Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mathayo—Yaliyomo

      • Ukoo wa Yesu Kristo (1-17)

      • Yesu azaliwa (18-25)

Mathayo 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukoo wa.”

  • *

    Au “Masihi; Mtiwa-mafuta.”

Marejeo

  • +1Nya 17:11; Mt 9:27; Lu 1:32, 33
  • +Mwa 22:18

Mathayo 1:2

Marejeo

  • +Mwa 21:3
  • +Mwa 25:26; 1Nya 1:34
  • +Mwa 29:35

Mathayo 1:3

Marejeo

  • +Mwa 38:29, 30
  • +Ru 4:18-22
  • +1Nya 2:9

Mathayo 1:4

Marejeo

  • +1Nya 2:10, 11

Mathayo 1:5

Marejeo

  • +Yos 2:1
  • +Ru 4:13
  • +1Nya 2:12

Mathayo 1:6

Marejeo

  • +1Nya 2:13, 15
  • +2Sa 12:24; 1Nya 3:5

Mathayo 1:7

Marejeo

  • +1Fa 11:43
  • +1Nya 3:10-19; 2Nya 14:1

Mathayo 1:8

Marejeo

  • +1Fa 15:24
  • +2Nya 21:1

Mathayo 1:9

Marejeo

  • +2Fa 15:32
  • +2Fa 15:38
  • +2Fa 18:1

Mathayo 1:10

Marejeo

  • +2Fa 20:21
  • +2Nya 33:20
  • +2Fa 21:24

Mathayo 1:11

Marejeo

  • +2Fa 23:34
  • +1Nya 3:15, 16
  • +2Fa 24:12, 15; 2Nya 36:9, 10

Mathayo 1:12

Marejeo

  • +Ezr 3:2; Ne 12:1

Mathayo 1:16

Marejeo

  • +Mt 13:55; Mk 6:3
  • +Lu 3:23-38

Mathayo 1:18

Media

  • Maria anapata mimba kupitia roho takatifu; jinsi Yosefu alivyotenda (gnj 1 30:58–35:29)

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nguvu ya utendaji.”

Marejeo

  • +Lu 1:35

Mathayo 1:19

Marejeo

  • +Kum 24:1

Mathayo 1:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Hii ndiyo mara ya kwanza, kati ya mara 237 katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo ambapo jina la Mungu, Yehova, linapatikana katika toleo hili. Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Lu 1:35

Mathayo 1:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Linafanana na jina la Kiebrania Yeshua, au Yoshua, linalomaanisha “Yehova Ni Wokovu.”

Marejeo

  • +Mt 1:25; Lu 1:31
  • +Lu 2:30; Yoh 1:29; Mdo 4:12; 5:31; Efe 1:7; Ebr 7:25; 1Pe 2:24

Mathayo 1:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Mathayo 1:23

Marejeo

  • +Isa 7:14
  • +Isa 8:8, 10

Mathayo 1:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Mathayo 1:25

Marejeo

  • +Lu 2:7
  • +Lu 2:21

Jumla

Mt. 1:11Nya 17:11; Mt 9:27; Lu 1:32, 33
Mt. 1:1Mwa 22:18
Mt. 1:2Mwa 21:3
Mt. 1:2Mwa 25:26; 1Nya 1:34
Mt. 1:2Mwa 29:35
Mt. 1:3Mwa 38:29, 30
Mt. 1:3Ru 4:18-22
Mt. 1:31Nya 2:9
Mt. 1:41Nya 2:10, 11
Mt. 1:5Ru 4:13
Mt. 1:51Nya 2:12
Mt. 1:5Yos 2:1
Mt. 1:61Nya 2:13, 15
Mt. 1:62Sa 12:24; 1Nya 3:5
Mt. 1:71Fa 11:43
Mt. 1:71Nya 3:10-19; 2Nya 14:1
Mt. 1:81Fa 15:24
Mt. 1:82Nya 21:1
Mt. 1:92Fa 15:32
Mt. 1:92Fa 15:38
Mt. 1:92Fa 18:1
Mt. 1:102Fa 20:21
Mt. 1:102Nya 33:20
Mt. 1:102Fa 21:24
Mt. 1:112Fa 23:34
Mt. 1:111Nya 3:15, 16
Mt. 1:112Fa 24:12, 15; 2Nya 36:9, 10
Mt. 1:12Ezr 3:2; Ne 12:1
Mt. 1:16Mt 13:55; Mk 6:3
Mt. 1:16Lu 3:23-38
Mt. 1:18Lu 1:35
Mt. 1:19Kum 24:1
Mt. 1:20Lu 1:35
Mt. 1:21Mt 1:25; Lu 1:31
Mt. 1:21Lu 2:30; Yoh 1:29; Mdo 4:12; 5:31; Efe 1:7; Ebr 7:25; 1Pe 2:24
Mt. 1:23Isa 7:14
Mt. 1:23Isa 8:8, 10
Mt. 1:25Lu 2:7
Mt. 1:25Lu 2:21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mathayo 1:1-25

Kulingana na Mathayo

1 Kitabu cha historia ya* Yesu Kristo,* mwana wa Daudi,+ mwana wa Abrahamu:+

 2 Abrahamu akawa baba ya Isaka;+

Isaka akawa baba ya Yakobo;+

Yakobo akawa baba ya Yuda+ na ndugu zake;

 3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari;

Perezi akawa baba ya Hezroni;+

Hezroni akawa baba ya Ramu;+

 4 Ramu akawa baba ya Aminadabu;

Aminadabu akawa baba ya Nashoni;+

Nashoni akawa baba ya Salmoni;

 5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+

Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+

Obedi akawa baba ya Yese;+

 6 Yese akawa baba ya Mfalme Daudi.+

Daudi akawa baba ya Sulemani+ kupitia mke wa Uria;

 7 Sulemani akawa baba ya Rehoboamu;+

Rehoboamu akawa baba ya Abiya;

Abiya akawa baba ya Asa;+

 8 Asa akawa baba ya Yehoshafati;+

Yehoshafati akawa baba ya Yehoramu;+

Yehoramu akawa baba ya Uzia;

 9 Uzia akawa baba ya Yothamu;+

Yothamu akawa baba ya Ahazi;+

Ahazi akawa baba ya Hezekia;+

10 Hezekia akawa baba ya Manase;+

Manase akawa baba ya Amoni;+

Amoni akawa baba ya Yosia;+

11 Yosia+ akawa baba ya Yekonia+ na ndugu zake, wakati wa kupelekwa uhamishoni Babiloni.+

12 Baada ya kupelekwa uhamishoni Babiloni, Yekonia akawa baba ya Shealtieli;

Shealtieli akawa baba ya Zerubabeli;+

13 Zerubabeli akawa baba ya Abiudi;

Abiudi akawa baba ya Eliakimu;

Eliakimu akawa baba ya Azori;

14 Azori akawa baba ya Sadoki;

Sadoki akawa baba ya Akimu;

Akimu akawa baba ya Eliudi;

15 Eliudi akawa baba ya Eleazari;

Eleazari akawa baba ya Mathani;

Mathani akawa baba ya Yakobo;

16 Yakobo akawa baba ya Yosefu mume wa Maria, aliyemzaa Yesu,+ aitwaye Kristo.+

17 Kuanzia Abrahamu mpaka Daudi kulikuwa na vizazi 14; kuanzia Daudi mpaka wakati wa kupelekwa uhamishoni Babiloni, vizazi 14; kuanzia wakati wa kupelekwa uhamishoni Babiloni mpaka Kristo, vizazi 14.

18 Basi kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa hivi: Maria mama ya Yesu alichumbiwa na Yosefu, lakini kabla hawajafunga ndoa akapata mimba kupitia roho takatifu.*+ 19 Hata hivyo, kwa sababu Yosefu mume wake alikuwa mwadilifu na hakutaka kumwaibisha hadharani, alikusudia kumtaliki kisiri.+ 20 Lakini baada ya kufikiria mambo hayo, tazama! malaika wa Yehova* alimtokea katika ndoto na kumwambia: “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumpeleka Maria mke wako nyumbani, kwa sababu amepata mimba kupitia roho takatifu.+ 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+ 22 Kwa kweli, yote hayo yalitukia ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa na Yehova* kupitia nabii wake: 23 “Tazama! Bikira atapata mimba naye atazaa mwana, nao watamwita jina Imanueli,”+ ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mungu Yuko Pamoja Nasi.”+

24 Ndipo Yosefu akaamka kutoka usingizini na kufanya kama alivyoambiwa na malaika wa Yehova,* akampeleka mke wake nyumbani. 25 Lakini hakufanya ngono naye mpaka alipozaa mwana,+ kisha Yosefu akamwita jina Yesu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki