Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 92
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Yehova akwezwa milele

        • Kazi zake kuu na mawazo yake yenye kina (5)

        • ‘Waadilifu watasitawi kama mti’ (12)

        • Waliozeeka wataendelea kunawiri (14)

Zaburi 92:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kulipigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 50:23

Zaburi 92:2

Marejeo

  • +Isa 63:7

Zaburi 92:3

Marejeo

  • +1Nya 15:16; 25:6; 2Nya 29:25

Zaburi 92:5

Marejeo

  • +Zb 40:5; 145:4; Mhu 3:11; Ufu 15:3
  • +Ayu 26:14; Ro 11:33

Zaburi 92:6

Marejeo

  • +Zb 14:1; 1Ko 2:14

Zaburi 92:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “majani.”

Marejeo

  • +Zb 37:35, 38; Yer 12:1-3

Zaburi 92:9

Marejeo

  • +Kum 28:7; Zb 68:1

Zaburi 92:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “utaikweza pembe yangu kama ya.”

Marejeo

  • +Zb 23:5

Zaburi 92:11

Marejeo

  • +Zb 37:34

Zaburi 92:12

Marejeo

  • +Zb 52:8; Isa 61:3; 65:22

Zaburi 92:13

Marejeo

  • +Zb 100:4

Zaburi 92:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wakiwa na mvi.”

  • *

    Tnn., “kuwa wanene.”

Marejeo

  • +Zb 71:18; Met 16:31; Isa 40:31; 46:4
  • +Yer 17:7, 8

Zaburi 92:15

Marejeo

  • +Kum 32:4

Jumla

Zab. 92:1Zb 50:23
Zab. 92:2Isa 63:7
Zab. 92:31Nya 15:16; 25:6; 2Nya 29:25
Zab. 92:5Zb 40:5; 145:4; Mhu 3:11; Ufu 15:3
Zab. 92:5Ayu 26:14; Ro 11:33
Zab. 92:6Zb 14:1; 1Ko 2:14
Zab. 92:7Zb 37:35, 38; Yer 12:1-3
Zab. 92:9Kum 28:7; Zb 68:1
Zab. 92:10Zb 23:5
Zab. 92:11Zb 37:34
Zab. 92:12Zb 52:8; Isa 61:3; 65:22
Zab. 92:13Zb 100:4
Zab. 92:14Zb 71:18; Met 16:31; Isa 40:31; 46:4
Zab. 92:14Yer 17:7, 8
Zab. 92:15Kum 32:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 92:1-15

Zaburi

Muziki. Wimbo wa siku ya Sabato.

92 Ni vema kukushukuru, Ee Yehova+

Na kuliimbia sifa* jina lako, Ee Uliye Juu Zaidi,

 2 Kutangaza upendo wako mshikamanifu+ asubuhi

Na uaminifu wako nyakati za usiku,

 3 Kwa kinanda cha nyuzi kumi na kwa udi,

Kwa sauti tamu ya kinubi.+

 4 Kwa maana umenifanya nishangilie, Ee Yehova, kwa sababu ya matendo yako;

Kwa sababu ya kazi za mikono yako ninapaza sauti kwa shangwe.

 5 Jinsi kazi zako zilivyo kuu, Ee Yehova!+

Jinsi mawazo yako yalivyo na kina sana!+

 6 Mtu yeyote asiyetumia akili hawezi kuyajua;

Na hakuna mtu yeyote mjinga anayeweza kuelewa hili:+

 7 Waovu wanapochipuka kama magugu*

Na watenda mabaya wote wanapositawi,

Ni ili waangamizwe milele.+

 8 Lakini wewe umekwezwa milele, Ee Yehova.

 9 Kwa kweli, watazame maadui wako wakishindwa, Ee Yehova,

Tazama jinsi maadui wako watakavyoangamia;

Watenda maovu wote watatawanywa.+

10 Lakini utazikweza nguvu zangu kama za* fahali mwitu;

Nitailainisha ngozi yangu kwa mafuta mapya.+

11 Macho yangu yatawaangalia maadui wangu wakishindwa;+

Masikio yangu yatasikia kuhusu kuangamia kwa watu waovu wanaonishambulia.

12 Lakini waadilifu watasitawi kama mtende

Na kuwa wakubwa kama mwerezi kule Lebanoni.+

13 Wamepandwa katika nyumba ya Yehova;

Wanasitawi katika nyua za Mungu wetu.+

14 Hata wakati wa uzeeni* wataendelea kunawiri;+

Wataendelea kuwa na nguvu* na kuwa wabichi,+

15 Wakitangaza kwamba Yehova ni mnyoofu.

Yeye ni Mwamba wangu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa uadilifu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki