-
Kumbukumbu la Torati 8:14, 15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 msiache mioyo yenu iwe na kiburi+ na kuwafanya mumsahau Yehova Mungu wenu, aliyewatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+ 15 aliyewafanya mtembee katika nyika kubwa na yenye kutisha,+ iliyo na nyoka wenye sumu na nge na ardhi iliyokauka isiyo na maji. Alifanya maji yatiririke kutoka katika mwamba mgumu+
-
-
Isaya 43:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Tazameni! Ninatenda jambo jipya;+
Hata sasa linachipuka.
Je, hamlitambui?
-