Isaya 1:29 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 29 Kwa maana wataona aibu kwa sababu ya miti mikubwa ambayo mlitamani,+Nanyi mtafedheheka kwa sababu ya bustani* ambazo mlichagua.+ Isaya 66:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 17 “Wale wanaojitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye bustani*+ wakimfuata yule aliye katikati, wale wanaokula nyama ya nguruwe+ na vitu vinavyochukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.
29 Kwa maana wataona aibu kwa sababu ya miti mikubwa ambayo mlitamani,+Nanyi mtafedheheka kwa sababu ya bustani* ambazo mlichagua.+
17 “Wale wanaojitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye bustani*+ wakimfuata yule aliye katikati, wale wanaokula nyama ya nguruwe+ na vitu vinavyochukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.