Utafute Majibu ya hii Maulizo:
1. Namna gani tunaweza ‘kusikia mambo yenye roho inasema’? (Ufu. 1:3, 10, 11; 3:19)
2. Nini njo itatusaidia tuendelee kutumika sana na kuvumilia? (Ufu. 2:4)
3. Namna gani tunaweza kujitayarisha juu ya kuvumilia upinzani kwa uhodari? (Mez. 29:25; Ufu. 2:10, 11)
4. Namna gani tunaweza kuepuka kukana imani yetu kwa Yesu? (Ufu. 2:12-16)
5. Namna gani tunaweza kuendelea kushika sana kile kyenye tuko nakyo? (Ufu. 2:24, 25; 3:1-3, 7, 8, 10, 11)
6. Nini njo itatusaidia tuendelee kuwa na bidii? (Ufu. 3:14-19; Mt. 6:25-27, 31-33)
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-brpgm26-ZS