Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 30
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Hezekia anafanya Pasaka (1-27)

2 Mambo ya Nyakati 30:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:14, 16
  • +2Nya 34:1, 6, 7
  • +Kut 12:43; Law. 23:5; Kum 16:2; 2Nya 35:1

2 Mambo ya Nyakati 30:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 9:10, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 83

2 Mambo ya Nyakati 30:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:18
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 18:29
  • +2Nya 35:18

2 Mambo ya Nyakati 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakimbiaji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:29; 1Nya 5:26; 2Nya 28:20, 21

2 Mambo ya Nyakati 30:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 29:8, 9

2 Mambo ya Nyakati 30:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 32:9
  • +Kum 12:5, 6; Zab 132:13
  • +2Nya 29:10

2 Mambo ya Nyakati 30:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye neema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:49, 50
  • +Kum 30:1-3
  • +Kut 34:6; Zab 86:5; Mik 7:18
  • +2Nya 15:2; Isa 55:7; Yak 4:8

2 Mambo ya Nyakati 30:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakimbiaji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:1
  • +2Nya 36:15, 16

2 Mambo ya Nyakati 30:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:14, 16

2 Mambo ya Nyakati 30:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ili kuwapatia moyo mumoja.”

2 Mambo ya Nyakati 30:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:6
  • +Hes 9:10, 11

2 Mambo ya Nyakati 30:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:22
  • +2Nya 28:24

2 Mambo ya Nyakati 30:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Kunyunyiza ni kumwanga kidogo-kidogo kitu cha majimaji ao ungaunga.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:5

2 Mambo ya Nyakati 30:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:1
  • +Zab 86:5

2 Mambo ya Nyakati 30:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 19:2, 3; Ezr 7:10
  • +Hes 9:6, 10

2 Mambo ya Nyakati 30:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akaponyesha.”

2 Mambo ya Nyakati 30:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:6
  • +Kum 12:5, 7; Ne 8:10
  • +2Nya 29:25

2 Mambo ya Nyakati 30:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akasema na moyo wao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:6
  • +Law. 3:1

2 Mambo ya Nyakati 30:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:65

2 Mambo ya Nyakati 30:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 35:7, 8
  • +2Nya 29:34

2 Mambo ya Nyakati 30:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 30:11, 18
  • +Kut 12:49

2 Mambo ya Nyakati 30:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:65, 66

2 Mambo ya Nyakati 30:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 6:23-26; Kum 10:8

Maandiko ingine

2 Nya. 30:12Nya 11:14, 16
2 Nya. 30:12Nya 34:1, 6, 7
2 Nya. 30:1Kut 12:43; Law. 23:5; Kum 16:2; 2Nya 35:1
2 Nya. 30:2Hes 9:10, 11
2 Nya. 30:3Kut 12:18
2 Nya. 30:32Nya 29:34
2 Nya. 30:5Amu 18:29
2 Nya. 30:52Nya 35:18
2 Nya. 30:62 Fal. 15:29; 1Nya 5:26; 2Nya 28:20, 21
2 Nya. 30:72Nya 29:8, 9
2 Nya. 30:8Kut 32:9
2 Nya. 30:8Kum 12:5, 6; Zab 132:13
2 Nya. 30:82Nya 29:10
2 Nya. 30:91 Fal. 8:49, 50
2 Nya. 30:9Kum 30:1-3
2 Nya. 30:9Kut 34:6; Zab 86:5; Mik 7:18
2 Nya. 30:92Nya 15:2; Isa 55:7; Yak 4:8
2 Nya. 30:102Nya 30:1
2 Nya. 30:102Nya 36:15, 16
2 Nya. 30:112Nya 11:14, 16
2 Nya. 30:13Law. 23:6
2 Nya. 30:13Hes 9:10, 11
2 Nya. 30:142 Fal. 18:22
2 Nya. 30:142Nya 28:24
2 Nya. 30:16Law. 1:5
2 Nya. 30:172Nya 29:34
2 Nya. 30:182Nya 30:1
2 Nya. 30:18Zab 86:5
2 Nya. 30:192Nya 19:2, 3; Ezr 7:10
2 Nya. 30:19Hes 9:6, 10
2 Nya. 30:21Law. 23:6
2 Nya. 30:21Kum 12:5, 7; Ne 8:10
2 Nya. 30:212Nya 29:25
2 Nya. 30:22Law. 23:6
2 Nya. 30:22Law. 3:1
2 Nya. 30:231 Fal. 8:65
2 Nya. 30:242Nya 35:7, 8
2 Nya. 30:242Nya 29:34
2 Nya. 30:252Nya 30:11, 18
2 Nya. 30:25Kut 12:49
2 Nya. 30:261 Fal. 8:65, 66
2 Nya. 30:27Hes 6:23-26; Kum 10:8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 30:1-27

