Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Nitashuka+ na kuzungumza nawe hapo,+ nami nitachukua kiasi fulani cha roho+ iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kubeba mzigo wa watu hawa ili usiubebe peke yako.+

  • Waamuzi 3:9, 10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 Waisraeli walipomlilia Yehova awasaidie,+ Yehova aliwapa mwokozi ili awaokoe,+ Othnieli+ mwana wa Kenasi, ndugu mdogo wa Kalebu. 10 Roho ya Yehova ikamjia,+ akawa mwamuzi wa Israeli. Alipoenda vitani, Yehova alimtia Kushan-rishathaimu mfalme wa Mesopotamia* mikononi mwake, naye akamshinda Kushan-rishathaimu.

  • 1 Samweli 10:6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 6 Roho ya Yehova itakutia nguvu,+ utatoa unabii pamoja nao, nawe utabadilishwa kuwa mtu tofauti.+

  • 2 Samweli 23:2
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi;+

      Neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki