Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 3/12 uku. 1
  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 12 Mwezi wa 3

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma Tokea Tarehe 12 Mwezi wa 3
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA TOKEA TAREHE 12 MWEZI WA 3
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 3/12 uku. 1

Programu ya Juma Tokea Tarehe 12 Mwezi wa 3

JUMA TOKEA TAREHE 12 MWEZI WA 3

Wimbo 40 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

bt sura ya 18 fu. 1-5, visanduku kwenye uku. 142, 144 (Dak. 25)

□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: Yeremia 5-7 (Dak. 10)

Na. 1: Yeremia 5:15-25 (Isipite dak. 4)

Na. 2: Kwa Nini Zamani Mungu Aliruhusu Ndugu na Dada Waoane?—rs uku. 230 fu. 3-4 (Dak. 5)

Na. 3: Namna Gani Yehova Analinda Watu Wake ili Wasipatwe na Hatari za Kiroho? (Dak. 5)

□ Mukutano wa Utumishi:

Wimbo 63

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Sitawisha Ufundi wa Kufundisha—Sehemu ya 2. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 57, fungu la 3, mupaka kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 59.

Dak. 10: Tumutolee Mungu Zabihu ya Sifa Sikuzote. (Ebr. 13:15) Mazungumuzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka cha 2011, ukurasa wa 59, fungu la 1-2, na ukurasa wa 71, fungu la 1. Omba wasikilizaji waseme habari hizo ziliwafundisha nini.

Dak. 10: ‘Muendelee Kufanya Hivi.’ Maulizo na majibu. Julisha kutaniko wakati na mahali ambapo mutafanyia Ukumbusho.

Wimbo 109 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine