Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:7-9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 Unapaswa kuweka ubani safi juu ya kila safu, na mikate hiyo itakuwa dhabihu ya kumbukumbu*+ inayochomwa kwa moto mbele za Yehova. 8 Kila siku ya Sabato, anapaswa kupanga mikate hiyo mbele za Yehova kwa ukawaida.+ Ni agano linalodumu kati yangu na Waisraeli. 9 Itakuwa ya Haruni na wanawe,+ nao wataila mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu kabisa kwa ajili ya kuhani kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto; itakuwa sheria ya kudumu.”

  • Marko 2:25, 26
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 25 Lakini akawaambia: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi, wakati alipokuwa na uhitaji na yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye walipohisi njaa?+ 26 Jinsi katika simulizi kuhusu mkuu wa makuhani Abiathari,+ Daudi alivyoingia katika nyumba ya Mungu na kula mikate ya toleo,* ambayo si halali kwa mtu yeyote kula isipokuwa makuhani,+ naye akawapa pia watu waliokuwa pamoja naye?”

  • Luka 6:3, 4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Lakini Yesu akawajibu: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi wakati yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye walipohisi njaa?+ 4 Jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu akapokea mikate ya toleo,* akala na pia akawapa wanaume waliokuwa pamoja naye, mikate ambayo si halali kwa yeyote kula ila makuhani tu?”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki