanyiko; kuchochea mazehebu

Ro 16:17; Gal 5:​19, 20; Tit 3:​10, 11; 2Pe 2:1

Ona pia Mdo 20:​29, 30; 1Ko 1:​10-12; Ufu 2:​6, 15

Ulevi; kunywa kupita kiasi

Mez 20:1; 23:​20, 29-35; 1Ko 5:11; 6:​9, 10

Ona pia Efe 5:18; 1Ti 3:8; Tit 2:3; 1Pe 4:3

Ona pia “Kunywa Pombe”

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 9:​20-25—Ulevi wa Noa unafanya Hamu na mutoto wake Kanaani wafikie kufanya zambi nzito

    • Da 5:​1-6, 30—Mufalme Belshaza anakunywa divai mingi sana na anamutukana Yehova; ile inaleta matokeo ya mubaya juu yake na juu ya ufalme wake

Unyanganyi

Zb 62:10; 1Ko 5:​10, 11; 6:​9, 10

Ona pia Mez 1:19; 15:27

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Yer 22:​11-17—Yehova anamuhukumu mufalme Shalumu (Yehoahazi) juu ya unyanganyi na zambi zingine nzito

    • Lu 19:​2, 8—Zakayo, mukubwa wa wakusanya-kodi anatubu juu ya unyanganyi na anaamua kurudisha vitu vyenye amenyanganya watu

    • Mdo 24:​26, 27—Mutume Paulo anakatala kumupatia Gavana Feliksi rushwa yenye alikuwa natazamia

Kusifu-sifu watu

Yob 32:​21, 22; Zb 5:9; 12:​2, 3; Mez 26:​24-28; 29:5

Ona pia Mez 28:23; 1Te 2:​3-6

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Lu 18:​18, 19—Yesu anakatala jina ya kumusifu-sifu nayo

    • Mdo 12:​21-23—Mufalme Herode Agripa anakubali wakati watu wanamusifu-sifu kuwa yeye ni mungu; kisha anauawa juu ya ile zambi

Kula kupita kiasi

Mez 23:​20, 21; 28:7

Ona pia Lu 21:​34, 35

Porojo; kujiingiza mu maisha ya wengine

Mez 25:23; 1Te 4:11; 2Te 3:11; 1Pe 4:15

Ona pia Mez 20:19; 1Ti 5:13

Kuabudu sanamu

Ona “Kuabudu Sanamu”

Kusema Uongo; kukosa kuheshimia mapatano

Ona “Kusema Uongo”

Kusema Uongo; kusingiziana

Ona “Kusema Uongo”

Kutumia damu mubaya

Mwa 9:4; Kum 12:​16, 23; Mdo 15:​28, 29

Ona pia Law 3:17; 7:26

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • 1Sa 14:​32-34—Waisraeli wanamukosea Yehova kwa kukula nyama yenye haikutoshwa damu muzuri

Kuua mutu

Kut 20:13; Mt 15:19; 1Pe 4:15

Ona pia Mt 5:​21, 22; Mk 7:21

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 4:​4-16—Hata kama Yehova amemushauria kwa upendo, Kaini anaua ndugu yake Abeli

    • 1Fa 21:​1-26; 2Fa 9:26—Tamaa inamuchochea mufalme muovu Ahabu na Malkia Yezebeli wafanye mipango ya kumuua Naboti na watoto wake

Kunungunika

1Ko 10:10; Flp 2:14; Yud 16

Ona pia Hes 11:1

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Hes 14:​1-11, 26-30—Waisraeli wananungunikia Musa na Haruni, lakini Yehova anaona kama ni yeye njo wananungunikia

    • Yoh 6:​41-69—Wayahudi wanamunungunikia Yesu; na wamoya kati ya wanafunzi wake wanamuacha

Mizaha ao maneno machafu

Efe 5:4; Kol 3:8

Ona pia Efe 4:​29, 31

Pornografia

Ona “Pornografia”

Ugomvi

Ona “Ugomvi”

Kushushiana heshima

Mez 19:29; 24:9

Ona pia Mez 17:5; 22:10; 2Pe 3:​3, 4

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Ny 36:​15-21—Watu wa Mungu wenye kuasi wanateseka juu walishushia heshima wajumbe wake na kuzarau manabii wake

    • Yob 12:4; 17:2; 21:3; 34:7—Yobu anashushiwa heshima wakati iko napata majaribu ya nguvu

Kuiba

Ona “Kuiba”

Kupigana; jeuri

Zb 11:5; Mez 3:31; 29:22

Ona pia 1Ti 3:​2, 3; Tit 1:7

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Kut 21:​22-27—Sheria ya Musa inasema kama mutu mwenye anaumiza ao kuua mwenzake kwa jeuri anapaswa kupata azabu

Kuogopesha wengine

Efe 6:9; 1Pe 2:23

Ona pia Zb 10:​4, 7; 73:​3, 8

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Mdo 4:​15-21—Sanhedrini inaogopesha wanafunzi wa Yesu juu ya kuwafanya waache kuhubiri

Karamu za kupitisha mipaka

Ro 13:13; Gal 5:​19, 21; 1Pe 4:3

Ona pia Mez 20:1; 1Ko 10:31

  • Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:

    • Da 5:​1-4, 30—Ku “karamu kubwa” ya Mufalme Belshaza watu wanakunywa sana na wanakamata uamuzi wenye unamushushia kabisa Yehova heshima

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine