Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 27
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Yotamu, mufalme wa Yuda (1-9)

2 Mambo ya Nyakati 27:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:1; Ho 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
  • +2 Fal. 15:33

2 Mambo ya Nyakati 27:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:34, 35; 2Nya 26:3, 4
  • +2Nya 26:16-18

2 Mambo ya Nyakati 27:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 26:10
  • +2Nya 33:1, 14; Ne 3:26

2 Mambo ya Nyakati 27:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:5; 14:2, 7
  • +Yosh. 14:12, 13
  • +2Nya 17:12
  • +2 Fal. 9:17; 2Nya 26:9, 10

2 Mambo ya Nyakati 27:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa sawa na kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Kori moja ilikuwa sawa na litre 220 (vibaba 200). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:4; 2 Sa. 10:6; 2Nya 20:1; Yer 49:1
  • +2Nya 26:8

2 Mambo ya Nyakati 27:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “alitayarisha.”

2 Mambo ya Nyakati 27:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:36

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2009, uku. 32

2 Mambo ya Nyakati 27:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:33

2 Mambo ya Nyakati 27:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:9
  • +2 Fal. 15:38

Maandiko ingine

2 Nya. 27:1Isa 1:1; Ho 1:1; Mik 1:1; Mt 1:9
2 Nya. 27:12 Fal. 15:33
2 Nya. 27:22 Fal. 15:34, 35; 2Nya 26:3, 4
2 Nya. 27:22Nya 26:16-18
2 Nya. 27:3Yer 26:10
2 Nya. 27:32Nya 33:1, 14; Ne 3:26
2 Nya. 27:42Nya 11:5; 14:2, 7
2 Nya. 27:4Yosh. 14:12, 13
2 Nya. 27:42Nya 17:12
2 Nya. 27:42 Fal. 9:17; 2Nya 26:9, 10
2 Nya. 27:5Amu 11:4; 2 Sa. 10:6; 2Nya 20:1; Yer 49:1
2 Nya. 27:52Nya 26:8
2 Nya. 27:72 Fal. 15:36
2 Nya. 27:82 Fal. 15:33
2 Nya. 27:92 Sa. 5:9
2 Nya. 27:92 Fal. 15:38
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 27:1-9

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

27 Yotamu+ alikuwa na miaka makumi mbili na tano (25) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yerusha binti ya Sadoki.+ 2 Aliendelea kufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova, kama vile Uzia baba yake alikuwa amefanya,+ isipokuwa tu hakuingia kwa nguvu katika hekalu la Yehova.+ Lakini watu walikuwa wangali wanatenda kwa uharibifu. 3 Alijenga mulango mukubwa wa juu wa nyumba ya Yehova,+ na alifanya kazi kubwa ya ujenzi kwenye ukuta wa Ofeli.+ 4 Alijenga pia miji+ katika eneo lenye milima la Yuda,+ na alijenga ngome+ na minara+ katika maeneo yenye miti. 5 Alipigana vita na mufalme wa Waamoni+ na mwishowe akawashinda, na hivyo Waamoni wakamupatia katika mwaka huo talanta* mia moja (100) za feza, kori* elfu kumi (10 000) za ngano, na elfu kumi za shayiri. Waamoni walimulipa pia vitu hivyo katika mwaka wa pili na wa tatu (3).+ 6 Basi Yotamu akaendelea kupata nguvu, kwa maana alifanya imara* njia zake mbele ya Yehova Mungu wake.

7 Na mambo mengine ya historia ya Yotamu, vita zake zote na njia zake, yameandikwa katika Kitabu cha Wafalme wa Israeli na wa Yuda.+ 8 Alikuwa na miaka makumi mbili na tano (25) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu.+ 9 Kisha Yotamu akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake, na wakamuzika katika Muji wa Daudi.+ Na Ahazi mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine