-
Zaburi 66:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Ikiwa nilihifadhi moyoni mwangu jambo lolote linalodhuru,
Yehova hangenisikia.+
-
-
Methali 15:29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
29 Yehova yuko mbali sana na waovu,
Lakini huisikia sala ya waadilifu.+
-
-
Isaya 1:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Na mnaponyoosha mikono yenu,
Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+
-