Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 27:8, 9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  8 Kwa maana mtu anayemkataa Mungu* ana tumaini gani anapoangamizwa,+

      Mungu anapoondoa uhai wake?*

       9 Je, Mungu atasikia kilio chake

      Taabu itakapomjia?+

  • Methali 15:29
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,

      Lakini huisikia sala ya waadilifu.+

  • Methali 28:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  9 Anayekataa kusikiliza sheria

      —Hata sala yake inachukiza.+

  • Isaya 1:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Na mnaponyoosha mikono yenu,

      Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+

      Ingawa mnatoa sala nyingi,+

      Mimi sisikilizi;+

      Mikono yenu imejaa damu.+

  • Yohana 9:31
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 31 Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watenda dhambi,+ lakini humsikiliza mtu yeyote anayemwogopa na kufanya mapenzi yake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki