UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 38-44
Yehova Anategemeza Wagonjwa
Watumishi waaminifu wa Yehova wanaweza kuwa hakika kama Yehova atawategemeza wakati wa magumu
Daudi aligonjwa sana
Daudi alihangaikia watu wa hali ya chini
Daudi hakufikiri kama ataponyeshwa kwa njia ya muujiza, lakini alimutegemea Yehova ili amutie moyo, amupatie hekima, na amutegemeze
Yehova alimuona Daudi kuwa mwanaume muaminifu