-
Mwanzo 18:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Yehova akasema: “Kwa nini nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia kufanya?+
-
-
Amosi 3:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo lolote
Kabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+
-