Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Samweli

      • Tena Daudi hamuue Sauli (1-25)

        • Daudi anamuheshimia mutiwa-mafuta wa Yehova (11)

1 Samweli 26:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “jangwa; nyika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:20, 55
  • +Amu 19:14; 1 Sa. 10:26
  • +1 Sa. 23:14, 19, 24; Zab 54:utangulizi

1 Samweli 26:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:2

1 Samweli 26:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:50; 17:55; 2 Sa. 2:8; 3:27

1 Samweli 26:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:15
  • +2 Sa. 16:9; 18:5; 23:18
  • +2 Sa. 2:18; 1Nya 2:15, 16

1 Samweli 26:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:4; 26:23

1 Samweli 26:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 10:1
  • +1 Sa. 24:6; 2 Sa. 1:14; 1Nya 16:22; Zab 20:6

1 Samweli 26:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:35; 1 Sa. 24:12; 25:38; Zab 94:1, 23
  • +Zab 37:12, 13
  • +1 Sa. 31:3, 6

1 Samweli 26:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:18; 1 Sa. 24:6; 1Nya 16:22; Zab 105:15

1 Samweli 26:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:4

1 Samweli 26:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:50; 17:55; 2 Sa. 2:8; 3:8

1 Samweli 26:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 26:8

1 Samweli 26:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 9:16, 17; 10:1
  • +1 Sa. 26:11

1 Samweli 26:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:8, 16

1 Samweli 26:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 35:7
  • +1 Sa. 24:9, 11

1 Samweli 26:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anuse.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:9
  • +Kut 19:5; Kum 26:18

1 Samweli 26:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Kiroboto ni kidudu kidogo chenye kuruka ambacho kinaishi katika mavumbi na kwenye wanyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:14

1 Samweli 26:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:17
  • +1 Sa. 24:10; 26:11

1 Samweli 26:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 7:8; 18:20
  • +1 Sa. 24:6; 26:9

1 Samweli 26:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako.”

  • *

    Ao “nafsi yangu ikuwe pia yenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:19

1 Samweli 26:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 24:19
  • +1 Sa. 24:22; 27:4

Maandiko ingine

1 Sam. 26:1Yosh. 15:20, 55
1 Sam. 26:1Amu 19:14; 1 Sa. 10:26
1 Sam. 26:11 Sa. 23:14, 19, 24; Zab 54:utangulizi
1 Sam. 26:21 Sa. 24:2
1 Sam. 26:51 Sa. 14:50; 17:55; 2 Sa. 2:8; 3:27
1 Sam. 26:6Mwa 10:15
1 Sam. 26:62 Sa. 16:9; 18:5; 23:18
1 Sam. 26:62 Sa. 2:18; 1Nya 2:15, 16
1 Sam. 26:81 Sa. 24:4; 26:23
1 Sam. 26:91 Sa. 10:1
1 Sam. 26:91 Sa. 24:6; 2 Sa. 1:14; 1Nya 16:22; Zab 20:6
1 Sam. 26:10Kum 32:35; 1 Sa. 24:12; 25:38; Zab 94:1, 23
1 Sam. 26:10Zab 37:12, 13
1 Sam. 26:101 Sa. 31:3, 6
1 Sam. 26:11Law. 19:18; 1 Sa. 24:6; 1Nya 16:22; Zab 105:15
1 Sam. 26:121 Sa. 24:4
1 Sam. 26:141 Sa. 14:50; 17:55; 2 Sa. 2:8; 3:8
1 Sam. 26:151 Sa. 26:8
1 Sam. 26:161 Sa. 9:16, 17; 10:1
1 Sam. 26:161 Sa. 26:11
1 Sam. 26:171 Sa. 24:8, 16
1 Sam. 26:18Zab 35:7
1 Sam. 26:181 Sa. 24:9, 11
1 Sam. 26:191 Sa. 24:9
1 Sam. 26:19Kut 19:5; Kum 26:18
1 Sam. 26:201 Sa. 24:14
1 Sam. 26:211 Sa. 24:17
1 Sam. 26:211 Sa. 24:10; 26:11
1 Sam. 26:23Zab 7:8; 18:20
1 Sam. 26:231 Sa. 24:6; 26:9
1 Sam. 26:24Zab 34:19
1 Sam. 26:251 Sa. 24:19
1 Sam. 26:251 Sa. 24:22; 27:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Samweli 26:1-25

Cha Kwanza cha Samweli

26 Kisha wakati fulani watu wa Zifu+ wakakuja kwa Sauli kule Gibea,+ na kusema: “Je, Daudi hajifiche kwenye kilima cha Hakila chenye kinaangaliana na Yeshimoni?”*+ 2 Kwa hiyo Sauli akasimama na kushuka kuenda katika jangwa la Zifu akiwa na watu elfu tatu (3 000) wenye walichaguliwa wa Israeli ili kumutafuta Daudi katika jangwa la Zifu.+ 3 Sauli akapiga kambi kwenye kilima cha Hakila, chenye kinaangaliana na Yeshimoni, karibu na barabara. Wakati huo Daudi alikuwa anaishi katika jangwa, na akapata habari kwamba Sauli alikuwa amekuja katika jangwa ili kumufuatilia. 4 Kwa hiyo Daudi akatuma wapelelezi ili wachunguze ikiwa kwa kweli Sauli alikuwa amekuja. 5 Kisha wakati fulani Daudi akaenda mahali kwenye Sauli alikuwa amepiga kambi, na Daudi akaona mahali kwenye Sauli na Abneri+ mwana wa Neri, mukubwa wa jeshi lake, walikuwa wamelala; Sauli alikuwa amelala katika kiwanja cha kambi akiwa amezungukwa na maaskari pande zote. 6 Kisha Daudi akamuambia Ahimeleki Muhiti+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atashuka pamoja na mimi kuenda kwa Sauli katika kambi?” Abishai akajibu: “Mimi nitashuka pamoja na wewe.” 7 Kwa hiyo Daudi na Abishai wakaenda usiku kwenye maaskari walikuwa, na wakamukuta Sauli amelala katika kiwanja cha kambi mukuki wake ukiwa umeshimikwa katika udongo karibu na kichwa chake; Abneri na maaskari walikuwa wamelala kumuzunguka Sauli pande zote.