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

30 Hezekia akatumia Israeli wote+ na Yuda ujumbe, na hata aliandikia Efraimu na Manase barua,+ ili wakuje kwenye nyumba ya Yehova katika Yerusalemu kusudi wafanye Pasaka ya Yehova Mungu wa Israeli.+ 2 Hata hivyo, mufalme, wakubwa wake, na kutaniko lote katika Yerusalemu wakaamua kufanya Pasaka katika mwezi wa pili,+ 3 kwa maana hawakuweza kuifanya wakati wenye ilikuwa inafanywa kwa ukawaida,+ kwa sababu hakukuwa makuhani wa kuenea wenye walikuwa wamejitakasa+ na watu hawakukuwa wamekusanyika katika Yerusalemu. 4 Mupango huo ulionekana kuwa muzuri mbele ya macho ya mufalme na kutaniko lote. 5 Basi wakaamua kutangaza katika Israeli yote, kuanzia Beer-sheba mupaka Dani,+ kwamba watu wakuje na kufanya Pasaka kwa ajili ya Yehova Mungu wa Israeli kule Yerusalemu, kwa maana wakiwa kikundi hawakukuwa wameifanya kulingana na mambo yenye yameandikwa.+

6 Kisha wajumbe* wakaenda katika Israeli yote na Yuda wakiwa na barua hizo kutoka kwa mufalme na wakubwa wake, kama vile mufalme alikuwa ameamuru, kwa kusema: “Watu wa Israeli, mumurudilie Yehova Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Israeli, ili naye arudilie mabaki wenye waliponyoka kutoka katika mukono wa wafalme wa Ashuru.+ 7 Musikuwe kama mababu zenu na kama ndugu zenu wenye walitenda kwa kukosa uaminifu kumuelekea Yehova Mungu wa mababu zao, na hivyo akawafanya kuwa kitu cha kuogopesha, kama vile munaona.+ 8 Sasa musikuwe kichwa-nguvu kama mababu zenu.+ Mujinyenyekeze mbele ya Yehova na mukuje patakatifu pake+ penye ametakasa milele na mumutumikie Yehova Mungu wenu, ili kasirani yake yenye kuwaka igeuke kutoka kwenu.+ 9 Kwa maana wakati mutamurudilia Yehova, ndugu zenu na wana wenu wataonyeshwa rehema na wale wenye waliwakamata,+ na wataruhusiwa kurudia katika inchi hii,+ kwa maana Yehova Mungu wenu ni mwenye huruma* na rehema,+ na hatageuza uso wake kutoka kwenu kama munarudia kwake.”+

10 Kwa hiyo wajumbe* hao walienda muji kwa muji katika inchi yote ya Efraimu na Manase,+ hata kule Zabuloni, lakini watu walikuwa wanawafanyia muzaha na kuwachekelea.+ 11 Hata hivyo, watu fulani kutoka Asheri, Manase, na Zabuloni walijinyenyekeza na wakakuja Yerusalemu.+ 12 Mukono wa Mungu wa kweli ulikuwa pia katika Yuda ili kuwaunganisha* watimize mambo yenye mufalme na wakubwa walikuwa wameamuru kwa neno la Yehova.

