-
Isaya 1:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 “Dhabihu zenu nyingi zina faida gani kwangu?”+ asema Yehova.
-
-
Isaya 66:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Anayemchinja ng’ombe dume ni kama yule anayemuua mwanadamu.+
Anayemchinja kondoo ni kama yule anayevunja shingo ya mbwa.+
Anayetoa zawadi—kama damu ya nguruwe!+
Anayetoa toleo la ubani la ukumbusho+ ni kama yule anayebariki kwa maneno ya uchawi.*+
Wamechagua njia zao wenyewe,
Nao wanapenda* mambo yanayochukiza.
-
-
Yeremia 7:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema, ‘Endeleeni, ongezeni dhabihu zenu nzima za kuteketezwa kwenye dhabihu zenu nyingine, na mle nyama hizo ninyi wenyewe.+
-
-
Amosi 5:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Nazichukia, nazidharau sherehe zenu,+
Nami sifurahii harufu tamu ya makusanyiko yenu matakatifu.
-