Matendo ya Mubaya
Wakristo wanapaswa kuepuka matendo gani ya mubaya?
Maneno ya mubaya
Mt 5:22; 1Ko 6:9, 10; Efe 4:31
Ona pia Kut 22:28; Muh 10:20; Yud 8
Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:
2Sa 16:5-8; 1Fa 2:8, 9, 44, 46—Shimei anamutukana mufalme mutiwa-mafuta wa Yehova na anapata matokeo ya mubaya
Kupana rushwa (kata midomo) ao kuikubali
Kut 23:8; Zb 26:9, 10; Mez 17:23
Ona pia Kum 10:17; 16:19; Zb 15:1, 5
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
1Sa 8:1-5—Kuliko kufuata mufano muzuri wa baba yao, watoto wa nabii Samweli wanakubali rushwa na wanapotosha haki
Ne 6:10-13—Maadui wa watu wa Mungu wanamulipa Shemaya ili atoe unabii wa uongo juu ya kuogopesha Gavana Nehemia na kuzuia kazi ya Yehova isiendelee
Kujisifu
Ona “Kujisifu”
Mwenendo mupotovu wa bila haya; uchafu; uasherati; uzinifu
Ona “Uasherati”
Mashindano
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mk 9:33-37; 10:35-45—Mara mingi Yesu anarekebisha mitume wake juu ya mwelekeo wao wa kubishana juu ya kuwa wa kwanza
3Yo 9, 10—Diotrefe anapenda kuwa “wa kwanza” kati ya ndugu
Kuleta migawanyiko; kuchochea mazehebu
Ulevi; kunywa kupita kiasi
Mez 20:1; 23:20, 29-35; 1Ko 5:11; 6:9, 10
Ona pia Efe 5:18; 1Ti 3:8; Tit 2:3; 1Pe 4:3
Ona pia “Kunywa Pombe”
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mwa 9:20-25—Ulevi wa Noa unafanya Hamu na mutoto wake Kanaani wafikie kufanya zambi nzito
Da 5:1-6, 30—Mufalme Belshaza anakunywa divai mingi sana na anamutukana Yehova; ile inaleta matokeo ya mubaya juu yake na juu ya ufalme wake
Unyanganyi
Zb 62:10; 1Ko 5:10, 11; 6:9, 10
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Yer 22:11-17—Yehova anamuhukumu mufalme Shalumu (Yehoahazi) juu ya unyanganyi na zambi zingine nzito
Lu 19:2, 8—Zakayo, mukubwa wa wakusanya-kodi anatubu juu ya unyanganyi na anaamua kurudisha vitu vyenye amenyanganya watu
Mdo 24:26, 27—Mutume Paulo anakatala kumupatia Gavana Feliksi rushwa yenye alikuwa natazamia
Kusifu-sifu watu
Yob 32:21, 22; Zb 5:9; 12:2, 3; Mez 26:24-28; 29:5
Ona pia Mez 28:23; 1Te 2:3-6
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Lu 18:18, 19—Yesu anakatala jina ya kumusifu-sifu nayo
Mdo 12:21-23—Mufalme Herode Agripa anakubali wakati watu wanamusifu-sifu kuwa yeye ni mungu; kisha anauawa juu ya ile zambi
Kula kupita kiasi
Ona pia Lu 21:34, 35
Porojo; kujiingiza mu maisha ya wengine
Kuabudu sanamu
Ona “Kuabudu Sanamu”
Kusema Uongo; kukosa kuheshimia mapatano
Ona “Kusema Uongo”
Kusema Uongo; kusingiziana
Ona “Kusema Uongo”
Kutumia damu mubaya
Mwa 9:4; Kum 12:16, 23; Mdo 15:28, 29
Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:
1Sa 14:32-34—Waisraeli wanamukosea Yehova kwa kukula nyama yenye haikutoshwa damu muzuri
Kuua mutu
Ona pia Mt 5:21, 22; Mk 7:21
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mwa 4:4-16—Hata kama Yehova amemushauria kwa upendo, Kaini anaua ndugu yake Abeli
1Fa 21:1-26; 2Fa 9:26—Tamaa inamuchochea mufalme muovu Ahabu na Malkia Yezebeli wafanye mipango ya kumuua Naboti na watoto wake
Kunungunika
Ona pia Hes 11:1
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Hes 14:1-11, 26-30—Waisraeli wananungunikia Musa na Haruni, lakini Yehova anaona kama ni yeye njo wananungunikia
Yoh 6:41-69—Wayahudi wanamunungunikia Yesu; na wamoya kati ya wanafunzi wake wanamuacha
Mizaha ao maneno machafu
Ona pia Efe 4:29, 31
Pornografia
Ona “Pornografia”
Ugomvi
Ona “Ugomvi”
Kushushiana heshima
Ona pia Mez 17:5; 22:10; 2Pe 3:3, 4
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
2Ny 36:15-21—Watu wa Mungu wenye kuasi wanateseka juu walishushia heshima wajumbe wake na kuzarau manabii wake
Yob 12:4; 17:2; 21:3; 34:7—Yobu anashushiwa heshima wakati iko napata majaribu ya nguvu
Kuiba
Ona “Kuiba”
Kupigana; jeuri
Ona pia 1Ti 3:2, 3; Tit 1:7
Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:
Kut 21:22-27—Sheria ya Musa inasema kama mutu mwenye anaumiza ao kuua mwenzake kwa jeuri anapaswa kupata azabu
Kuogopesha wengine
Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:
Mdo 4:15-21—Sanhedrini inaogopesha wanafunzi wa Yesu juu ya kuwafanya waache kuhubiri
Karamu za kupitisha mipaka
Ro 13:13; Gal 5:19, 21; 1Pe 4:3
Habari ya Biblia yenye inaweza kusaidia:
Da 5:1-4, 30—Ku “karamu kubwa” ya Mufalme Belshaza watu wanakunywa sana na wanakamata uamuzi wenye unamushushia kabisa Yehova heshima