JUMA TOKEA TAREHE 29 MWEZI WA 6
Wimbo 124
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura ya 6 fu. 16-23
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Walawi 14-16
Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 81
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Kwa Nini Ni jambo la Maana Kuwa Nadhifu (Safi). Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yatakayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 131-134.
Dak. 10: Chagua Habari za Biblia Zitakazosaidia “Watu wa Namna Yote.” (1 Kor. 9:22) Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Mnapozungumzia maulizo yanayofuata, wasikilizaji wanaweza kueleza mambo waliyojionea katika mahubiri. Ni habari gani mumeona kuwa zenye kuvutia watoto, vijana, wazee, ao watu wa dini mbalimbali? Namna gani tunaweza kutumia kitabu Kutoa Sababu ili kuchagua habari ambazo zitavutia watu tofauti-tofauti? Namna gani tunaweza kupatanisha habari kulingana na hali ambayo tunakutana nayo katika mahubiri?
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa 7 na Mwezi wa 8. Zungumzia vichapo vinavyotumiwa kama toleo la miezi hiyo. Fanyeni maonyesho mawili ao matatu kuhusu utoaji ambao unaweza kuwa na matokeo mazuri katika eneo lenu.
Wimbo 215