TAREHE 27/10–2/11
MUHUBIRI 11-12
Wimbo 155 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Endelea Kuwa na Afya ya Muzuri na Ufurahie Maisha
(Dak. 10)
Kama inawezekana, jipatie wakati ya kufurahia mwangaza ya jua na hewa ya muzuri (Muh 11:7, 8; g 3/15 uku. 13 fu. 6-7)
Hangaikia afya yako ya kiakili na ya kimwili (Muh 11:10; w23.02 uku. 21 fu. 6-7)
Zaidi ya yote, umuabudu Yehova kwa moyo wako wote (Muh 12:13; w24.09 uku. 2 fu. 2-3)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Muh 12:9, 10—Hii andiko inatufundisha nini kuhusu batu benye Mungu alitumikisha juu ya kuandika Biblia? (it-F “Inspiration” fu. 10)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Muh 12:1-14 (th somo ya 12)
4. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo ya 8 nukta ya 3)
5. Kuendelesha Mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Mu mazungumuzo yenye ilipita, mutu alikuambia kama alifisha mupendwa wake. (lmd somo ya 9 nukta ya 3)
6. Hotuba
(Dak. 5) lmd nyongeza ya A nukta ya 13—Kichwa: Mungu Anapenda Kutusaidia. (th somo ya 20)
Wimbo 111
7. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo ya 30-31