Tarehe 6-12/11
YOBU 13-14
Wimbo 151 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Kama Mutu Anakufa, je, Anaweza Kuishi Tena?”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Yob 13:12—Juu ya nini Yobu alisema kama maneno ya washauri wake wa uongo ilikuwa sawa vile “mezali za majivu”? (it-1-F uku. 412)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Yob 13:1-28 (th somo ya 12)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: Biblia—2Ti 3:16, 17. Simamisha video kila fasi kwenye inasimama, na kisha uulize wasikilizaji maulizo yenye inaonekana mu video.
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza na habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umutolee musikilizaji broshua Furahia Maisha Milele! (th somo ya 2)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff sehemu ya 1, maulizo ya kujikumbusha 1-5 (th somo ya 19)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 127
‘Uweke Kitu Fulani Pembeni’: (Dak. 15) Mazungumuzo na video. Itolewe na muzee. Upongeze ndugu na dada mu kutaniko juu wanawekaka kitu fulani pembeni ili kutegemeza kazi za Ufalme.
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) bt sura ya 1 fu. 16-21
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 76 na Sala