JUMA TOKEA TAREHE 31 MWEZI WA 8
Wimbo 132
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 9 fu. 13-21, kisanduku kwenye uku. 104
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Hesabu 17-21
Kujikumbusha Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 159
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kufikiri Juu ya Habari ili Kutambua Hali ya Moyoni. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yatakayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 237, fungu la 3, mpaka ukurasa wa 238, fungu la 5. Fanyeni onyesho mukitumia wazo moja ao mawazo mawili kutoka katika habari.
Dak. 20: “Mikutano kwa Ajili ya Mahubiri.” Mazungumzo ya maulizo na majibu.
Wimbo 151