Programu ya Juma Tokea Tarehe 10 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 10 MWEZI WA 9
Wimbo 23 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 26 fu. 9-15, kisanduku kwenye uku. 208 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 42-45 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 43:13-27 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sababu gani Jina Yehova Limetumiwa Katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo?—rs uku. 295 fu. 3–uku. 296 fu. 1 (Dak. 5)
Na. 3: Tunapaswa Kufanya Nini ili Kupata Roho Takatifu? (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 60
Dak. 10: Funzo la Pekee Linatufanya Kuwa Wahubiri Wenye Nguvu Kiroho. Mazungumuzo yatakayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 27-32.
Dak. 10: Silaha Yoyote Itakayofanywa juu Yako Haitafanikiwa. (Isa. 54:17) Mazungumuzo yatakayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2012, ukurasa wa 125, fungu la 2, mupaka ukurasa wa 126, fungu la 3, na ukurasa wa 181, fungu la 3. Omba wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo wanayojifunza katika habari hiyo.
Dak. 10: “Kuanzisha Mazungumuzo kwa Njia Inayoamusha Kupendezwa.” Maulizo na majibu.
Wimbo 44 na Sala