Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Waisraeli ni mzabibu ulioharibika, wataangamizwa (1-15)

        • Kupanda na kuvuna (12, 13)

Hosea 10:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “unaoenea.”

Marejeo

  • +Isa 5:3, 4
  • +Ho. 8:11; 12:11
  • +Ho. 8:4

Hosea 10:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hila; udanganyifu.”

Hosea 10:3

Marejeo

  • +Ho. 3:4; 13:11

Hosea 10:4

Marejeo

  • +2Fa 17:4
  • +Amo 5:7; 6:12

Hosea 10:5

Marejeo

  • +1Fa 12:28, 29; Ho. 4:15; 8:5; Amo 3:14

Hosea 10:6

Marejeo

  • +2Fa 17:3; Ho. 5:13
  • +Mik 6:16

Hosea 10:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “watanyamazishwa.”

Marejeo

  • +2Fa 17:4

Hosea 10:8

Marejeo

  • +Ho. 4:15
  • +1Fa 12:28-30; Mik 1:5
  • +Amo 7:9
  • +2Fa 23:15
  • +Lu 23:30; Ufu 6:16

Hosea 10:9

Marejeo

  • +Amu 20:4-6; Ho. 9:9

Hosea 10:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, watakapobeba adhabu yao kama nira.

Hosea 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuwafunga nira.”

Marejeo

  • +2Fa 17:6

Hosea 10:12

Marejeo

  • +Yer 4:3, 4
  • +Isa 55:6; Amo 5:4
  • +Kum 32:2; Isa 45:8

Hosea 10:13

Marejeo

  • +Met 22:8; Ho. 8:7; Gal 6:7

Hosea 10:14

Marejeo

  • +2Fa 18:9, 10

Hosea 10:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atanyamazishwa.”

Marejeo

  • +Amo 7:9
  • +2Fa 18:9, 10

Jumla

Hos. 10:1Isa 5:3, 4
Hos. 10:1Ho. 8:11; 12:11
Hos. 10:1Ho. 8:4
Hos. 10:3Ho. 3:4; 13:11
Hos. 10:42Fa 17:4
Hos. 10:4Amo 5:7; 6:12
Hos. 10:51Fa 12:28, 29; Ho. 4:15; 8:5; Amo 3:14
Hos. 10:62Fa 17:3; Ho. 5:13
Hos. 10:6Mik 6:16
Hos. 10:72Fa 17:4
Hos. 10:8Ho. 4:15
Hos. 10:81Fa 12:28-30; Mik 1:5
Hos. 10:8Amo 7:9
Hos. 10:82Fa 23:15
Hos. 10:8Lu 23:30; Ufu 6:16
Hos. 10:9Amu 20:4-6; Ho. 9:9
Hos. 10:112Fa 17:6
Hos. 10:12Yer 4:3, 4
Hos. 10:12Isa 55:6; Amo 5:4
Hos. 10:12Kum 32:2; Isa 45:8
Hos. 10:13Met 22:8; Ho. 8:7; Gal 6:7
Hos. 10:142Fa 18:9, 10
Hos. 10:15Amo 7:9
Hos. 10:152Fa 18:9, 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 10:1-15

Hosea

10 “Waisraeli ni mzabibu ulioharibika* unaozaa matunda.+

Kadiri matunda yao yanavyoongezeka, ndivyo wanavyozidisha madhabahu zao;+

Kadiri nchi yao inavyozaa vizuri, ndivyo fahari ya nguzo zao takatifu inavyozidi kuongezeka.+

 2 Moyo wao una unafiki;*

Sasa watapatikana na hatia.

Kuna yule atakayebomoa madhabahu zao na kuharibu nguzo zao.

 3 Watasema, ‘Hatuna mfalme,+ kwa sababu hatujamwogopa Yehova.

Na mfalme atatufanyia nini?’

 4 Wanasema maneno matupu, wanatoa viapo vya uwongo,+ na kufanya maagano;

Basi maamuzi wanayofanya ni kama magugu yenye sumu kwenye mitaro iliyo shambani.+

 5 Wakaaji wa Samaria wataogopa kwa sababu ya sanamu ya ndama ya Beth-aveni.+

Watu wake wataiombolezea,

Na pia makuhani wa mungu huyo wa kigeni waliokuwa wakiishangilia pamoja na utukufu wake,

Kwa maana itachukuliwa na kupelekwa uhamishoni.

 6 Itapelekwa Ashuru kama zawadi kwa mfalme mkuu.+

Waefraimu wataaibishwa,

Na Waisraeli wataaibika kwa sababu ya ushauri waliofuata.+

 7 Watu wa Samaria na mfalme wao hakika wataangamizwa,*+

Kama kijiti kilichokwanyuliwa kinachoelea juu ya maji.

 8 Mahali pa juu pa Beth-aveni,+ dhambi ya Waisraeli,+ pataharibiwa kabisa.+

Miiba na michongoma itamea juu ya madhabahu zao.+

Watu wataiambia milima, ‘Tufunikeni!’

Na vilima, ‘Tuangukieni!’+

 9 Enyi Waisraeli, mmetenda dhambi tangu kule Gibea.+

Nao wanaendelea kutenda dhambi huko.

Vita havikuwaangamiza kabisa wana wa ukosefu wa uadilifu kule Gibea.

10 Pia nitawatia nidhamu wakati ninaopenda.

Na mataifa yatakusanyika dhidi yao,

Makosa yao mawili yatakapofungiliwa juu yao.*

11 Waefraimu walikuwa kama ndama jike aliyezoezwa aliyependa kupura,

Basi niliihurumia shingo yake nzuri.

Sasa nitamfanya mtu fulani apande juu ya Waefraimu na kuwaendesha.*+

Watu wa Yuda watalima; watu wa Yakobo watamlimia.

12 Jipandieni mbegu kwa uadilifu na mvune upendo mshikamanifu.

Jilimieni shamba linalofaa kwa kilimo+

Maadamu wakati upo wa kumtafuta Yehova,+

Mpaka atakapokuja na kuwafundisha uadilifu.+

13 Lakini mmelima uovu,

Mmevuna ukosefu wa uadilifu,+

Nanyi mmekula matunda ya udanganyifu;

Kwa sababu mmetumaini njia yenu wenyewe,

Mmewatumaini mashujaa wenu wengi.

14 Fujo itatokea dhidi ya watu wenu,

Na majiji yenu yenye ngome yataharibiwa yote,+

Kama Shalmani alivyoharibu kabisa nyumba ya Arbeli,

Katika siku ya vita, akina mama walipondwapondwa pamoja na watoto wao.

15 Hivyo ndivyo mtakavyotendewa, enyi wakaaji wa Betheli,+ kwa sababu ya uovu wenu uliozidi.

Kwa hakika mfalme wa Israeli ataangamizwa* wakati wa mapambazuko.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki