Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 90
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu wa milele na mwanadamu anayeishi kwa muda mfupi

        • Miaka elfu moja ni kama jana (4)

        • Mwanadamu anaishi miaka 70-80 (10)

        • “Tufundishe jinsi ya kuhesabu siku zetu” (12)

Zaburi 90:utangulizi

Marejeo

  • +Kum 33:1

Zaburi 90:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “kimbilio letu.”

Marejeo

  • +Kum 33:27; Zb 91:1

Zaburi 90:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hujatokeza kama kwa uchungu wa kuzaa.”

Marejeo

  • +Yer 10:12
  • +Zb 93:2; Isa 40:28; Hab 1:12; 1Ti 1:17; Ufu 1:8; 15:3

Zaburi 90:3

Marejeo

  • +Mwa 3:19; Zb 104:29; 146:3, 4; Mhu 3:20; 12:7

Zaburi 90:4

Marejeo

  • +2Pe 3:8

Zaburi 90:5

Marejeo

  • +Ayu 9:25
  • +Zb 103:15; 1Pe 1:24

Zaburi 90:6

Marejeo

  • +Ayu 14:2

Zaburi 90:7

Marejeo

  • +Hes 17:12, 13; Kum 32:22

Zaburi 90:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Unajua makosa yetu.”

Marejeo

  • +Yer 16:17
  • +Met 24:12; Ebr 4:13

Zaburi 90:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Maisha yetu yanadidimia.”

  • *

    Au “kupiga kite.”

Zaburi 90:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa sababu ya uwezo wa pekee.”

Marejeo

  • +2Sa 19:34, 35
  • +Ayu 14:10; Zb 78:39; Lu 12:20; Yak 4:13, 14

Zaburi 90:11

Marejeo

  • +Isa 33:14; Lu 12:5

Zaburi 90:12

Marejeo

  • +Zb 39:4

Zaburi 90:13

Marejeo

  • +Zb 6:4
  • +Zb 89:46
  • +Kum 32:36; Zb 135:14

Zaburi 90:14

Marejeo

  • +Zb 36:7; 51:1; 63:3; 85:7
  • +Zb 149:2

Zaburi 90:15

Marejeo

  • +Zb 30:5
  • +Kum 2:14

Zaburi 90:16

Marejeo

  • +Hes 14:31; Yos 23:14

Zaburi 90:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uimarishe kabisa.”

  • *

    Au “iimarishe kabisa.”

Marejeo

  • +Zb 127:1; Met 16:3; Isa 26:12; 1Ko 3:7

Jumla

Zab. 90:utanguliziKum 33:1
Zab. 90:1Kum 33:27; Zb 91:1
Zab. 90:2Yer 10:12
Zab. 90:2Zb 93:2; Isa 40:28; Hab 1:12; 1Ti 1:17; Ufu 1:8; 15:3
Zab. 90:3Mwa 3:19; Zb 104:29; 146:3, 4; Mhu 3:20; 12:7
Zab. 90:42Pe 3:8
Zab. 90:5Ayu 9:25
Zab. 90:5Zb 103:15; 1Pe 1:24
Zab. 90:6Ayu 14:2
Zab. 90:7Hes 17:12, 13; Kum 32:22
Zab. 90:8Yer 16:17
Zab. 90:8Met 24:12; Ebr 4:13
Zab. 90:102Sa 19:34, 35
Zab. 90:10Ayu 14:10; Zb 78:39; Lu 12:20; Yak 4:13, 14
Zab. 90:11Isa 33:14; Lu 12:5
Zab. 90:12Zb 39:4
Zab. 90:13Zb 6:4
Zab. 90:13Zb 89:46
Zab. 90:13Kum 32:36; Zb 135:14
Zab. 90:14Zb 36:7; 51:1; 63:3; 85:7
Zab. 90:14Zb 149:2
Zab. 90:15Zb 30:5
Zab. 90:15Kum 2:14
Zab. 90:16Hes 14:31; Yos 23:14
Zab. 90:17Zb 127:1; Met 16:3; Isa 26:12; 1Ko 3:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 90:1-17

Zaburi

KITABU CHA NNE

(Zaburi 90-106)

Sala ya Musa, mtu wa Mungu wa kweli.+

90 Ee Yehova, umekuwa makao yetu*+ katika vizazi vyote.

 2 Kabla milima haijazaliwa

Au kabla hujaiumba* dunia na nchi inayozaa,+

Tangu milele hadi milele, wewe ni Mungu.+

 3 Unamfanya mwanadamu anayeweza kufa arudi mavumbini;

Unasema: “Rudini, enyi wanadamu.”+

 4 Kwa maana miaka elfu moja machoni pako ni kama siku ya jana ambayo tayari imepita,+

Kama kesha moja tu la usiku.

 5 Unawafagilia mbali;+ wanakuwa kama usingizi tu;

Asubuhi, wao ni kama majani yanayochipuka.+

 6 Asubuhi yanachanua maua na kusitawi,

Lakini ifikapo jioni yamenyauka na kukauka.+

 7 Kwa maana tumemezwa na hasira yako+

Na kutishwa na ghadhabu yako.

 8 Unayaweka makosa yetu mbele zako;*+

Siri zetu zinafichuliwa na nuru ya uso wako.+

 9 Siku zetu zinadidimia* kwa sababu ya ghadhabu yako;

Na miaka yetu hufikia kikomo kama mnong’ono.*

10 Urefu wa maisha yetu ni miaka 70,

Au miaka 80+ ikiwa mtu ana nguvu za pekee.*

Lakini imejaa taabu na huzuni;

Nayo hupita haraka, nasi hutokomea.+

11 Ni nani anayeweza kuelewa nguvu za hasira yako?

Ghadhabu yako ni kubwa kama hofu unayostahili kuonyeshwa.+

12 Tufundishe jinsi ya kuhesabu siku zetu+

Ili tupate moyo wa hekima.

13 Rudi, Ee Yehova!+ Hali hiyo itadumu mpaka lini?+

Wahurumie watumishi wako.+

14 Tushibishe asubuhi kwa upendo wako mshikamanifu,+

Ili tupaze sauti kwa shangwe na kushangilia+ siku zetu zote.

15 Tufanye tushangilie kulingana na siku ambazo umetutesa,+

Kwa kadiri ya miaka mingi tuliyopata msiba.+

16 Watumishi wako na waone utendaji wako,

Na wana wao waone fahari yako.+

17 Kibali chako, Ee Yehova Mungu wetu, na kiwe juu yetu;

Na uifanikishe* kazi ya mikono yetu.

Naam, ifanikishe* kazi ya mikono yetu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki