-
1 Samweli 13:12, 13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Kwa hiyo nikajiambia, ‘Sasa Wafilisti watashuka kunishambulia Gilgali, nami sijatafuta kibali cha* Yehova.’ Kwa hiyo nikahisi kwamba nina wajibu wa kutoa dhabihu ya kuteketezwa.”
13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu. Hukutii amri ambayo Yehova Mungu wako alikupa.+ Kama ungetii, Yehova angeimarisha ufalme wako juu ya Waisraeli milele.
-
-
Isaya 1:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Acheni kuleta matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.
Uvumba wenu unanichukiza.+
-