13 Watu wengi walikusanyika pamoja kule Yerusalemu ili kufanya Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu+ katika mwezi wa pili;+ lilikuwa kutaniko kubwa sana. 14 Wakasimama na kuondoa mazabahu zenye zilikuwa katika Yerusalemu,+ na wakaondoa mazabahu zote za uvumba+ na kuzitupa katika Bonde la Kidroni. 15 Kisha wakachinja zabihu ya Pasaka katika siku ya kumi na ine (14) ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi wakasikia haya, basi wakajitakasa na kuleta matoleo ya kuteketezwa kwenye nyumba ya Yehova. 16 Walisimama kwenye nafasi zao za kawaida, kulingana na Sheria ya Musa mutu wa Mungu wa kweli; kisha makuhani wakanyunyiza* damu+ yenye ilipokewa kutoka katika mukono wa Walawi. 17 Kulikuwa watu wengi katika kutaniko hilo wenye hawakukuwa wamejitakasa, na Walawi ndio walipaswa kuchinja zabihu za Pasaka kwa ajili ya wale wote wenye hawakukuwa safi,+ ili kuwatakasa kwa Yehova. 18 Kwa maana hesabu kubwa ya watu, zaidi sana wale wa kutoka Efraimu, Manase,+ Isakari, na Zabuloni, hawakukuwa wamejitakasa, lakini bado walikula Pasaka, tofauti na mambo yenye yameandikwa. Lakini Hezekia akasali kwa ajili yao, na kusema: “Yehova, mwenye ni mwema,+ akubali 19 kila mutu mwenye ametayarisha moyo wake ili kumutafuta Mungu wa kweli,+ Yehova, Mungu wa mababu zake, hata kama hakutakaswa kulingana na kanuni ya utakatifu.”+ 20 Na Yehova akamusikiliza Hezekia na akasamehe* watu.

21 Basi Waisraeli wenye walikuwa Yerusalemu wakafanya Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu+ kwa siku saba (7) kwa furaha kubwa,+ na Walawi na makuhani walikuwa wanamusifu Yehova siku kwa siku, wakimupigia Yehova vyombo vyao kwa sauti kubwa.+ 22 Zaidi ya hayo, Hezekia akasema na Walawi wote wenye walikuwa wanamutumikia Yehova kwa busara na akawatia moyo.* Na wakakula katika sikukuu hiyo yote kwa siku saba (7),+ wakitoa zabihu za ushirika+ na kumushukuru Yehova Mungu wa mababu zao.

23 Kisha kutaniko lote likaamua kuifanya kwa siku zingine saba (7), basi wakaifanya kwa furaha kwa siku zingine saba.+ 24 Na Mufalme Hezekia wa Yuda alitoa kwa ajili ya kutaniko muchango wa ngombe-dume elfu moja (1 000) na kondoo elfu saba (7 000), na wakubwa walitoa kwa ajili ya kutaniko muchango wa ngombe-dume elfu moja na kondoo elfu kumi (10 000);+ na hesabu kubwa ya makuhani walikuwa wanajitakasa.+ 25 Na kutaniko lote la Yuda, makuhani, Walawi, kutaniko lote lenye lilitoka Israeli,+ na wakaaji wageni+ wenye walitoka katika inchi ya Israeli na wale wenye waliishi katika Yuda wakaendelea kufurahi. 26 Na kulikuwa furaha kubwa katika Yerusalemu, kwa maana tangu siku za Sulemani mwana wa Daudi mufalme wa Israeli, jambo kama hilo halikukuwa limetendeka katika Yerusalemu.+ 27 Mwishowe makuhani Walawi wakasimama na kubariki watu;+ na Mungu akasikia sauti yao, na sala yao ikafika katika makao yake matakatifu, mbinguni.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine