Zaburi 16:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+ Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+ Methali 10:30 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 30 Mwadilifu hataangushwa kamwe,+Lakini waovu hawataendelea kukaa duniani.+