Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp18 na. 3 uku. 16
  • Mungu Anajisikia Namna Gani Juu ya Mateso Yako?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mungu Anajisikia Namna Gani Juu ya Mateso Yako?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • ONA MAMBO YENYE BIBLIA INASEMA
  • Biblia Inasema Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
  • ‘Anakuhangaikia’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2019
  • Unaweza Kuwa Karibu na Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2019
  • Biblia Inasema Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2017
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2018
wp18 na. 3 uku. 16
Watu wako nafasi kwenye kuliunguzwa na moto

Mungu anajisikia namna gani juu ya mateso yako?

Watu fulani wanaamini kama Mungu haone mateso wala haangaike wakati watu wanateseka.

ONA MAMBO YENYE BIBLIA INASEMA

  • Mungu anaona mateso yenye unapata na anakuhangaikia

    “Yehova akaona kwamba uovu wa mwanadamu ulikuwa mwingi juu ya dunia . . . , na moyo wake ukahuzunika.”​—Mwanzo 6:5, 6.

  • Mungu atamaliza mateso yote

    “Kunabakia wakati kidogo tu, waovu hawatakuwa tena; utaangalia mahali walikuwa, nao hawatakuwa pale. Lakini wapole watariti dunia, na watapata furaha nyingi sana katika wingi wa amani.”​—Zaburi 37:10, 11.

  • Mambo yenye Mungu anapenda kwa ajili yako

    “‘Kwa maana ninajua muzuri mawazo yenye ninafikiria kuwaelekea ninyi,’ ni vile Yehova anasema, ‘mawazo ya amani, na hapana ya musiba, ili kuwapatia ninyi wakati wenye kuja wa muzuri na tumaini. Na mutaniita na kuja na kusali kwangu, na nitawasikiliza.’”​—Yeremia 29:11, 12.

    “Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia ninyi.”​—Yakobo 4:8.

Ili kupata habari zaidi kuhusu sababu zenye zinafanya Mungu aache batu bateseke, ona somo ya 26 ya hii kitabu, yenye kuchapishwa na Mashahidi wa Yehova na yenye kupatikana ku www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine