Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 13:12, 13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Kwa hiyo nikajiambia, ‘Sasa Wafilisti watashuka kunishambulia Gilgali, nami sijatafuta kibali cha* Yehova.’ Kwa hiyo nikahisi kwamba nina wajibu wa kutoa dhabihu ya kuteketezwa.”

      13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli: “Umetenda kipumbavu. Hukutii amri ambayo Yehova Mungu wako alikupa.+ Kama ungetii, Yehova angeimarisha ufalme wako juu ya Waisraeli milele.

  • 1 Samweli 15:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Methali 21:27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 27 Dhabihu ya mwovu inachukiza.+

      Sembuse anapoitoa akiwa na nia ovu!*

  • Isaya 1:13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 13 Acheni kuleta matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.

      Uvumba wenu unanichukiza.+

      Miezi mipya,+ sabato,+ kuita makusanyiko+

      —Siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko lenu takatifu.

  • Hosea 6:6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

      Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

Tanzanian sign language publications (2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki