-
Ayubu 27:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Je, Mungu atasikia kilio chake
Taabu itakapomjia?+
-
-
Methali 15:29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
29 Yehova yuko mbali sana na waovu,
Lakini huisikia sala ya waadilifu.+
-
-
Methali 28:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Anayekataa kusikiliza sheria
—Hata sala yake inachukiza.+
-
-
Isaya 1:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Na mnaponyoosha mikono yenu,
Mimi huficha macho yangu nisiwaone.+
-