Isaya 43:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Isaya 44:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+ Isaya 48:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+ Ufunuo 1:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+
6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+
12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+