Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 91
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Ulinzi mahali pa siri pa Mungu

        • Kuokolewa kutoka kwa mwindaji wa ndege (3)

        • Kukimbilia chini ya mabawa ya Mungu (4)

        • Usalama hata elfu moja wakianguka (7)

        • Malaika waagizwa kutoa ulinzi (11)

Zaburi 91:1

Marejeo

  • +Zb 27:5; 31:20; 32:7
  • +Zb 57:1

Zaburi 91:2

Marejeo

  • +Zb 18:2; Met 18:10
  • +Met 3:5

Zaburi 91:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “boma.”

Marejeo

  • +Kut 19:4; Kum 32:11; Ru 2:12
  • +Zb 57:3; 86:15
  • +Mwa 15:1; Zb 84:11

Zaburi 91:5

Marejeo

  • +Zb 121:4, 6; Isa 60:2
  • +Zb 64:2, 3; Isa 54:17

Zaburi 91:7

Marejeo

  • +Kut 12:13

Zaburi 91:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “malipo.”

Zaburi 91:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “ngome; kimbilio.”

Marejeo

  • +Zb 71:3; 90:1

Zaburi 91:10

Marejeo

  • +Met 12:21

Zaburi 91:11

Marejeo

  • +2Fa 6:17; Zb 34:7; Mt 18:10
  • +Kut 23:20; Ebr 1:7, 14

Zaburi 91:12

Marejeo

  • +Isa 63:9
  • +Zb 37:24; Mt 4:6; Lu 4:10, 11

Zaburi 91:13

Marejeo

  • +Lu 10:19

Zaburi 91:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amejiunga nami.”

  • *

    Au “analitambua.”

Marejeo

  • +Zb 18:2
  • +Zb 9:10; Met 18:10

Zaburi 91:15

Marejeo

  • +Ro 10:13; Ebr 5:7
  • +Zb 138:7; Isa 43:2

Zaburi 91:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aone wokovu kutoka kwangu.”

Marejeo

  • +Zb 21:1, 4; Met 3:1, 2
  • +Isa 45:17

Jumla

Zab. 91:1Zb 27:5; 31:20; 32:7
Zab. 91:1Zb 57:1
Zab. 91:2Zb 18:2; Met 18:10
Zab. 91:2Met 3:5
Zab. 91:4Kut 19:4; Kum 32:11; Ru 2:12
Zab. 91:4Zb 57:3; 86:15
Zab. 91:4Mwa 15:1; Zb 84:11
Zab. 91:5Zb 121:4, 6; Isa 60:2
Zab. 91:5Zb 64:2, 3; Isa 54:17
Zab. 91:7Kut 12:13
Zab. 91:9Zb 71:3; 90:1
Zab. 91:10Met 12:21
Zab. 91:112Fa 6:17; Zb 34:7; Mt 18:10
Zab. 91:11Kut 23:20; Ebr 1:7, 14
Zab. 91:12Isa 63:9
Zab. 91:12Zb 37:24; Mt 4:6; Lu 4:10, 11
Zab. 91:13Lu 10:19
Zab. 91:14Zb 18:2
Zab. 91:14Zb 9:10; Met 18:10
Zab. 91:15Ro 10:13; Ebr 5:7
Zab. 91:15Zb 138:7; Isa 43:2
Zab. 91:16Zb 21:1, 4; Met 3:1, 2
Zab. 91:16Isa 45:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 91:1-16

Zaburi

91 Yeyote anayekaa mahali pa siri pa Aliye Juu Zaidi+

Ataishi katika kivuli cha Mweza-Yote.+

 2 Nitamwambia Yehova: “Wewe ni kimbilio langu na ngome yangu,+

Mungu wangu ninayemtumaini.”+

 3 Kwa maana atakuokoa usinaswe na mtego wa mwindaji wa ndege,

Kutoka kwa ugonjwa wa kuambukiza unaoangamiza.

 4 Kwa manyoya yake atakufunika,

Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+

Uaminifu wake+ utakuwa ngao kubwa+ na ukuta wa ulinzi.*

 5 Hutaogopa vitisho vya usiku,+

Wala mshale unaoruka mchana,+

 6 Wala ugonjwa wa kuambukiza unaonyemelea gizani,

Wala maangamizi yanayoharibu wakati wa adhuhuri.

 7 Elfu moja wataanguka kando yako

Na elfu kumi mkono wako wa kulia,

Lakini hayatakukaribia wewe.+

 8 Utayaona tu kwa macho yako

Unaposhuhudia adhabu* ya waovu.

 9 Kwa sababu ulisema: “Yehova ni kimbilio langu,”

Umemfanya Aliye Juu Zaidi kuwa makao* yako;+

10 Hutapatwa na msiba,+

Na hakuna pigo litakalokaribia hema lako.

11 Kwa maana atawaagiza malaika zake+ kukuhusu wewe,

Ili kukulinda katika njia zako zote.+

12 Watakubeba mikononi mwao,+

Ili mguu wako usigonge jiwe.+

13 Utamkanyaga mwanasimba na swila;

Utamkanyagia chini simba mwenye manyoya marefu shingoni na nyoka mkubwa.+

14 Mungu alisema: “Kwa sababu ananipenda,* nitamwokoa.+

Nitamlinda kwa sababu analijua* jina langu.+

15 Ataniita, nami nitamjibu.+

Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+

Nitamwokoa na kumtukuza.

16 Nitamshibisha kwa maisha marefu,+

Nami nitamfanya aone matendo yangu ya wokovu.”*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki