Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 16:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mipangilio ya moyo ni ya mtu.”

  • *

    Au “jibu linalofaa.” Tnn., “jibu la ulimi.”

Marejeo

  • +Yer 1:9; Lu 12:11, 12

Methali 16:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “safi.”

  • *

    Tnn., “huzichunguza roho.”

Marejeo

  • +1Sa 15:13, 14; Zb 36:1, 2; Met 21:2; Yer 17:9
  • +1Sa 16:6, 7; Met 24:12

Methali 16:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mvingirishie Yehova kazi zako.”

Marejeo

  • +Zb 37:5; Flp 4:6, 7

Methali 16:4

Marejeo

  • +Kut 14:4; Ro 9:21

Methali 16:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mkono kwa mkono.”

Marejeo

  • +Met 6:16, 17; 8:13; 21:4

Methali 16:6

Marejeo

  • +Mdo 3:19
  • +Ne 5:8, 9; 2Ko 7:1

Methali 16:7

Marejeo

  • +Mwa 31:24; Kut 34:24

Methali 16:8

Marejeo

  • +1Ti 6:6
  • +Zb 37:16; Yer 17:11

Methali 16:9

Marejeo

  • +Met 16:1; Yer 10:23

Methali 16:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Uamuzi ulioongozwa na Mungu.”

Marejeo

  • +Kum 17:18, 19; 1Fa 3:28
  • +Zb 72:1, 14

Methali 16:11

Marejeo

  • +Law 19:36; Met 11:1

Methali 16:12

Marejeo

  • +Met 20:26
  • +Met 29:14; Ufu 19:11

Methali 16:13

Marejeo

  • +Zb 101:6

Methali 16:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huiepuka.”

Marejeo

  • +1Sa 22:17, 18; 1Fa 2:29
  • +Mhu 10:4

Methali 16:15

Marejeo

  • +Zb 72:1, 6

Methali 16:16

Marejeo

  • +Mhu 7:12
  • +Met 4:7

Methali 16:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi yake.”

Marejeo

  • +Met 10:9

Methali 16:18

Marejeo

  • +Met 11:2; Da 4:30-32

Methali 16:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na roho ya upole.”

Marejeo

  • +Isa 57:15

Methali 16:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mema.”

Methali 16:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Na maneno yanayovutia.” Tnn., “Na utamu wa midomo.”

Marejeo

  • +Met 4:7
  • +Lu 4:22; Kol 4:6

Methali 16:23

Marejeo

  • +Met 22:17, 18; Mt 12:35

Methali 16:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Yana ladha tamu.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Met 4:20-22; 12:18

Methali 16:25

Marejeo

  • +Met 14:12; Mt 7:22, 23

Methali 16:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi.”

  • *

    Tnn., “mdomo wake.”

Marejeo

  • +Mhu 6:7

Methali 16:27

Marejeo

  • +Met 6:12, 14
  • +Yak 3:6

Methali 16:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mpanga njama.”

Marejeo

  • +Yak 3:16
  • +Mwa 3:1; 1Sa 24:9; Ro 16:17

Methali 16:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utukufu.”

Marejeo

  • +Law 19:32; Ayu 32:7; Met 20:29
  • +Zb 92:12-14

Methali 16:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayetawala roho yake.”

Marejeo

  • +Met 14:29; Yak 1:19
  • +Met 25:28

Methali 16:33

Marejeo

  • +Hes 26:55; Met 18:18
  • +1Sa 14:41, 42; Mdo 1:24, 26

Jumla

Met. 16:1Yer 1:9; Lu 12:11, 12
Met. 16:21Sa 15:13, 14; Zb 36:1, 2; Met 21:2; Yer 17:9
Met. 16:21Sa 16:6, 7; Met 24:12
Met. 16:3Zb 37:5; Flp 4:6, 7
Met. 16:4Kut 14:4; Ro 9:21
Met. 16:5Met 6:16, 17; 8:13; 21:4
Met. 16:6Mdo 3:19
Met. 16:6Ne 5:8, 9; 2Ko 7:1
Met. 16:7Mwa 31:24; Kut 34:24
Met. 16:81Ti 6:6
Met. 16:8Zb 37:16; Yer 17:11
Met. 16:9Met 16:1; Yer 10:23
Met. 16:10Kum 17:18, 19; 1Fa 3:28
Met. 16:10Zb 72:1, 14
Met. 16:11Law 19:36; Met 11:1
Met. 16:12Met 20:26
Met. 16:12Met 29:14; Ufu 19:11
Met. 16:13Zb 101:6
Met. 16:141Sa 22:17, 18; 1Fa 2:29
Met. 16:14Mhu 10:4
Met. 16:15Zb 72:1, 6
Met. 16:16Mhu 7:12
Met. 16:16Met 4:7
Met. 16:17Met 10:9
Met. 16:18Met 11:2; Da 4:30-32
Met. 16:19Isa 57:15
Met. 16:21Met 4:7
Met. 16:21Lu 4:22; Kol 4:6
Met. 16:23Met 22:17, 18; Mt 12:35
Met. 16:24Met 4:20-22; 12:18
Met. 16:25Met 14:12; Mt 7:22, 23
Met. 16:26Mhu 6:7
Met. 16:27Met 6:12, 14
Met. 16:27Yak 3:6
Met. 16:28Yak 3:16
Met. 16:28Mwa 3:1; 1Sa 24:9; Ro 16:17
Met. 16:31Law 19:32; Ayu 32:7; Met 20:29
Met. 16:31Zb 92:12-14
Met. 16:32Met 14:29; Yak 1:19
Met. 16:32Met 25:28
Met. 16:33Hes 26:55; Met 18:18
Met. 16:331Sa 14:41, 42; Mdo 1:24, 26
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 16:1-33

Methali

16 Mtu huyatayarisha mawazo ya moyo wake,*

Lakini jibu analotoa* hutoka kwa Yehova.+

 2 Njia zote za mwanadamu huonekana kuwa sawa* machoni pake,+

Lakini Yehova huchunguza nia.*+

 3 Mkabidhi Yehova lolote unalofanya,*+

Na mipango yako itafanikiwa.

 4 Yehova amefanya kila kitu kitimize kusudi lake,

Hata waovu kwa ajili ya siku ya msiba.+

 5 Kila mtu mwenye kiburi moyoni humchukiza Yehova.+

Uwe na hakika kwamba* hatakosa kuadhibiwa.

 6 Kwa upendo mshikamanifu na uaminifu, kosa husamehewa,+

Na kwa kumwogopa Yehova mtu hujiepusha na uovu.+

 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,

Huwafanya hata maadui wake wawe na amani naye.+

 8 Afadhali kuwa na kidogo pamoja na uadilifu+

Kuliko kuwa na mapato mengi pasipo haki.+

 9 Mtu anaweza kupanga njia yake moyoni mwake,

Lakini Yehova ndiye anayezielekeza hatua zake.+

10 Uamuzi ulioongozwa na roho* unapaswa kuwa katika midomo ya mfalme;+

Hapaswi kamwe kusaliti haki.+

11 Mizani na vipimo vya unyoofu hutoka kwa Yehova;

Mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko ni kazi yake.+

12 Matendo maovu huwachukiza wafalme,+

Kwa maana kiti cha ufalme huimarishwa kabisa kwa uadilifu.+

13 Maneno ya uadilifu huwafurahisha wafalme.

Wanampenda mtu anayeongea kwa unyoofu.+

14 Ghadhabu ya mfalme ni kama mjumbe wa kifo,+

Lakini mtu mwenye hekima huituliza.*+

15 Katika nuru ya uso wa mfalme kuna uzima;

Kibali chake ni kama wingu la mvua wakati wa masika.+

16 Jinsi lilivyo jambo bora kupata hekima kuliko dhahabu!+

Ni bora kuchagua uelewaji kuliko fedha.+

17 Barabara kuu ya wanyoofu huepuka uovu.

Yeyote anayelinda njia yake huhifadhi uhai wake.*+

18 Kiburi hutangulia kuanguka kwa kishindo,

Na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+

19 Ni afadhali kuwa mnyenyekevu*+ miongoni mwa wapole

Kuliko kugawana nyara na watu wenye kiburi.

20 Mtu anayeonyesha ufahamu katika jambo atapata mafanikio,*

Na mwenye furaha ni yule anayemtumaini Yehova.

21 Watu wenye hekima moyoni wataitwa watu wenye uelewaji,+

Na mtu anayeongea kwa fadhili* huongeza ushawishi.+

22 Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa walio nao,

Lakini wajinga hutiwa nidhamu kwa ujinga wao wenyewe.

23 Moyo wa mwenye hekima hukipatia kinywa chake ufahamu+

Na huongeza ushawishi kwenye maneno yake.

24 Maneno yanayopendeza ni sega la asali,

Ni matamu kwa nafsi* nayo huponya mifupa.+

25 Kuna njia inayoonekana kuwa sawa machoni pa mtu,

Lakini mwishowe inaongoza kwenye kifo.+

26 Hamu ya chakula* ya mfanyakazi humfanya afanye kazi kwa bidii

Kwa sababu njaa yake* humchochea kuendelea kufanya kazi.+

27 Mtu asiyefaa kitu huchimbua lililo ovu;+

Na maneno yake ni kama moto unaounguza.+

28 Mfanya fujo* husababisha mgawanyiko,+

Na mchongezi huwatenganisha marafiki wa karibu.+

29 Mtu mkatili humshawishi jirani yake

Na kumwongoza katika njia isiyofaa.

30 Hukonyeza jicho lake anapopanga njama zinazodhuru.

Huibanabana midomo yake pamoja anapotekeleza hila.

31 Mvi ni taji la umaridadi*+

Zinapopatikana katika njia ya uadilifu.+

32 Mtu asiyekasirika upesi+ ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,

Na mtu anayedhibiti hasira yake* ni bora kuliko mtu anayelishinda jiji.+

33 Kura hupigwa mapajani,+

Lakini kila uamuzi unaofanywa kwa kura hiyo hutoka kwa Yehova.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki