Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kutamani wokovu wa Yehova

        • ‘Mpaka lini, Ee Yehova?’ (1, 2)

        • Yehova huthawabisha kwelikweli (6)

Zaburi 13:1

Marejeo

  • +Ayu 13:24; Zb 6:3; 22:2

Zaburi 13:2

Marejeo

  • +Zb 22:7, 8

Zaburi 13:4

Marejeo

  • +Zb 25:2; 35:19

Zaburi 13:5

Marejeo

  • +Zb 52:8; 147:11; 1Pe 5:6, 7
  • +1Sa 2:1

Zaburi 13:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ameshughulika nami kwa njia inayothawabisha.”

Marejeo

  • +Zb 116:7; 119:17

Jumla

Zab. 13:1Ayu 13:24; Zb 6:3; 22:2
Zab. 13:2Zb 22:7, 8
Zab. 13:4Zb 25:2; 35:19
Zab. 13:5Zb 52:8; 147:11; 1Pe 5:6, 7
Zab. 13:51Sa 2:1
Zab. 13:6Zb 116:7; 119:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 13:1-6

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi.

13 Ee Yehova, utanisahau mpaka lini? Milele?

Utanificha uso wako mpaka lini?+

 2 Nitahangaika kwa wasiwasi mpaka lini,

Nikiwa na huzuni moyoni mwangu kila siku?

Adui yangu atanishinda mpaka lini?+

 3 Nitazame na unijibu, Ee Yehova Mungu wangu.

Yatie nuru macho yangu, ili nisilale usingizi katika kifo,

 4 Ili adui yangu asiseme: “Nimemshinda!”

Usiruhusu wapinzani wangu washangilie kuanguka kwangu.+

 5 Lakini mimi, ninautumaini upendo wako mshikamanifu;+

Moyo wangu utashangilia kwa sababu ya matendo yako ya wokovu.+

 6 Nitamwimbia Yehova, kwa maana amenithawabisha kwelikweli.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki