Programu ya Juma Tokea Tarehe 12 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 12 MWEZI WA 3
Wimbo 40 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 18 fu. 1-5, visanduku kwenye uku. 142, 144 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 5-7 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 5:15-25 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Zamani Mungu Aliruhusu Ndugu na Dada Waoane?—rs uku. 230 fu. 3-4 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Yehova Analinda Watu Wake ili Wasipatwe na Hatari za Kiroho? (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 63
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Sitawisha Ufundi wa Kufundisha—Sehemu ya 2. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 57, fungu la 3, mupaka kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 59.
Dak. 10: Tumutolee Mungu Zabihu ya Sifa Sikuzote. (Ebr. 13:15) Mazungumuzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka cha 2011, ukurasa wa 59, fungu la 1-2, na ukurasa wa 71, fungu la 1. Omba wasikilizaji waseme habari hizo ziliwafundisha nini.
Dak. 10: ‘Muendelee Kufanya Hivi.’ Maulizo na majibu. Julisha kutaniko wakati na mahali ambapo mutafanyia Ukumbusho.
Wimbo 109 na Sala