Isaya 66:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Sikieni neno la Yehova, ninyi mnaolitetemekea* neno lake: “Ndugu zenu wanaowachukia na kuwatenga kwa sababu ya jina langu, walisema, ‘Yehova na atukuzwe!’+ Lakini atatokea na kuwaletea shangwe,Nao ndio watakaoaibishwa.”+
5 Sikieni neno la Yehova, ninyi mnaolitetemekea* neno lake: “Ndugu zenu wanaowachukia na kuwatenga kwa sababu ya jina langu, walisema, ‘Yehova na atukuzwe!’+ Lakini atatokea na kuwaletea shangwe,Nao ndio watakaoaibishwa.”+