Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuhubiri Kupitia Telefone Yenye Kuwekwa Kwenye Mulango
Sababu Gani ni Lazima Kufanya Hivyo: Kuhubiri kupitia telefone yenye kuwekwa kwenye mulango kunaweza kuogopesha. Namna gani tunaweza kuepuka woga huo utuzuie kuwa na bidii kwa ajili ya kazi njema? Tusisahau kwamba ili kuwahubiria watu fulani habari njema, njia pekee ya kutumia inaweza kuwa telefone yenye kuwekwa kwenye mulango. (Rom. 10:14) Wahubiri fulani wamepata matokeo mazuri kwa kutumia njia hiyo. (Soma Kitabu cha Mwaka cha 2011, uku. 65-66, na Kitabu cha Mwaka cha 2000, uku. 54, fu. 3.) Tuchunguze mapendekezo yenye kufuata.
Tumikisha Shauri Hili Katika Mwezi:
Mufanye mazoezi wakati wa ibada yenu ya familia na watu wenye kufanya mazoezi hayo wazungumuze bila kuangaliana.