8 Basi Abishai akamuambia Daudi: “Leo Mungu amemutia adui yako katika mukono wako.+ Na sasa tafazali, acha nimupigilie kwenye udongo kwa mukuki mara moja tu, na sitahitaji kufanya vile mara mbili.” 9 Lakini, Daudi akamuambia Abishai: “Usimufanye mubaya, kwa maana ni nani anaweza kuinua mukono wake juu ya mutiwa-mafuta wa Yehova+ na abakie bila hatia?”+ 10 Daudi akaendelea kusema: “Kama vile hakika Yehova anaishi, Yehova mwenyewe atamupiga na kumuua,+ ao siku yake itafika+ naye atakufa, ao atashuka kuenda katika vita na kuuawa.+ 11 Ni jambo lenye haliwezi kuwaziwa kwa maoni ya Yehova kwamba niinue mukono wangu juu ya mutiwa-mafuta wa Yehova!+ Sasa kamata, tafazali, huo mukuki wenye kuwa karibu na kichwa chake na huo mutungi mudogo wa maji, na tuende zetu.” 12 Kwa hiyo Daudi akakamata mukuki na huo mutungi mudogo wa maji karibu na kichwa cha Sauli, na wakaenda zao. Hakuna mutu mwenye aliona+ wala kuwavumbua wala kuamuka, kwa maana wote walikuwa wamelala, kwa sababu usingizi muzito kutoka kwa Yehova ulikuwa umeanguka juu yao. 13 Kisha Daudi akavuka kuenda upande mwingine na akasimama kwenye kichwa cha mulima wenye ulikuwa umbali fulani, nafasi yenye ilikuwa kati yao ilikuwa kubwa.

14 Daudi akaita kwa sauti kubwa maaskari hao na Abneri+ mwana wa Neri, na kusema: “Abneri, hautajibu?” Abneri akajibu: “Wewe ni nani mwenye unamuita mufalme?” 15 Daudi akamuambia Abneri: “Je, wewe hauko mwanaume? Na ni nani mwenye kuwa kama wewe katika Israeli? Sababu gani basi haukumulinda bwana wako mufalme? Kwa sababu mumoja wa maaskari aliingia ili kumuua bwana wako mufalme.+ 16 Jambo lenye ulifanya haliko muzuri. Kama vile hakika Yehova anaishi, munastahili kufa, kwa sababu hamukumulinda bwana wenu, mutiwa-mafuta wa Yehova.+ Sasa angalia pembeni yako! Uko wapi mukuki wa mufalme na mutungi mudogo+ wa maji wenye ulikuwa karibu na kichwa chake?”

17 Basi Sauli akatambua sauti ya Daudi na akasema: “Je, hiyo ni sauti yako mwana wangu Daudi?”+ Daudi akajibu: “Ni sauti yangu, bwana wangu mufalme.” 18 Akaongeza: “Sababu gani bwana wangu anamufuatilia mutumishi wake,+ kwa maana nimefanya nini, na niko na hatia ya kosa gani?+ 19 Bwana wangu mufalme, tafazali, asikilize maneno ya mutumishi wake: Kama Yehova ndiye alikuchochea juu yangu, acha akubali* toleo langu la nafaka. Lakini kama wanadamu ndio wamekuchochea,+ wamelaaniwa mbele ya Yehova, kwa sababu leo wamenifukuza ili nisiungane na uriti wa Yehova,+ wakisema, ‘Uende, utumikie miungu mingine!’ 20 Na sasa usiache damu yangu imwangike kwenye udongo mbali na uso wa Yehova, kwa maana mufalme wa Israeli ametoka kuenda kutafuta kiroboto* mumoja,+ kama vile alikuwa anawinda kwale kwenye milima.”

21 Basi Sauli akasema: “Nimetenda zambi.+ Rudia, mwana wangu Daudi, kwa maana sitakufanya mubaya tena, kwa sababu uliona uzima wangu* kuwa wenye samani+ leo hii. Ndiyo, nimetenda kwa upumbavu, na nimekosea sana.” 22 Daudi akajibu: “Mukuki wa mufalme ndio huu. Acha mumoja wa vijana wako akuje kuukamata. 23 Yehova ndiye atalipa kila mutu kulingana na haki yake mwenyewe+ na uaminifu wake mwenyewe, kwa maana leo Yehova alikutia katika mukono wangu, lakini sikutaka kuinua mukono wangu juu ya mutiwa-mafuta wa Yehova.+ 24 Angalia! Kama vile uzima wako* ulikuwa wenye samani kwangu leo hii, uzima wangu ukuwe pia wenye* samani mbele ya macho ya Yehova, na aniokoe katika taabu yote.”+ 25 Sauli akamujibu Daudi: “Ubarikiwe, mwana wangu Daudi. Hakika utatenda mambo makubwa, na hakika utashinda.”+ Kisha Daudi akaenda zake, na Sauli akarudia kwake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine