Utafute Majibu ya hii Maulizo:
1. Yehova anatafuta batu ya namna gani? (Yoh. 4:23, 24)
2. Namna gani roho takatifu inatusaidia kumupatia Yehova yetu yote? (Mdo. 16:6-10; 1 Ko. 2:10-13; Flp. 4:8, 9)
3. Namna gani ‘tunafanya kweli ikuwe wazi’? (2 Ko. 4:1, 2)
4. Kuabudu katika kweli inatia ndani nini? (Mez. 24:3; Yoh. 18:36, 37; Efe. 5:33; Ebr. 13:5, 6, 18)
5. Tunaweza kufanya nini juu ‘tununue kweli na tusiiuzishe hata kidogo’? (Mez. 23:23)
© 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
CA-copgm26-ZS