Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kutembea katika utimilifu

        • “Nichunguze, Ee Yehova” (2)

        • Kuepuka marafiki wabaya (4, 5)

        • ‘Nitapiga mwendo kuzunguka madhabahu ya Mungu’ (6)

Zaburi 26:1

Marejeo

  • +2Fa 20:3
  • +Zb 21:7

Zaburi 26:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hisia zangu za ndani kabisa.” Tnn., “figo zangu.”

Marejeo

  • +Zb 17:3; 66:10

Zaburi 26:3

Marejeo

  • +Zb 43:3; 86:11

Zaburi 26:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Siketi.”

  • *

    Au “sichangamani na wanafiki.”

Marejeo

  • +Yer 15:17

Zaburi 26:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuketi.”

Marejeo

  • +Zb 139:21
  • +Zb 1:1

Zaburi 26:7

Marejeo

  • +Zb 50:23; 95:2

Zaburi 26:8

Marejeo

  • +1Sa 3:3; 1Nya 16:1; Zb 27:4
  • +Zb 63:2

Zaburi 26:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Usiifagilie mbali nafsi yangu.”

  • *

    Au “watu wanaomwaga damu.”

Marejeo

  • +1Sa 25:29

Zaburi 26:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwenendo wa.”

Zaburi 26:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nikomboe.”

Zaburi 26:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “makusanyiko.”

Marejeo

  • +1Sa 2:9; Met 10:9
  • +Zb 111:1

Jumla

Zab. 26:12Fa 20:3
Zab. 26:1Zb 21:7
Zab. 26:2Zb 17:3; 66:10
Zab. 26:3Zb 43:3; 86:11
Zab. 26:4Yer 15:17
Zab. 26:5Zb 139:21
Zab. 26:5Zb 1:1
Zab. 26:7Zb 50:23; 95:2
Zab. 26:81Sa 3:3; 1Nya 16:1; Zb 27:4
Zab. 26:8Zb 63:2
Zab. 26:91Sa 25:29
Zab. 26:121Sa 2:9; Met 10:9
Zab. 26:12Zb 111:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 26:1-12

Zaburi

Wa Daudi.

26 Unihukumu, Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu;+

Nimemtumaini Yehova bila kuyumbayumba.+

 2 Nichunguze, Ee Yehova, na unijaribu;

Safisha mawazo yangu ya ndani kabisa* na pia moyo wangu.+

 3 Kwa maana upendo wako mshikamanifu uko mbele yangu daima,

Nami ninatembea katika kweli yako.+

 4 Sishirikiani* na watu wadanganyifu,+

Nami huwaepuka wale wanaoficha jinsi walivyo.*

 5 Ninachukia kundi la waovu,+

Nami ninakataa kushirikiana* na waovu.+

 6 Nitanawa mikono yangu katika ukosefu wa hatia,

Nami nitapiga mwendo kuzunguka madhabahu yako, Ee Yehova,

 7 Ili niifanye sauti ya utoaji shukrani isikike+

Na kutangaza kazi zako zote zinazostaajabisha.

 8 Yehova, ninaipenda nyumba ambamo unakaa,+

Mahali ambapo utukufu wako hukaa.+

 9 Usinifagilie mbali* pamoja na watenda dhambi+

Wala kuniua pamoja na watu wakatili,*

10 Ambao mikono yao hutenda matendo ya* aibu,

Na ambao mkono wao wa kulia umejaa rushwa.

11 Lakini mimi, nitatembea katika utimilifu wangu.

Niokoe* na kunionyesha kibali.

12 Mguu wangu umesimama mahali tambarare;+

Katika kutaniko kubwa,* nitamsifu Yehova.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki