‘Anakuhangaikia’
Hata kama watu wengine wanaweza kukuvunja moyo, kuko Mutu fulani mwenye hawezi kukuacha hata kidogo. Mutu huyo ni nani?
Mufalme Daudi mwenye aliishi zamani alisema hivi: “Hata kama baba yangu na mama yangu wananiacha, Yehova mwenyewe atanikaribisha.”—Zaburi 27:10.
Yehova ni “Baba wa rehema nyingi na Mungu wa faraja yote, mwenye anatufariji katika majaribu yetu yote.”—2 Wakorinto 1:3, 4.
“Mumutupie mahangaiko yenu yote, kwa sababu yeye anawahangaikia ninyi.”—1 Petro 5:7.
Ili kujua namna Mungu anapenda kukusaidia, ona somo ya 8 ya kitabu Furahia Maisha Milele! chenye kuchapishwa na Mashahidi wa Yehova. Kinapatikana pia ku www.jw.org